bado upo hapo? hao panya walikusamehe? leo hawakuachiAsante mkuu.
jamani mbavu zangu mie ahahaaa
Mkuu usitumie lugha kali sababu hii hali haijakukuta. Kwangu imekuwa jambo la ajabu maishani maana sijawahi kukesha kutokana na hali mbaya ya chumba. Kiafya tunashauliwa walau tulale saa sita kwa siku, je hii ya kukesha kwako unaona poa tu!
Hiki chumba inasemekana alikuwa analala kijana wa kuwasaidia kazi na aliondoka muda. Baada ya hapo kimegeuzwa stoo. Kimejaa nafaka, vyombo, madumu ya maji, mabegi ya nguo, majiko ya kupikia na maboksi maana jamaa ana vyumba viwili cha kwake, sebule na hiki hapa.Mkuu,ukarim mwngne huleta matatzo,kama lawama kama hiz! Kuna mawil,either urfriend knows the situation ama hajuwi,kwani nani alikuwa analala kwa hiyo rum b4u,au ndo ilikuwa store rum?kama ni hivyo bas hajafanya vema.
If ur not confortble, tafta sababu,mtell mtafanyia kaz town so itakubid uwe unawahi,ivyo u hv 2take a hotel,then a day b4 hujaondoka,yuh jus go bak there vumilia umuage vzuri na uondokee kwake,usiondoke kimya kimya,but next time ukome.pole sana lakini..u hv 2pray sana
Hiki chumba inasemekana alikuwa analala kijana wa kuwasaidia kazi na aliondoka muda. Baada ya hapo kimegeuzwa stoo. Kimejaa nafaka, vyombo, madumu ya maji, mabegi ya nguo, majiko ya kupikia na maboksi maana jamaa ana vyumba viwili cha kwake, sebule na hiki hapa.
Hiki chumba inasemekana alikuwa analala kijana wa kuwasaidia kazi na aliondoka muda. Baada ya hapo kimegeuzwa stoo. Kimejaa nafaka, vyombo, madumu ya maji, mabegi ya nguo, majiko ya kupikia na maboksi maana jamaa ana vyumba viwili cha kwake, sebule na hiki hapa.
Umechemsha mwenyewe mkuu, unapomwambia mtu mkarimu akutaftie hoteli hata siku moja hawezi akajiskia fresh wakati yeye ana nyumba, na ndio maana amejiskia vibaya akakwambia ukalale kwake japo deep inside pengine anaelewa kwamba wewe ni arrogant. wewe ungelitafuta hoteli kivyako tu kama ulimaanisha. Kumwambia yeye ni kama kumtega vile.
Huyo jamaa mtu fresh sana, wewe na hayo mapanya ndio maselfish.
Kama vipi mpe ukweli tu ili nekst time asipoteze muda kukukirimu mtu ambae haudeserve.
Shwaaaaa! mzembe nimepotea
Umechemsha mwenyewe mkuu, unapomwambia mtu mkarimu akutaftie hoteli hata siku moja hawezi akajiskia fresh wakati yeye ana nyumba, na ndio maana amejiskia vibaya akakwambia ukalale kwake japo deep inside pengine anaelewa kwamba wewe ni arrogant. wewe ungelitafuta hoteli kivyako tu kama ulimaanisha. Kumwambia yeye ni kama kumtega vile.
Huyo jamaa mtu fresh sana, wewe na hayo mapanya ndio maselfish.
Kama vipi mpe ukweli tu ili nekst time asipoteze muda kukukirimu mtu ambae haudeserve.
Shwaaaaa! mzembe nimepotea
Nimekuja zangu kikazi katika mji huu jina kapuni. Baada ya kufika nikapokelewa na rafiki yangu. Tukiwa standi, nilimwambia anisaidie kutafuta hotel nzuri ya kulala na yeye akajibu nisiwe na shaka nitaenda kulala nyumbani kwake. Basi tukaenda hadi nyumbani kwake na baada ya mazungumzo akanipeleka kwenye chumba nitakacholala.
Tukatakiana usiku mwema na yeye kwenda kulala chumbani kwake. Mimi baada tu ya kuzima taa ndipo balaa lilipoanza. Chumba kimejaa panya sijawahi ona! Panya vurugu mtindo mmoja hadi wanataka kunitafuna miguu.
Zaidi ya hapo, chumba kimejaa mbu japo kuna neti lakini kelele za mbu huwezi kulala hata uwe umelewa vipi. Sasa najiuliza hivi huyu rafiki yangu amenifanyia makusudi au ni ukarimu tu maana hapa natamani niende nikalale ndani ya gari.
Nilizani tunaenda wote? lolUmeongea pwenti, ukienda Arumeru nitakumiss kweli!!
Mkuu wala sijamdhalilisha na bado nasema huo ndiyo uwezo wake lakini kumbuka hapo awali nilimwambia anitafutie hotel nzuri. Neno hotel nzuri linatosha yeye kujua ni aina gani ya chumba nilikimaanisha. Na isitoshe alikuwa na nafasi ya kunionyesha chumba mapema kabisa na kuniuliza kama kingenifaa kuliko kusubiri mpaka muda wa kulala.