Kiwewe
Senior Member
- Nov 22, 2011
- 159
- 51
Anaitwa nani na alilazwa wodi gani? Hujui hata jina la anti yako, huna maana unaleta umbea hapa. kamilisha taarifa ili uaminike
Naomba tusiwe na kejeli katika mambo yanayohuzunisha kama haya. Pia tunaamini mleta habari ni za ukweli kulingana na kanuni za JF. Inawezekana hakutaka kutaja jina la shangazi yake kwa sababu zake binafsi, bali alitaka kutufikishia ujumbe na kutushirikisha huzuni yake. Kwani angeleta jina la Shangazi yake ungemsaidia nini? Tuwe waungwana kiasi......