nimelia hadi nimechoka ....... hii ni fair jamani?

Una bahati kwenu vibabu sio vichawi...
Ingekuwa kijijini kwetu saa hizi hapa MMU tungekuwa tunaliaje...
 
OTIS space bar yake ina mushkeli kidogo usijali.:tape: Smile pole....alianza kukusifia umpe hela sasa hukumpa akakuponda...usijali ndio mambo ya vijijini hayo...wale hata mia tano wanaridhika...next time weka mia tano tano za kutosha kwenye pochi...
sawa mkuu .... maana cha moto nimekiona
 
We utaendaje kijijini bila kuchenji buku 2, 2 nyingi unatembea nazo mfukoni.kwenye pochi? Narudia tena, ingekuwa kwetu ungelogwa...
huku kwetu jeuri ya kuloga hawana huku ni kilusinde tu....
 
Nipo kijiji nimepata kalikizo masaa kadhaa nimekuja kumuonamgonjwa
Nimekaa home kidogonikaona nitoke niende kanisani nikafanye maombi kidogo kanisani ni mita kadhaa toka home hapa .
Barabarani sasa,
Mara katokea huyu mzee kava tishert yake ya ccm
Nadhani ndo mtu pekee aliebaki wa ccm hapa kijiji maana navojua kijiji hiki…….
Nikamsalimia ,shkamoo mzee Fulani…. Ajaitika katoa macho kwa mshangao akaachia na tabasamu kali akaanza
Smile,smile,smile mwanangu ua la asubuhi leo nitacheka mpaka mwaka kesho yaani jana tu nilimuuliza baba yako uko wapi maana kila siku nakukumbuka mwanangu,ujue siku mama yako anakuzaa mimi ndo nilimpeleka hospt kujifungua.nakwambia ulizaliwa na kilo 4 .5 , mtoto mzuri haijawai kutokea kijiji hiki ..........
Nilijua utakuwa tu mtoto mjanja kama babu yako ,ujue babuyako alikuwa……….. haitokaa itokee bahati mbaya wewe hukumkuta
Yaani wewe mtoto sio kama hao wengine wanaenda mjini wanarudi wamevaa yeboyebo kama watotowa mamananihii hapo(akataja mtu)
Tena kuna Yule mtoto wa balozi nanihii kaka yangu Yule ameniomba nimtafutie mke hapa kijijini yaaningoja nimpigie sasa hivi (akatoa simu-akapiga piga ) ooh naona imezimwa ,badaenitamwambia hili jambo .wewe mtoto lazima tukuchukue …wewe …. Naapa hatukuachi…

Akaendelea
Sasa smile… hebu nipe elfu kumi moja hapo nikapate moja motomoja baridi….. nikwamwambia sina
Basi fanya elfu tano………………………………………………………………………………………………nikamwambiasina
Basi elfu 2……………………………………………………………………………………………………………..nikamwambiasina
Hata ka elfu au mia tano tu……………………………………………………………………………………….nikamwambia sina


Akaniambia wewe mtoto ni mjinga mjinga kama shangazi yako ,na ndo maana nilimuacha akaenda kuolewa na lizee huko…….
Huko mjini wala huna lolote ,kwanza baba yako ndo anakutumiavihela hela vya kutumia si urudi tu hapa kijijini?
Huna akili yeyote nilijua tu huna lolote.mjinga mjinga tukama kaka yako ndo maana mke kamkimbia (sina hata bro alokimbiwa na mke jamani)
Kaolewe tu huko porini… nani anaoa wajinga hapa kijijini …kafie mbali huko… mnajifanya jina kubwa kumbe hamna lolote wapuuzi tu…

Kaishia zake bado anatukana

Sijui ni mfanyeje huyu mzee jamani?
Huu ni uungwana?
Huu ni utu?
ngoja nilale kidogo ......

pole sana,alipokua anamwaga sifa alitegema kupata hela kutoka kwako ulipomnyima ndo akamwaga kashfa.tambua yale ni maneno ya mkosaji tu
 
mungu wangu
huto lala leo usiku, bora umfate umpe ata jelo.
CHAKULA YA BABU
 
hahahhaha ukute hio simu aliyokuwa anapiga alikuwa anazuga tu,simu yake haina credits za kupiga...:love:
 
yaani wewe unanicheka my dia.... nimfanyeje?

