Nimekamatika Jamani

Katika pilika pilika zangu za kimapenzi nimejikuta nimenaswa na penzi la mtoto wa Kizanzibar. Ni msomi anafanya shahada ya pili kwenye mambo ya Finance, nina maana ameenda shule! Anatoka familia yenye maadili. Ni mrembo. Mapenzi ni mwake, hakuna nilichokosa mara zote nilizokutana naye mechi zimekuwa zikiisha kwa suluhu na hakuna anayehitaji penalti wala msaada wa refarii.

Kuna tatizo moja, yeye ni muislam na mimi ni mkristo...tumejadili hili...anadai yeye haina shida. Kiti moto atakuwa ananipikia na hata kuoka. Nilimweleza siwezi kuacha pombe, yeye hajawahi kunywa ila akiwa na mimi namlazimisha walau sparkling wine robo glass, maana macho yake yanaita, chuchu embe tango, tiGo imo ya kutosha kwa kweli ni mrembo. Ukiweka na kiswahili chake cha Kizanzibar Masa nazimia. Nimemuonya asije JF kuna wakorofi.....!

Mabibi na mabwana hii imekaaje? hasa kwenye suala la dini...nisingependa abadili wala mimi nibadili. Sasa tukipata mtoto (Morgan Tsvangirai)
Malezi yake yatakuwaje? Huyu Mzanzibar tunaendana sana na hili la mahusiano yetu bila shaaa tutazidisha dumisha muungano, ule ufa tutauziba.

Any advise wakubwa.....

NB: Kibunango kuanzia leo mimi shemejio!
Muombe Mungu
 
Babylove hujamaliza kazi? Lakini naona huyu alizima sana na mpwa Masa mmh!
 
Massa kweli ulikuwa umewekwa kinyumba na mzenji, hujatoka nje hadi leo ndo umeonekana ukumbini, i can imagine ilikuwa full express yourself. Halafu nimecheka eti unamdate 10 years, sas wasiwasi wa dini wa nini, endelea kmdate ikifika nine years mtakua mmeshaamua dini gani mnataka.
 
Massa kweli ulikuwa umewekwa kinyumba na mzenji, hujatoka nje hadi leo ndo umeonekana ukumbini, i can imagine ilikuwa full express yourself. Halafu nimecheka eti unamdate 10 years, sas wasiwasi wa dini wa nini, endelea kmdate ikifika nine years mtakua mmeshaamua dini gani mnataka.

Thank you.... kumbuka shes 25 now kwa ushauri wako baada ya miaka 9 atakuwa 34 umri mzuri wa kufanya maamuzi mazito na magumu....Carmel week end hii vipi?
 
Katika pilika pilika zangu za kimapenzi nimejikuta nimenaswa na penzi la mtoto wa Kizanzibar. Ni msomi anafanya shahada ya pili kwenye mambo ya Finance, nina maana ameenda shule! Anatoka familia yenye maadili. Ni mrembo. Mapenzi ni mwake, hakuna nilichokosa mara zote nilizokutana naye mechi zimekuwa zikiisha kwa suluhu na hakuna anayehitaji penalti wala msaada wa refarii.

Kuna tatizo moja, yeye ni muislam na mimi ni mkristo...tumejadili hili...anadai yeye haina shida. Kiti moto atakuwa ananipikia na hata kuoka. Nilimweleza siwezi kuacha pombe, yeye hajawahi kunywa ila akiwa na mimi namlazimisha walau sparkling wine robo glass, maana macho yake yanaita, chuchu embe tango, tiGo imo ya kutosha kwa kweli ni mrembo. Ukiweka na kiswahili chake cha Kizanzibar Masa nazimia. Nimemuonya asije JF kuna wakorofi.....!

Mabibi na mabwana hii imekaaje? hasa kwenye suala la dini...nisingependa abadili wala mimi nibadili. Sasa tukipata mtoto (Morgan Tsvangirai)
Malezi yake yatakuwaje? Huyu Mzanzibar tunaendana sana na hili la mahusiano yetu bila shaaa tutazidisha dumisha muungano, ule ufa tutauziba.

