buyoya419
JF-Expert Member
- Oct 20, 2017
- 555
- 416
Naombeni mnipe ushauri nifanye nini
Nilitaka kumweka mzazi kama mtegemezi kwenye bima yangu ya Afya
Walinikatalia nikawauliza wakaniambia jina la mzazi kwenye cheti changu cha kuzaliwa lipo tofauti na NIDA yake na ni kweli kwenye cheti limeandikwa kama hivi Zainabu D/O Mussa na kwenye NIDA yake limeandikwa Zainabu Ombeni Shafii
Nimeenda RITA ofisini kwenye suala la kuchange jina wamenigomea wamesema afatishe la kwenye cheti coz ndio cha kwanza kutengenezwa na Mzazi mwenyewe anasema la kwenye cheti lilikosewa
Nimebaki njia panda hapa coz siwezi nikamuweka kama mtegemezi na mambo mengine
Nisaidieni nifanye nini ili likae sawa la kwenye NIDA ndio lipo sahihi
Nilitaka kumweka mzazi kama mtegemezi kwenye bima yangu ya Afya
Walinikatalia nikawauliza wakaniambia jina la mzazi kwenye cheti changu cha kuzaliwa lipo tofauti na NIDA yake na ni kweli kwenye cheti limeandikwa kama hivi Zainabu D/O Mussa na kwenye NIDA yake limeandikwa Zainabu Ombeni Shafii
Nimeenda RITA ofisini kwenye suala la kuchange jina wamenigomea wamesema afatishe la kwenye cheti coz ndio cha kwanza kutengenezwa na Mzazi mwenyewe anasema la kwenye cheti lilikosewa
Nimebaki njia panda hapa coz siwezi nikamuweka kama mtegemezi na mambo mengine
Nisaidieni nifanye nini ili likae sawa la kwenye NIDA ndio lipo sahihi