Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
mi ni mtalikiwa bana!Niache kufurahia na familia yangu eti niende kuokota janaume la mtu..........???
khaaa!!!!
mi ni mtalikiwa bana!Niache kufurahia na familia yangu eti niende kuokota janaume la mtu..........???
khaaa!!!!
mi ni mtalikiwa bana!
Niamini mimi mkuu wala usimsikilize Bishanga, angekuwepo mama mchungaji angeshuhudia mwenyewe!
hahahahaaa Babu DC wala usikonde,saa hizi mimi nabembea tu,niko sehemu moja inaitwa pataya huku thailand,huyu ananipepea miguu,huyu kichwa,huyu ananinyoosha mgongo,ili mradi tu nahangaikiwa,we acha tu!Kweli kaka,
Watu wanaoishi wenye shida na wale wanoishi kwenye mazingira zaidi wanahitaji huruma zaidi kipindi hiki icha siku kuu!!
Naamini akina Kapipi, Koku na Kongosho watatoa ushirikiano!!
Kweli kaka,
Watu wanaoishi wenye shida na wale wanoishi kwenye mazingira zaidi wanahitaji huruma zaidi kipindi hiki icha siku kuu!!
Naamini akina Kapipi, Koku na Kongosho watatoa ushirikiano!!
nina mke,nina mahawara,nina vimada,na wote nawa cheat.
Unakumbuka pia uliniomba nikuweke kwenye waiting list kama kidumu changu.........khaaaaa mwaka huu kazi nitakuwa nayo japo unaisha
usijali babu dc
nimeshajichagulia asiyejiweza mmoja
namla kwa uma na kisu kiulanini
na kongoro zake ntazinywa thupu
Jaribu bahati yako,
Kwani hujawahi kusikia kuwa sisimizi anaweza kumuua tembo...Unaweza kuubeba mzigo jumla!!
Mhhhhhh Dada Mkuu,
Umejichagulia au umechaguliwa???
Babu DC!!!:eyebrows:
kwani mwanamme hachaguliwi?
When am sure nataka nini
I go for it
sisubiri, si unajua ngoja ngoja yaumiza matumbo
Enzi zetu hiyo ilikuwa ni muujiza tu unaoweza kufanya kitu kama hicho kitokee,
Zaidi ya kutafuna tafuna kucha zote na kuandika andika kwenye udongo kwa kuchora maumbo ambayo hayopo duniani, sikuwahi kusikia kitu kama mwanamke kuchagua mume!!
Ila kwenu nyie vijana wa dot com...hayo sitayashangaa.....Ila pia ndo maana sishangai report za wajukuu kibao wanaolizwa baada ya kuuza hazina yao kabla hata ya kujua bei watakayolipwa!!