Nimekutana na changamoto hii nikifuatilia passport, naombeni ushauri

Nitajaribu hivyo.
Cha muhimu majina yake ya kwenye affidavity yafanane na majina yake kwenye cheti chako .
Pia ungetengeneza affidavity ya Mama yako bila jina la Baba yake ingekubalika.
Maana affidavity jina linatakiwa lifanane na lilivyo kwenye cheti chako cha kuzaliwa.
Uzuri uhamiaji wanataka affidavity ya mmoja wa wazazi na si wazazi wote.
 
Nchi hii bila Rushwa Mambo hayaendi. "RUSHWA NI ADUI WA HAKI" Wakati wewe unahangaika kwenda RITA etc Kuna mtu hapo katoa elfu 50 tu haulizwi hata swali ..fomu inapitishwa fasta anasubiria kupigwa picha ....
Kutoka Rushwa wanatoa wenyewe tu.Passport unapata kabisa bila kutoa hata cent hamsini ya rushwa.
 
Nchi hii bila Rushwa Mambo hayaendi. "RUSHWA NI ADUI WA HAKI" Wakati wewe unahangaika kwenda RITA etc Kuna mtu hapo katoa elfu 50 tu haulizwi hata swali ..fomu inapitishwa fasta anasubiria kupigwa picha ....
Ni kweli swala la rushwa lipo karibu kila mahali, ila hata hao wala rushwa sio wajinga, kwenye swala la documentation wako makini Sana lazima document zote muhimu ziwepo ili waweze kukurahisishia mambo yako.
 
Nchi hii bila Rushwa Mambo hayaendi. "RUSHWA NI ADUI WA HAKI" Wakati wewe unahangaika kwenda RITA etc Kuna mtu hapo katoa elfu 50 tu haulizwi hata swali ..fomu inapitishwa fasta anasubiria kupigwa picha ....

Unasema elfu 50 wakati nasikia wasomali wanatoa mpaka 1M asubuhi tuu mchana analetewa passport.
 
Nchi hii bila Rushwa Mambo hayaendi. "RUSHWA NI ADUI WA HAKI" Wakati wewe unahangaika kwenda RITA etc Kuna mtu hapo katoa elfu 50 tu haulizwi hata swali ..fomu inapitishwa fasta anasubiria kupigwa picha ....
Form zake zina makosa.Msisingizie watu wajameni.
 
Cha muhimu majina yake ya kwenye affidavity yafanane na majina yake kwenye cheti chako .
Pia ungetengeneza affidavity ya Mama yako bila jina la Baba yake ingekubalika.
Maana affidavity jina linatakiwa lifanane na lilivyo kwenye cheti chako cha kuzaliwa.
Uzuri uhamiaji wanataka affidavity ya mmoja wa wazazi na si wazazi wote.

Sawa mkuu
 
Kosa lilishafanyika, na kinachotakiwa ni kusonga mbele. Mara nyingi mambo mengi yanahitaji busara.
Nakushauri urudi kwa huyo huyo aliyekurudisha, umuelezee changamoto, na pia akupe 'altenative' nyingine ili uweze kufanikisha hitaji lako, kama ni kuandika barua n.k atakushauri.
Muhimu tu usiwe mjuaji, uwe mnyenyekevu ili ufanikishe lengo lako.​
 
Kutoka Rushwa wanatoa wenyewe tu.Passport unapata kabisa bila kutoa hata cent hamsini ya rushwa.

Ukiwa huna kosa kabisa nakubali unapata passport bila kutoa hata senti ila ukiwa na kosa hapo lazima utoe kitu, wanaweka masharti mengi ili kosa lipatikane huo ndio ujanja wanao tumia. Hakuna haja ya kuniambia niweke cheti cha kuzaliwa wakati nida yangu ukiifungua unapata kila kitu kuhusu mimi.
 
Kosa lilishafanyika, na kinachotakiwa ni kusonga mbele. Mara nyingi mambo mengi yanahitaji busara.
Nakushauri urudi kwa huyo huyo aliyekurudisha, umuelezee changamoto, na pia akupe 'altenative' nyingine ili uweze kufanikisha hitaji lako, kama ni kuandika barua n.k atakushauri.
Muhimu tu usiwe mjuaji, uwe mnyenyekevu ili ufanikishe lengo lako.​

Umeongea maneno ya busara sana mkuu, barikiwa.
 
