NANGA WA KWATA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2016
- 346
- 232
tunajiaandaa na mkutano mkuu wa ccm dodoma ajira tumesimama kwanza
Ndio wapi huko?Njoo Oriflame wakuajili
Nicheki 0653482355Ndio wapi huko?
one day will be yesone day yes
Lilitoka tamko kuwa ni siku 90.Miezi miwili n kama imeisha, cjui wanaajenda gan tena.
Acha kujishaua kaka...... Angalia nyuma yako, angalia ulikotoka.Lilitoka tamko kuwa ni siku 90.
Halafu hapa tatizo ni mfumo wa elimu yetu, unamuandaa kijana awetegemezi wa kuajiriwa tu. Mlio maliza ualimu mnazaidi ya mwaka na miezi kadhaa sasa je hicho kipindi chote umefanya lipi ilikukuingizia kipato kwa elimu na ujuzi ulio upata?
Ni cheki 0653482355Ndio wapi huko?
duu? aisee labda alimaanisha haitazidi miaka2.Zimebaki siku 4 tangu tangazo la usitishwaji ajira litimie miezi miwili.let see next episod
Kijana, kakeshe huo ndio uzalendo. Utashindwaje kukesha siku moja wakati Ntanturo(Lumba), alikukeshesha darasani akikufundisha kila siku mbona hukulalamika.Hahaha kweli walimu tunadharauliwa eti kukesha na mwenge noncens
Yaani nimejipanga baada ya hizo siku niangalie mpango wa kuelekea mpakani kuwatafuta Al shabaab...maana hakuna namna eti....Zimebaki siku 4 tangu tangazo la usitishwaji ajira litimie miezi miwili.let see next episod