nimelia hadi nimechoka ....... hii ni fair jamani?

hahahahah smile, wewe smile tu mana huo ni upepoooooooooooooo....but guy,umenifanya nicheke sana,hhahahahahahaaa
 
Smile unaonekana hujaenda kijijini muda mrefu sana, hao ndiyo wazee ambao hawana dira wala mwelekeo, huna budi kumpotezea hana jipya kule Nairobi tulikuwa tunasema ameshatupa mbawa .... yaani amepoteza mwelekeo. kweli ungempa hata jiti angekumwagia sifa kemkem.
 
hahahahaha we dada nimechekaje jaman,lol hii ndo Tz bila akila utakufa njaa.huyo babu noma
 
Nipo kijiji nimepata kalikizo masaa kadhaa nimekuja kumuonamgonjwa
Nimekaa home kidogonikaona nitoke niende kanisani nikafanye maombi kidogo kanisani ni mita kadhaa toka home hapa .
Barabarani sasa,
Mara katokea huyu mzee kava tishert yake ya ccm
Nadhani ndo mtu pekee aliebaki wa ccm hapa kijiji maana navojua kijiji hiki…….
Nikamsalimia ,shkamoo mzee Fulani…. Ajaitika katoa macho kwa mshangao akaachia na tabasamu kali akaanza
Smile,smile,smile mwanangu ua la asubuhi leo nitacheka mpaka mwaka kesho yaani jana tu nilimuuliza baba yako uko wapi maana kila siku nakukumbuka mwanangu,ujue siku mama yako anakuzaa mimi ndo nilimpeleka hospt kujifungua.nakwambia ulizaliwa na kilo 4 .5 , mtoto mzuri haijawai kutokea kijiji hiki ..........
Nilijua utakuwa tu mtoto mjanja kama babu yako ,ujue babuyako alikuwa……….. haitokaa itokee bahati mbaya wewe hukumkuta
Yaani wewe mtoto sio kama hao wengine wanaenda mjini wanarudi wamevaa yeboyebo kama watotowa mamananihii hapo(akataja mtu)
Tena kuna Yule mtoto wa balozi nanihii kaka yangu Yule ameniomba nimtafutie mke hapa kijijini yaaningoja nimpigie sasa hivi (akatoa simu-akapiga piga ) ooh naona imezimwa ,badaenitamwambia hili jambo .wewe mtoto lazima tukuchukue …wewe …. Naapa hatukuachi…

Akaendelea
Sasa smile… hebu nipe elfu kumi moja hapo nikapate moja motomoja baridi….. nikwamwambia sina
Basi fanya elfu tano………………………………………………………………………………………………nikamwambiasina
Basi elfu 2……………………………………………………………………………………………………………..nikamwambiasina
Hata ka elfu au mia tano tu……………………………………………………………………………………….nikamwambia sina


Akaniambia wewe mtoto ni mjinga mjinga kama shangazi yako ,na ndo maana nilimuacha akaenda kuolewa na lizee huko…….
Huko mjini wala huna lolote ,kwanza baba yako ndo anakutumiavihela hela vya kutumia si urudi tu hapa kijijini?
Huna akili yeyote nilijua tu huna lolote.mjinga mjinga tukama kaka yako ndo maana mke kamkimbia (sina hata bro alokimbiwa na mke jamani)
Kaolewe tu huko porini… nani anaoa wajinga hapa kijijini …kafie mbali huko… mnajifanya jina kubwa kumbe hamna lolote wapuuzi tu…

Kaishia zake bado anatukana

Sijui ni mfanyeje huyu mzee jamani?
Huu ni uungwana?
Huu ni utu?
ngoja nilale kidogo ......