Nenda NIDA ukabadilishe mwaka wa kuzaliwa ili ufanane na leaving certificate ulio ambatanisha kwenye passport application yako.
Ukifika NIDA kawarushie lawama kwamba wao ndio walikosea kuweka mwaka wako wa kuzaliwa kua 1994 badala ya 1993.
Baada ya hapo watakupa form ya kufanya marekebisho kisha utalipia pesa kidogo haizidi 20k na kisha watakurekebishia mwaka ila namba na mengineyo yatabaku vilevile.
Wewe Braza una maelezo mazuri sana Big up aisee...
 
Ukiwa huna kosa kabisa nakubali unapata passport bila kutoa hata senti ila ukiwa na kosa hapo lazima utoe kitu, wanaweka masharti mengi ili kosa lipatikane huo ndio ujanja wanao tumia. Hakuna haja ya kuniambia niweke cheti cha kuzaliwa wakati nida yangu ukiifungua unapata kila kitu kuhusu mimi.
Kosa lako wewe ni jina la mzazi wako kwenye cheti,haliendani na jina lake kwe affidavity yake. Na hapa dawa ni kutengeneza affidavity ili jina liendane na kwenye cheti chako na si kutengeneza cheti kingine.
 
Yaani jina la babu yake kutokuwepo kwenye cheti Cha kuzaliwa ndio big problem ? Muhimu tarehe yake kuzaliwa na mwaka na majina sahihi...
Big problem huyo mzazi hana Baba kwenye cheti,ila kwenye affidavity yake ana mzazi.Hauoni hapa ni watu wawili tofauti?
 
Nenda NIDA ukabadilishe mwaka wa kuzaliwa ili ufanane na leaving certificate ulio ambatanisha kwenye passport application yako.
Ukifika NIDA kawarushie lawama kwamba wao ndio walikosea kuweka mwaka wako wa kuzaliwa kua 1994 badala ya 1993.
Baada ya hapo watakupa form ya kufanya marekebisho kisha utalipia pesa kidogo haizidi 20k na kisha watakurekebishia mwaka ila namba na mengineyo yatabaku vilevile.
Daah akawashushie zipo la lawama
 
Habari magreat thinkers,

Last week nilienda immigration kufatilia passport nikiwa na kila kitu wanachotaka kama cheti cha kuzaliwa, affidavit ya mzazi na barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa.

Nimefanya process zote vizuri tu ile nimeenda kwa afisa wa mwisho akawa anakagua form zangu akaona kwenye cheti changu cha kuzaliwa sehemu ya mama mzazi jina la baba yake halipo lipo jina la mama tu tatizo likaanzia hapo nikaambiwa cheti ni fake inabidi niende RITA niombe cheti kingine cha kuzaliwa, nikasema fine nimefika RITA nikaambiwa inabidi niapply online na niambatanishe leaving certificate ya form 4 au 6 na barua ya utambulisho kutoka serikali ya mtaa.

Tatizo ni kwamba leaving certificate zinaonesha nimezaliwa 1994 na nida yangu inaonesha nimezaliwa 1993 na cheti nilichoambatanisha mwanzo cha kuzaliwa immigration kinaonesha nimezaliwa 93, issue ni kwamba hata nikitafuta cheti cha kuzaliwa kingine bado kitatoka cha 94 kwasababu ya zile leaving certificate nikienda immigration wataona miaka inatofautiana na kwenye NIDA so nipo njia panda naombeni ushauri wakuu nifanyeje? mtanisamehe kwa uandishi m'bovu.
Duh hapo wamekupa mlolongo wote huo we hujastuka tuu?
 
Hakuna binadamu siye na baba. I think it was a human error
Wapo ambao baba wao hawajui.So anakuwa hana jina la mzazi mmoja kwenye cheti chake.Hasa nchi za wenzetu huko.Wapo wengi vyeti vyao ni jina la mama though linakuwepo la baba wa mama.
 
Back
Top Bottom