Any advise wakubwa.....

NB: Kibunango kuanzia leo mimi shemejio!

Hongera sana Mkuu kwa kuwa na furaha tele kutokana na mapenzi yenu ya dhati na huyo binti. Naona saa zote unatabasamu la nguvu kwa furaha iliyokujaa kutokana na kuwa na huyo binti na pia kutoamini bahati yako ya mtende. Usimwache kabisa huyo binti ni adimu mno kupata mwanamke uliyempenda kiasi hicho. Na mambo ya dini inaelekea mmeshakubaliana. Watoto mtaamua hapo baadaye mkijaliwa lakini sidhani kama litakuwa tatizo kubwa sana. Kila la heri Mkuu.
 
Thank you.... kumbuka shes 25 now kwa ushauri wako baada ya miaka 9 atakuwa 34 umri mzuri wa kufanya maamuzi mazito na magumu....Carmel week end hii vipi?

Ukimdate for 10 yrs atakuwa 34 thenk how old will u be? hautakuwa umeathrika na kisukari ukashindwa hata kuzaa au unafanya mazoezi?
 
Hongera sana Mkuu kwa kuwa na furaha tele kutokana na mapenzi yenu ya dhati na huyo binti. Naona saa zote unatabasamu la nguvu kwa furaha iliyokujaa kutokana na kuwa na huyo binti na pia kutoamini bahati yako ya mtende. Usimwache kabisa huyo binti ni adimu mno kupata mwanamke uliyempenda kiasi hicho. Na mambo ya dini inaelekea mmeshakubaliana. Watoto mtaamua hapo baadaye mkijaliwa lakini sidhani kama litakuwa tatizo kubwa sana. Kila la heri Mkuu.

Asante Kamanda! Unaweza kuwa baba upande wa mume harusi in 10 years, tuombeane heri. Ushanifahamu?
 
Ukimdate for 10 yrs atakuwa 34 thenk how old will u be? hautakuwa umeathrika na kisukari ukashindwa hata kuzaa au unafanya mazoezi?

Tobe honest am on early thirties, baada ya miaka 10 nitakuwa early 40s, si unajua in men life starts at 40. Nakimbia 12 Km mara 3 in a week kujiweka fit!
 
Tobe honest am on early thirties, baada ya miaka 10 nitakuwa early 40s, si unajua in men life starts at 40. Nakimbia 12 Km mara 3 in a week kujiweka fit!

Safi sana, nilifikiri unapenda kuwa na kitambi kama Fidel80 na kikubwa kama cha Burn.
 
Katika pilika pilika zangu za kimapenzi nimejikuta nimenaswa na penzi la mtoto wa Kizanzibar. Ni msomi anafanya shahada ya pili kwenye mambo ya Finance, nina maana ameenda shule! Anatoka familia yenye maadili. Ni mrembo. Mapenzi ni mwake, hakuna nilichokosa mara zote nilizokutana naye mechi zimekuwa zikiisha kwa suluhu na hakuna anayehitaji penalti wala msaada wa refarii.

Kuna tatizo moja, yeye ni muislam na mimi ni mkristo...tumejadili hili...anadai yeye haina shida. Kiti moto atakuwa ananipikia na hata kuoka. Nilimweleza siwezi kuacha pombe, yeye hajawahi kunywa ila akiwa na mimi namlazimisha walau sparkling wine robo glass, maana macho yake yanaita, chuchu embe tango, tiGo imo ya kutosha kwa kweli ni mrembo. Ukiweka na kiswahili chake cha Kizanzibar Masa nazimia. Nimemuonya asije JF kuna wakorofi.....!

Mabibi na mabwana hii imekaaje? hasa kwenye suala la dini...nisingependa abadili wala mimi nibadili. Sasa tukipata mtoto (Morgan Tsvangirai)
Malezi yake yatakuwaje? Huyu Mzanzibar tunaendana sana na hili la mahusiano yetu bila shaaa tutazidisha dumisha muungano, ule ufa tutauziba.

