HorsePower
JF-Expert Member
- Aug 22, 2008
- 3,612
- 2,566
- Thread starter
- #21
Ahsane sana ndugu HP,
Ujumbe wako mzuri sana....Ila kwenye hilo eneo, napata shida kwani nchi yenyewe tunayotakiwa kuwa na uzalendo nayo ni kama imeshauzwa......Sasa kama ni hivyo, tunaanzia wapi??
Mubarikiwe sana,...pamoja na Bishanga Bashaija wetu!!
Babu DC!!
Ndugu, maendeleo huanzia kwenye individual level. Ukibadilika wewe, ukambadilisha na mwenzako naye akambadilisha na mwingine mwisho wa siku wote tunabadilika kwa maslahi ya Taifa na vizazi vijavyo kwa chain hiyo hiyo. Hata wale walioningia Tahrir square walianzia kwenye individual level ...