Niliyoyaona jimboni Karatu

Mada hii ingetolewa na mtu mwingine angalau ningeweza kutumia muda wangu kufikini mantiki ya kilichoandikwa. Lakini kwa kuwa imeandikwa na Kashaga ambaye ni Mwenyekiti wa Kitongoji kupitia CCM wala hainishitui maana hata siku moja hawezi kulisifia jimbo la Karatu wakati anajipendekeza kwa Mafisadi ili wamteue yeye akagombee karatu au Misenyi 2015. pole sana Kashaga maana utaambulia patupu hata kama utashindanishwa na kivuli cha Chadema.
 
safari ya kwenda loliondo ilinipa nafasi ya kufika jimboni Karatu na kujionea mambo mengi yaliyonivunja moyo na kunikatisha tamaa kabisa juu ya uwezo wa Dr Slaa! nilikutana na msururu wa kinamama wakiwa na ndoo wakienda sehemu za mbali kutafuta maji,pia kwa macho yangu niliweza kuona foleni ndefu sana za maji hii ilithibitisha kuwa kuna shida kubwa ya maji,pia niliweza kuona watoto wengi wa shule wakiwa hawana viatu miguuni,pia wananchi kwa ujumla walionekana wamekata tamaa ya maisha na nyuso zao zilionyesha hivyo! nikajiuliza hili si ndio jimbo la bwana slaa ambalo aliltumikia kwa miaka mingi,sasa kwanini alishindwa kutatua hizi kero za wananchi?? miaka yote alikuwa anafanya nini kama mbunge? kama jimbo dogo hili limemshinda je nchi angeiweza? nilijiuliza maswali mengi sana ambayo nilishindwa kuyapatia majibu kabisa
(Hii ni email niliyofowadiwa na rafiki yangu Mussa Mosha anayemiliki kampuni ya utalii pale Arusha na mfuasi mzuri wa chadema)

Nimependa kweli hili; labda ungemuuliza huyu rafiki yako aende kutembelea Mkuranga, Njombe, Peramiho, Namtumbo, Bumbuli, Kilwa, Mafia, Morogoro, Kinondoni, Tabata n.k halafu aje atuambie kama atakavyoviona huko ni tofauti na hicho alichokiona Karatu. Bila kubadilisha serikali kuu na mfumo ambao serikali hiyo imeutengeneza ni vigumu sana kuweza kufikia mabadiliko ya kweli. Ndio maana kinachohitajika si kubadili watu tu bali kuubadili mfumo mzima.

Labda ndio maana Slaa aliamua kuachia Karatu ili ajaribu kwenda kwenye chanzo cha tatizo- Ikulu.
 
safari ya kwenda loliondo ilinipa nafasi ya kufika jimboni Karatu na kujionea mambo mengi yaliyonivunja moyo na kunikatisha tamaa kabisa juu ya uwezo wa Dr Slaa! nilikutana na msururu wa kinamama wakiwa na ndoo wakienda sehemu za mbali kutafuta maji,pia kwa macho yangu niliweza kuona foleni ndefu sana za maji hii ilithibitisha kuwa kuna shida kubwa ya maji,pia niliweza kuona watoto wengi wa shule wakiwa hawana viatu miguuni,pia wananchi kwa ujumla walionekana wamekata tamaa ya maisha na nyuso zao zilionyesha hivyo! nikajiuliza hili si ndio jimbo la bwana slaa ambalo aliltumikia kwa miaka mingi

Bwana kashaga mimi nilikuwa mkazi wa karatu kwa miaka tisa, hayo uliyoona sio jimbo la Dr Slaa na kama kweli ulienda kwa babu njia inayotumika zaidi ni Engaruka jmboni kwa EL, sasa wewe unatia shaka kama kweli ulipita Karatu, pia nikukumbushe tu kwa mkwere hali za maisha za wakazi wake ambao tunawaona kila tupitapo kuelekea bongo dsm zinatisha lakini alipewa nchi kuiongoza na sasa Membe naye anatamani kuingia mjengoni 2015 lakini jimboni kwake hali ya maisha ya wapiga kura wake inatisha... karibu Karatu halisi ujionee maendeleo halisi na sio nadharia. Dr hana blaa blaa...
 
Kashaga ndg yangu! Suala si mtu au kiongozi mmojammoja. Ni vema kutambua kuwa tatizo tulilonalo ni mfumo wa utawala. Jimbo la Nanyumbu (Masasi/Mtwara) limeongozwa na Mh. Ben Mkapa hadi alipoukwaa urais na likagawanywa na kupatikana jimbo la Lulindi chini ya Mh. Anna Abdhallah. Wote hawa wameacha hali mbaya kwa wananchi wa majimbo hayo ingawa wanaonekana kuwahi kushika madaraka makubwa ktk nchi yetu hii. Narudia tena kuwa.. Tatizo tulilonalo ni mfumo wa kiutawala. Ndo mana hata mbunge awe na jina kubwa haisaidii kutatua kero zaidi ya mbunge husika kutumikia mfumo uliomuweka madarakani. Hasa kwa wabunge wa Chama tawala ni lazima watumikie mfumo.
 
huyu aliyetuma hii post ana matatizo. Nenda walipotoka maraisi wa hii nchi then umseme dakta. Ninachojua mimi karatu ni bora sana kuliko bagamoyo plus lupaso zunguka nchi ushabiki wa kitoto.
 
