Sunshow
JF-Expert Member
- Nov 11, 2011
- 1,140
- 391
- Thread starter
- #21
Mkuu usitumie lugha kali sababu hii hali haijakukuta. Kwangu imekuwa jambo la ajabu maishani maana sijawahi kukesha kutokana na hali mbaya ya chumba. Kiafya tunashauliwa walau tulale saa sita kwa siku, je hii ya kukesha kwako unaona poa tu!Kwa mfano kama huyo rafiki yako aliyekukirimu ni member humu na anasoma huu udhalilishaji unaomfanyia hapa?
Kweli Miafrika Ndivyo Tulivyo.
**** na Ovyooo!