Huyu wewe jifanye kama umesahau hivi... tafuta elfu kumi halafu siku moja ukikutana nae, au kumkomesha mfuate kabisa kwake halafu unitoa kama unampa hivi unamwambia babu nimekumbuka uliniomba hela nimepata hii hapa.. akinyoosha mkono kupokea mwambie, hapana nimekumbuka ulinitukana sana mi mjinga, kwa hiyo sikupi ujifunze uungwana.. then unaondoka huku unatembea kwa maringo ukijitingisha na tabasamu pana kama dada mmoja kwenye tangazo kwenye TV... hapa lazima atajifunza .. tena kwa uswa wa kijijini....:wave::wave::wave:
 
Pole sana Smile . Wenzio tukienda kijijini tunahakikisha tuna buku buku za kutosha. Siku nyingine jiandae kabisa!
 
Nipo kijiji nimepata kalikizo masaa kadhaa nimekuja kumuonamgonjwa
Nimekaa home kidogonikaona nitoke niende kanisani nikafanye maombi kidogo kanisani ni mita kadhaa toka home hapa .
Barabarani sasa,
Mara katokea huyu mzee kava tishert yake ya ccm
Nadhani ndo mtu pekee aliebaki wa ccm hapa kijiji maana navojua kijiji hiki…….
Nikamsalimia ,shkamoo mzee Fulani…. Ajaitika katoa macho kwa mshangao akaachia na tabasamu kali akaanza
Smile,smile,smile mwanangu ua la asubuhi leo nitacheka mpaka mwaka kesho yaani jana tu nilimuuliza baba yako uko wapi maana kila siku nakukumbuka mwanangu,ujue siku mama yako anakuzaa mimi ndo nilimpeleka hospt kujifungua.nakwambia ulizaliwa na kilo 4 .5 , mtoto mzuri haijawai kutokea kijiji hiki ..........
Nilijua utakuwa tu mtoto mjanja kama babu yako ,ujue babuyako alikuwa……….. haitokaa itokee bahati mbaya wewe hukumkuta
Yaani wewe mtoto sio kama hao wengine wanaenda mjini wanarudi wamevaa yeboyebo kama watotowa mamananihii hapo(akataja mtu)
Tena kuna Yule mtoto wa balozi nanihii kaka yangu Yule ameniomba nimtafutie mke hapa kijijini yaaningoja nimpigie sasa hivi (akatoa simu-akapiga piga ) ooh naona imezimwa ,badaenitamwambia hili jambo .wewe mtoto lazima tukuchukue …wewe …. Naapa hatukuachi…

Akaendelea
Sasa smile… hebu nipe elfu kumi moja hapo nikapate moja motomoja baridi….. nikwamwambia sina
Basi fanya elfu tano………………………………………………………………………………………………nikamwambiasina
Basi elfu 2……………………………………………………………………………………………………………..nikamwambiasina
Hata ka elfu au mia tano tu……………………………………………………………………………………….nikamwambia sina


Akaniambia wewe mtoto ni mjinga mjinga kama shangazi yako ,na ndo maana nilimuacha akaenda kuolewa na lizee huko…….
Huko mjini wala huna lolote ,kwanza baba yako ndo anakutumiavihela hela vya kutumia si urudi tu hapa kijijini?
Huna akili yeyote nilijua tu huna lolote.mjinga mjinga tukama kaka yako ndo maana mke kamkimbia (sina hata bro alokimbiwa na mke jamani)
Kaolewe tu huko porini… nani anaoa wajinga hapa kijijini …kafie mbali huko… mnajifanya jina kubwa kumbe hamna lolote wapuuzi tu…

Kaishia zake bado anatukana

Sijui ni mfanyeje huyu mzee jamani?
Huu ni uungwana?
Huu ni utu?
ngoja nilale kidogo ......


sasa nini kinachokuliza?
 
[FONT=comic sans
ms]Sasa Smile na wewe ulikosa hata jero ya
kumpa? Ungempa tu akutafutie mume, mwenyewe si unajua ilivyo kazi
kumpata mume bora?[/FONT]

Mh! Huyo angekuwa 'BORA MUME'
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom