nimelia hadi nimechoka ....... hii ni fair jamani?

Smile

JF-Expert Member
Jul 18, 2011
15,347
11,610
Nipo kijiji nimepata kalikizo masaa kadhaa nimekuja kumuonamgonjwa
Nimekaa home kidogonikaona nitoke niende kanisani nikafanye maombi kidogo kanisani ni mita kadhaa toka home hapa .
Barabarani sasa,
Mara katokea huyu mzee kava tishert yake ya ccm
Nadhani ndo mtu pekee aliebaki wa ccm hapa kijiji maana navojua kijiji hiki…….
Nikamsalimia ,shkamoo mzee Fulani…. Ajaitika katoa macho kwa mshangao akaachia na tabasamu kali akaanza
Smile,smile,smile mwanangu ua la asubuhi leo nitacheka mpaka mwaka kesho yaani jana tu nilimuuliza baba yako uko wapi maana kila siku nakukumbuka mwanangu,ujue siku mama yako anakuzaa mimi ndo nilimpeleka hospt kujifungua.nakwambia ulizaliwa na kilo 4 .5 , mtoto mzuri haijawai kutokea kijiji hiki ..........
Nilijua utakuwa tu mtoto mjanja kama babu yako ,ujue babuyako alikuwa……….. haitokaa itokee bahati mbaya wewe hukumkuta
Yaani wewe mtoto sio kama hao wengine wanaenda mjini wanarudi wamevaa yeboyebo kama watotowa mamananihii hapo(akataja mtu)
Tena kuna Yule mtoto wa balozi nanihii kaka yangu Yule ameniomba nimtafutie mke hapa kijijini yaaningoja nimpigie sasa hivi (akatoa simu-akapiga piga ) ooh naona imezimwa ,badaenitamwambia hili jambo .wewe mtoto lazima tukuchukue …wewe …. Naapa hatukuachi…

Akaendelea
Sasa smile… hebu nipe elfu kumi moja hapo nikapate moja motomoja baridi….. nikwamwambia sina
Basi fanya elfu tano………………………………………………………………………………………………nikamwambiasina
Basi elfu 2……………………………………………………………………………………………………………..nikamwambiasina
Hata ka elfu au mia tano tu……………………………………………………………………………………….nikamwambia sina


Akaniambia wewe mtoto ni mjinga mjinga kama shangazi yako ,na ndo maana nilimuacha akaenda kuolewa na lizee huko…….
Huko mjini wala huna lolote ,kwanza baba yako ndo anakutumiavihela hela vya kutumia si urudi tu hapa kijijini?
Huna akili yeyote nilijua tu huna lolote.mjinga mjinga tukama kaka yako ndo maana mke kamkimbia (sina hata bro alokimbiwa na mke jamani)
Kaolewe tu huko porini… nani anaoa wajinga hapa kijijini …kafie mbali huko… mnajifanya jina kubwa kumbe hamna lolote wapuuzi tu…

Kaishia zake bado anatukana

Sijui ni mfanyeje huyu mzee jamani?
Huu ni uungwana?
Huu ni utu?
ngoja nilale kidogo ......
 
Hahahaaaa smile......poleee,binadamu ndivyo tulivyo msamehe bure usijitafutie nuksi bure.
 
Smile nashukuru vile umeifanya siku yangu ianze kwa kicheko...

babu hajatenda haki mwaya.. Msanii tu huyo vile umenyima hela ndio mana kakuponda.
 
Last edited by a moderator:
Smile nashukuru vile umeifanya siku yangu ianze kwa kicheko...

babu hajatenda haki mwaya.. Msanii tu huyo vile umenyima hela ndio mana kakuponda.
yaani wewe unanicheka my dia.... nimfanyeje?
 
We Smile nawe acha kudeka . .sasa hapo cha kukuliza nini?! Ushajua ni maneno ya mkosaji...get over it!!

Angekua amekutukana toka mwanzo ingekuwaje?!
 
Sasa Smile na wewe ulikosa hata jero ya kumpa? Ungempa tu akutafutie mume, mwenyewe si unajua ilivyo kazi kumpata mume bora?

Nipo kijiji nimepata kalikizo masaa kadhaa nimekuja kumuonamgonjwa
Nimekaa home kidogonikaona nitoke niende kanisani nikafanye maombi kidogo kanisani ni mita kadhaa toka home hapa .
Barabarani sasa,
Mara katokea huyu mzee kava tishert yake ya ccm
Nadhani ndo mtu pekee aliebaki wa ccm hapa kijiji maananavojua kijiji hiki…….
Nikamsalimia ,shkamoo mzee Fulani…. Ajaitika katoa macho kwa mshangao akaachia na tabasamu kali akaanza
Smile,smile,smile mwanangu ua la asubuhi leo nitacheka mpaka mwaka keshoyaani jana tu nilimuuliza baba yako uko wapi maana kila siku nakukumbukamwanangu,ujue siku mama yako anakuzaa mimi ndo nilimpeleka hosptkujifungua.nakwambia ulizaliwa na kilo 4 .5 , mtoto mzuri haijawai kutokea kijiji hiki ..........
Nilijua utakuwa tu mtoto mjanja kama babu yako ,ujue babuyako alikuwa……….. haitokaa itokee bahati mbaya wewe hukumkuta
Yaani wewe mtoto sio kama hao wengine wanaenda mjini wanarudi wamevaa yeboyebo kama watotowa mamananihii hapo(akataja mtu)
Tena kuna Yule mtoto wa balozi nanihii kaka yangu Yule ameniomba nimtafutie mke hapa kijijini yaaningoja nimpigie sasa hivi (akatoa simu-akapiga piga ) ooh naona imezimwa ,badaenitamwambia hili jambo .wewe mtoto lazima tukuchukue …wewe …. Naapa hatukuachi…

