ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 43,654
- 90,114
Mkuu, yaani mambo yamekuwa marahisi mno mno. Japo exception zipo, kuna wadada hadi uwavue uwe umefanya kazi ya ziada mno, lakini wengi wao kwa sasa ni swala la kuelewana tu.Mnooo ukitongoza now days unaonekana wakuja
Globalization imeleta balaa