Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,301
- 2,076
Hahahahaha Kadushik !!!! anamitandao yote na tiGo anatumia
Mate yamenikwama! ohhh... lakini kwa wanandoa haifai na unatakiwa ukiwa nyumbani utumie mtandao wa kawaida TTCL na unapotoka matembezini basi hapo network ya tigo ni halali