nnunu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2011
- 654
- 230
- Thread starter
- #41
unaweza still kwenda chuo kikuu...kwa matokeo hayo hayo
hebu nenda ofisi za admissions za vyuo watakueleza how..
kama una uwezo wa kujilipia,basi nenda chuo kikuu moja kwa moja...
vyuo vipo vingi vyenye sifa
anza na udsm,nenda tumaini
halafu nenda IIT......
KUMBUKA CHUO KIKUU SIO LAZIMA KUANZA NA DEGREE...
UNAWEZA ANZIA NA KOZI NYINGINE HALAFU NDIO UKASOMA DEGREE UNAYOTAKA
ASANTE kwa ushauri wako,
kuanzia jumatatu itabidi nifanye kazi ya kuzunguka vyuoni na kuonana na watu wa administration ili nifahamishwe zaidi nitakiwacho kufanya.
Hata kwa ngazi ya cheti nipo tayari kuanza ili mradi nipate ujuzi mwingine.
SAMAHANI KWA LATE REPLY.