Mkuu ya woga tamu sana!Bishanga, kwa nini usiwe na wako ukawa na hati milki? Kwa nini uendekeze maisha ya kula raha kwa woga? excitement gani unayoipata ukila raha kwa woga? Huogopi mambo mabaya ukikamatwa?
Yuko bize na maandalizi ya ndoa yake, kanituma mimi kondoo mtiifu nije kuongoza maombi!!
mmmh......babu hapa sijakuelewa kabisa!
HorsePower!
Umeisha andika urithi tayali??
ahsante kwa waraka maridhawa.
Ila mkuu kwenye ishu ya infii i beg to differ,infii ina starehe yake bana!ile excitement ya woga wa kukamatwa,ni mzuka tu aisee,pure exihilation,mi siachi infiii,lol!
Yaliyobaki swadakta nakubaliana nayo.
SaidAlly niandike urithi wa nini? Kweni nimekwambia nakufa? :A S embarassed:
Kaka, kaka.
hahahah...! B' I love the way you shout......lol!!!
yaani Mkuu umekubaliana na kila kitu alichoshauri?Ahsante kwa waraka maridhawa........... Mimi binafsi nimejifunza mengi humu
Aiseee, watu hawa sijui niwaandikie waraka wa aina gani! hata saa moja haijapita baada ya kuwaandikia barua hii wamesahau na kuanza kupanga inf .... Jamani, sijui wana mioyo ya aina gani!
Labda tumshirikishe Mama Mchungaji wa JF awafanyie maombi maalum!
Miss Judith, yupo kweli? Kuna wana MMU wanahitaji spiritual healing ya mioyo yao!
kula five! Karibu rose garden nikupige henken mi nshakaaa kaunta.Wewe Kipipi tangu lini ukawa kondoo mtiifu? Kukukabidhi wewe kuongoza maombi ni sawa na kumkabidhi fisi alinde mifupa, sikubali asilani!
Kaka, kaka.
Umemkubali kaka yako??
Au unataka kumpa msaada ili apunguze usumbufu??/
Babu DC!!
wala sio hivyo Koku,wazee kama sisi wala hatutumiki kihivyo,all we do kila jumamosi ni kufanya kaziara ka kupita kwenye makoloni kwa minajili ya kuacha pesa ya kikapu.Hayo mengine ni mara moja moja tu,tunaona raha tu kuwa na ka harlem,ndo uanaume huo.Najaribu kufikiri ni msaada gani nimpe. MAANA. Pia nawaza anakula protein za aina gani kuweza kuhudumia majority women ile inshu?
Babu ushaur na saha unahtajika.
wala sio hivyo Koku,wazee kama sisi wala hatutumiki kihivyo,all we do kila jumamosi ni kufanya kaziara ka kupita kwenye makoloni kwa minajili ya kuacha pesa ya kikapu.Hayo mengine ni mara moja moja tu,tunaona raha tu kuwa na ka harlem,ndo uanaume huo.
omushaija lubingo otigala nilumela!