Wewe smile unaenda Kule Moshi bila pesa ya Albamu na vitochi kweliiiiiii..Uwiiii yesu na maria
 
Nipo kijiji nimepata kalikizo masaa kadhaa nimekuja kumuonamgonjwa
Nimekaa home kidogonikaona nitoke niende kanisani nikafanye maombi kidogo kanisani ni mita kadhaa toka home hapa .
Barabarani sasa,
Mara katokea huyu mzee kava tishert yake ya ccm
Nadhani ndo mtu pekee aliebaki wa ccm hapa kijiji maana navojua kijiji hiki…….
Nikamsalimia ,shkamoo mzee Fulani…. Ajaitika katoa macho kwa mshangao akaachia na tabasamu kali akaanza
Smile,smile,smile mwanangu ua la asubuhi leo nitacheka mpaka mwaka kesho yaani jana tu nilimuuliza baba yako uko wapi maana kila siku nakukumbuka mwanangu,ujue siku mama yako anakuzaa mimi ndo nilimpeleka hospt kujifungua.nakwambia ulizaliwa na kilo 4 .5 , mtoto mzuri haijawai kutokea kijiji hiki ..........
Nilijua utakuwa tu mtoto mjanja kama babu yako ,ujue babuyako alikuwa……….. haitokaa itokee bahati mbaya wewe hukumkuta
Yaani wewe mtoto sio kama hao wengine wanaenda mjini wanarudi wamevaa yeboyebo kama watotowa mamananihii hapo(akataja mtu)
Tena kuna Yule mtoto wa balozi nanihii kaka yangu Yule ameniomba nimtafutie mke hapa kijijini yaaningoja nimpigie sasa hivi (akatoa simu-akapiga piga ) ooh naona imezimwa ,badaenitamwambia hili jambo .wewe mtoto lazima tukuchukue …wewe …. Naapa hatukuachi…

Akaendelea
Sasa smile… hebu nipe elfu kumi moja hapo nikapate moja motomoja baridi….. nikwamwambia sina
Basi fanya elfu tano………………………………………………………………………………………………nikamwambiasina
Basi elfu 2……………………………………………………………………………………………………………..nikamwambiasina
Hata ka elfu au mia tano tu……………………………………………………………………………………….nikamwambia sina


Akaniambia wewe mtoto ni mjinga mjinga kama shangazi yako ,na ndo maana nilimuacha akaenda kuolewa na lizee huko…….
Huko mjini wala huna lolote ,kwanza baba yako ndo anakutumiavihela hela vya kutumia si urudi tu hapa kijijini?
Huna akili yeyote nilijua tu huna lolote.mjinga mjinga tukama kaka yako ndo maana mke kamkimbia (sina hata bro alokimbiwa na mke jamani)
Kaolewe tu huko porini… nani anaoa wajinga hapa kijijini …kafie mbali huko… mnajifanya jina kubwa kumbe hamna lolote wapuuzi tu…

Kaishia zake bado anatukana

Sijui ni mfanyeje huyu mzee jamani?
Huu ni uungwana?
Huu ni utu?
ngoja nilale kidogo ......

mpe buku kumi bhana
 
hahahaa,kuna story nyengine zinachekesha kweli yaan,mzee asikutie tumb joto huyo my sister, mzee midato huyo ,ww mwenywe hukufahamu ,mtu mwenye akili timamu hawezi kuongea upuuzi kama huo ,huna makosa ,just binaadamu walio data tu hao ..
 
Pole mwaya......... Kubaliwa yote, Jeanine misifa si uliifurahia?
 
lakini sister wakati anakusifu ww ulifurahi, na pengine alikupa hadi sifa za uongo ukawa unacheka, bas kubali na la pili.
ukifunga goli unafurahi..........ukifungwa........ haya ni ya kawaida tu!!!!!!
pole sana
 
Umezidi ubahili mtoto wa kike. Hata 500...Khaaaaa...! Kalale nae.
 
pole sana. Ndiyo kijijini kilivyo wanafikiri mijini pesa ni zakuokota kama kuni au maembe na huyu wa net kuchanikachanikana kuwa na matundu simpati vizuri.
 
Hahahah pole smile
yaani ungempa buku mbili angekusifia mpaka akasema atamtumia obama msg uwe katibu muhtasi wake
 
Back
Top Bottom