nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
NAHISI DUNIA IMENIGEUKA,
muda wangu wote,juhudi zangu zote,ndoto zangu zote,
maisha yangu yote naona kama ndiyo yamefikia mwisho.
Nilifanya mtihani wa kidato cha sita kama private candidates,
lakin NIMEFELI nina Dvn four (4) ya 18,GS-s,hst f, kisw -D,na eng f.
ndoto za kwenda chuo kikuu zimeyeyuka ghafla,
naona giza totolo mbele yangu,ila naamini kupitia,
hapa JF naamini wadogo zangu,wanangu,wajukuu zangu,
pamoja na wakubwa wenzangu mtanisaidia kimawazo nini cha kufanya.
mimi napenda sana nikasomee CBE mambo procurement kwa kuanzia na
diploma je ntaweza kufanikiwa kupata nafasi.Form nimeshachukua ila
sijarudisha,wasiwasi wangu je nitaweza kupata nafasi??.
matokeo ya form four yana hst-c,kiswa-c,eng-b,geo-d,
civic-d,. Yataweza kunisaidia kuingia diploma??.
Sitaki mkopo najilipia mwenyewe kwa sababu mimi siyo mwajiriwa,
nimejiajili mwenyewe na vibiashara vyangu vyenye uwezo wa kuniwezesha,
kumudu gharama zote kipindi chote cha masomo.
Sijapeleka jukwaa la elimu kwa sababu kule kuna wachangiaji wachache,
tofauti na huku ambako naamini nitapata mawazo mengi sana na yenye kunifaa.
Nawaomba muwe wa wazi tu,kama inawezekana sawa na kama haiwezekani niambieni pia. Ukweli wako ndiyo mafanikio yangu.
Samahani kwa maelezo marefu.
muda wangu wote,juhudi zangu zote,ndoto zangu zote,
maisha yangu yote naona kama ndiyo yamefikia mwisho.
Nilifanya mtihani wa kidato cha sita kama private candidates,
lakin NIMEFELI nina Dvn four (4) ya 18,GS-s,hst f, kisw -D,na eng f.
ndoto za kwenda chuo kikuu zimeyeyuka ghafla,
naona giza totolo mbele yangu,ila naamini kupitia,
hapa JF naamini wadogo zangu,wanangu,wajukuu zangu,
pamoja na wakubwa wenzangu mtanisaidia kimawazo nini cha kufanya.
mimi napenda sana nikasomee CBE mambo procurement kwa kuanzia na
diploma je ntaweza kufanikiwa kupata nafasi.Form nimeshachukua ila
sijarudisha,wasiwasi wangu je nitaweza kupata nafasi??.
matokeo ya form four yana hst-c,kiswa-c,eng-b,geo-d,
civic-d,. Yataweza kunisaidia kuingia diploma??.
Sitaki mkopo najilipia mwenyewe kwa sababu mimi siyo mwajiriwa,
nimejiajili mwenyewe na vibiashara vyangu vyenye uwezo wa kuniwezesha,
kumudu gharama zote kipindi chote cha masomo.
Sijapeleka jukwaa la elimu kwa sababu kule kuna wachangiaji wachache,
tofauti na huku ambako naamini nitapata mawazo mengi sana na yenye kunifaa.
Nawaomba muwe wa wazi tu,kama inawezekana sawa na kama haiwezekani niambieni pia. Ukweli wako ndiyo mafanikio yangu.
Samahani kwa maelezo marefu.