Any advise wakubwa.....

NB: Kibunango kuanzia leo mimi shemejio!

Honger home B...e bwana mbona zali,kila la heri mwana.Kuhusu Dini kuwa tofauti sioni kama ni tatizo sana,kama wazee wake watamkatalia wewe umempenda dawa yao ni kumvimbisha TUMBO tu huyo binti yao...Pa1
 
Honger home B...e bwana mbona zali,kila la heri mwana.Kuhusu Dini kuwa tofauti sioni kama ni tatizo sana,kama wazee wake watamkatalia wewe umempenda dawa yao ni kumvimbisha TUMBO tu huyo binti yao...Pa1

Nimekusoma Home boy...lifafanyiwa kazi hili! asante sana wabezya Ngosha Kugema!
 
Kiongozi kila la heri, Zenji ndo kwenyewe. Hapo kwenye dini nadhani with time mtakata shauri, Ni vizuri mkawa mnashiriki vyote kwa pamoja: Mapenzi, dini etc
 
Transalation to ENGLISH


BREATHLESS SHANE WARD LYRICS

phone.gif
Send "Shane ward" Ringtone to your Cell
phone2.gif

If our love was a fairytale
I would charge in and rescue you
On a yacht baby we would sail
To an island where we’d say I do

And if we had babies they would look like you
It’d be so beautiful if that came true
You don’t even know how very special you are

Chorus

You leave me breathless
You’re everything good in my life
You leave me breathless
I still can’t believe that you’re mine
You just walked out of one of my dreams
So beautiful you’re leaving me
Breathless

And if our love was a story book
We would meet on the very first page
The last chapter would be about
How I’m thankful for the life we’ve made

And if we had babies they would have your eyes
I would fall deeper watching you give life
You don’t even know how very special you are

Chorus

You must have been sent from heaven to earth to change me
You’re like an angel
The thing that I feel is stronger than love believe me
You’re something special
I only hope that I’ll one day deserve what you’ve given me
But all I can do is try
Every day of my life

Chorus


[ame="http://www.youtube.com/watch?v=edFCsSsdwH0"]http://www.youtube.com/watch?v=edFCsSsdwH0[/ame]
 
ukishamweka ndani huyo atakubadilikia tu!

...bora umewahi kusema, nami nilitaka kumwambia same thing,
Ukishajifunga ile pingu ya maisha 'utasilimu' mwenyewe!...
acha mchezo na 'chatu'... eti amekuhalalishia TiGo, na nguruwe atakupikia...

Subiri umezwe mzima mzima!
Mapenzi si upofu, ni kuchagua tu kutoangalia.
(...BJ keshabwagwa maskini...:()
 
...bora umewahi kusema, nami nilitaka kumwambia same thing,
Ukishajifunga ile pingu ya maisha 'utasilimu' mwenyewe!...
acha mchezo na 'chatu'... eti amekuhalalishia TiGo, na nguruwe atakupikia...

Subiri umezwe mzima mzima!
Mapenzi si upofu, ni kuchagua tu kutoangalia.
(...BJ keshabwagwa maskini...:()


Shauri plse mpwa!
 
...bora umewahi kusema, nami nilitaka kumwambia same thing,
Ukishajifunga ile pingu ya maisha 'utasilimu' mwenyewe!...
acha mchezo na 'chatu'... eti amekuhalalishia TiGo, na nguruwe atakupikia...

Subiri umezwe mzima mzima!
Mapenzi si upofu, ni kuchagua tu kutoangalia.
(...BJ keshabwagwa maskini...:()

Mkuu Mbu, huenda ndo yeye?:rolleyes:
 
Mpwa bara naheshimu Tanga, lakini wengine sijui Iringa ama Mbeya hata kula koni wanaona dhambi hahahahahahaah.......wanawake wa bara waende Zanzibar kujifua kimapenzi

... wewe yaelekea hujafika Singida!
 
Back
Top Bottom