Tegelezeni
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 268
- 124
- Thread starter
- #41
ndio huyo huyo wa Mjomba Mpoto...
kuweka subtitle sio sawa na kutumia kiswahili
ukiita fila yako mfano 'asiesikia la mkuu.'.....mtu anaejua kiswahili
anapata ujumbe moja kwa moja....
Hebu nitafutie kiswahili cha hiyo tittle ya "In the line of death"