Tegelezeni
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 268
- 124
Wanajamvi wenzangu, katika kupambana na hali ngumu ya maisha, nimejiingiza kwenye fani ya uigizaji, na filamu yangu ya kwanza kushiriki inatoka wiki ijayo, inaitwa In the Line of Death
Katika filamu hiyo nimecheza kama kubwa la maadui na nimeuwa kinyama kama yule mcheza muvi wa Kimarekani aitwae Bill Drago. Naomba wadau muitazame kisha munipe maoni yenu.
Katika filamu hiyo nimecheza kama kubwa la maadui na nimeuwa kinyama kama yule mcheza muvi wa Kimarekani aitwae Bill Drago. Naomba wadau muitazame kisha munipe maoni yenu.