luhongedzo
Member
- May 11, 2008
- 8
- 0
Dah Mwana huyo shemu kwa story uliyonipa kama ndio alivyo basi......... nakushauri ununue mguu wa kuku kwanza
Any way dini sio inshu kwa maisha ya sasa kama kweli umempenda kutoka moyoni hilo si jambo la kusema tukae chini kulijadili maana upendo wa kweli hauangalii dini wala kabila we msomeshe na atakuelewa
Any way dini sio inshu kwa maisha ya sasa kama kweli umempenda kutoka moyoni hilo si jambo la kusema tukae chini kulijadili maana upendo wa kweli hauangalii dini wala kabila we msomeshe na atakuelewa