Akaendelea
Sasa smile… hebu nipe elfu kumi moja hapo nikapate moja motomoja baridi….. nikwamwambia sina
Basi fanya elfu tano………………………………………………………………………………………………nikamwambiasina
Basi elfu 2……………………………………………………………………………………………………………..nikamwambiasina
Hata ka elfu au mia tano tu……………………………………………………………………………………….nikamwambia sina


Akaniambia wewe mtoto ni mjinga mjinga kama shangazi yako ,na ndo maana nilimuacha akaenda kuolewa na lizee huko…….
Huko mjini wala huna lolote ,kwanza baba yako ndo anakutumiavihela hela vya kutumia si urudi tu hapa kijijini?
Huna akili yeyote nilijua tu huna lolote.mjinga mjinga tukama kaka yako ndo maana mke kamkimbia (sina hata bro alokimbiwa na mke jamani)
Kaolewe tu huko porini… nani anaoa wajinga hapa kijijini …kafie mbali huko… mnajifanya jina kubwa kumbe hamna lolote wapuuzi tu…

Kaishia zake bado anatukana

Sijui ni mfanyeje huyu mzee jamani?
Huu ni uungwana?
Huu ni utu?
ngoja nilale kidogo ......
 
Last edited by a moderator:
yaani wewe unanicheka my dia.... nimfanyeje?
Nimecheka mpendwa tena haswa lol...

Achana nae kama ni mtu mzima asiyejiheshimu kiasi hicho...huyo anaonekana ni mbea, mfuatilia mambo ya watu, mzushi, mkosa kazi nk...


kwani alivosema hayo maneno umetoboka mahali? Umepungua uzito? Potezea kijeshi na nakuhakikishia hutapungukiwa na chochote! Mdharau, mwonyeshe kuwa maneno yake sio lolote wala chochote.

Kwa kifupi ni maneno ya mkosaji, kama ingetokea umempa hela aliyoomba asingekuponda kabisa!


Just relax my dear Smile.
 
Last edited by a moderator:
We Smile nawe acha kudeka . .sasa hapo cha kukuliza nini?! Ushajua ni maneno ya mkosaji...get over it!!

Angekua amekutukana toka mwanzo ingekuwaje?!
mimi roho yangu nyepesi lizzy...
ulivopewa ban wewe hujalia?
pole sana
karibu tena love
 
Pole sana mwaya japo nimecheka mpaka basi lol!
Huyo mbabu hana lolote njaa tu ndio ilikua inamsumbua,
Ungemwelewa mapema wala usingepoteza machozi yako kwa mtu alokosa ustarabu km huyo!!
 
Lol! Msamehe bure Smile..si unajua tena uzee ukikolea hua wanakua na akili kama za watoto?potezea yeye bana
 
Last edited by a moderator:
Samehe mamy.....u wont loose anything by letting bygones be so

Pooole sana maana ni wakati mgumu.....kama hivyo u were going to worship ukapewa na mtihani wa imani juuu...simamia imani yako
 
maneo ya mkosaji hayo
Ngepata hiyo buku na mia tano ungepewa sifa mpaka basi
Sasa kakosa alichotaka anaona bora akutukane
Na aahh (samahani lakini) nilijua ameanza kukutupia nondo uwe mke wake kumbe ni hayo
Achana nae bana wala asingekuharibia siku
Ulipaswa udharau na uendelee na mambo yako
 
Nimecheka mpendwa tena haswa lol...

Achana nae kama ni mtu mzima asiyejiheshimu kiasi hicho...huyo anaonekana ni mbea, mfuatilia mambo ya watu, mzushi, mkosa kazi nk...


kwani alivosema hayo maneno umetoboka mahali? Umepungua uzito? Potezea kijeshi na nakuhakikishia hutapungukiwa na chochote! Mdharau, mwonyeshe kuwa maneno yake sio lolote wala chochote.

Kwa kifupi ni maneno ya mkosaji, kama ingetokea umempa hela aliyoomba asingekuponda kabisa!


Just relax my dear Smile.
Darling Wifi mzima weye?
Huyu mbabu hakujua Smile roho yake nyepesi lol!
 
Back
Top Bottom