Mtu chaliii....... hihiiiii

dead-cockroach.jpg
 
ukweli siku zote unauma na unachoma,mi nilidhani mngejibu hoja kwa vielelezo lakini ni matusi tupu,mi nasema mtatukana matusi yoote ila hamtanifunga mdomo nitaendelea kusema ukweli,Slaa karatu kaishindwa kabisa miaka aliyokaa ni mingi sana pale! mbona kwa Ndesa nimepasifia bila kinyongo,kwanini nisionyeshe ushabiki wangu kwa kupinga mambo aliyofanya ndesa?? lakini amefanya na ndio maana nampongeza,mbowe pale hai amejenga miradi mingi ya maji na kusaidia mashule mengi sana! sasa slaa amefanya nini karatu? ni kipi anachoweza kutembea kifua mbele kafanya yeye kama mbunge(uwezo binafsi) hali ya karatu ni mbaya sana tuache ushabiki
 
Kashaga ndg yangu! Suala si mtu au kiongozi mmojammoja. Ni vema kutambua kuwa tatizo tulilonalo ni mfumo wa utawala. Jimbo la Nanyumbu (Masasi/Mtwara) limeongozwa na Mh. Ben Mkapa hadi alipoukwaa urais na likagawanywa na kupatikana jimbo la Lulindi chini ya Mh. Anna Abdhallah. Wote hawa wameacha hali mbaya kwa wananchi wa majimbo hayo ingawa wanaonekana kuwahi kushika madaraka makubwa ktk nchi yetu hii. Narudia tena kuwa.. Tatizo tulilonalo ni mfumo wa kiutawala. Ndo mana hata mbunge awe na jina kubwa haisaidii kutatua kero zaidi ya mbunge husika kutumikia mfumo uliomuweka madarakani. Hasa kwa wabunge wa Chama tawala ni lazima watumikie mfumo.

hicho kisiwe kigezo cha kukumbatia uozo au kuhalalisha watu ambao wameshindwa kuongoza majimbo wapewe nchi! soma signature yangu mandela amelisema vizuri sana
 
ukweli siku zote unauma na unachoma,mi nilidhani mngejibu hoja kwa vielelezo lakini ni matusi tupu,mi nasema mtatukana matusi yoote ila hamtanifunga mdomo nitaendelea kusema ukweli,Slaa karatu kaishindwa kabisa miaka aliyokaa ni mingi sana pale! mbona kwa Ndesa nimepasifia bila kinyongo,kwanini nisionyeshe ushabiki wangu kwa kupinga mambo aliyofanya ndesa?? lakini amefanya na ndio maana nampongeza,mbowe pale hai amejenga miradi mingi ya maji na kusaidia mashule mengi sana! sasa slaa amefanya nini karatu? ni kipi anachoweza kutembea kifua mbele kafanya yeye kama mbunge(uwezo binafsi) hali ya karatu ni mbaya sana tuache ushabiki

pamoja na kwamba umedeclare watu :"wanakujua' ngoja nikupe machache ya karatu
CCM kwa kutumua DMO wa pale miaka hiyo ambaye ni ndugu na aliyekua polisi gwiji wa uonevu - Ngowi (akiwa Moro) walijaribu sana kuyumbisha karatu L Hospital wakashindwa,
wakaamua kuua mradi wa maji wa Dr. Slaa na marafiki zake mwaka 2003-2005, wanakaratu wakang'oa mabomba na kuweka yao ya nguvu ya wananchi CCM wakashindwa
Ikapita lami
mashamba yamesimama
karatu ni mji wenye internet cafee nyingi kuliko bagamoyo na msata combined
karatu wa shule, miradi ya maendeleo na barabara nzuri la lami hadi getini hifadhi

ukishuka kidogo tu na kuanzia jimbo la lowasa, ambao wana chuo cha nguvu cha kijeshi utakutana na vitoto vya kimasai vinacheza uchi barabarani vipate mia tano za wazungu, utapishana na viboko on your way to makuyuni
utakutana na kila sign ya umaskini... lakini linganisha na utajiri wa mkuu EL

ukiena msata.. naomba siniseme zaidi
ukipita bumbuli, Yesu wangu!!! hata ile hospitali pamoja na jitihada zote za marafiki wa ELCT kusaidia, serikali na CCM wameshindwa hata kumotivate daktari kukaa pale... kunatia huruma
ukiendelea tutaenda na sehemu nyingine
 
mapungufu ya serikali unambambikia dk. Slaa? Kazi ya mbunge ni kuhamasisha maendeleo na kuibana serikali kuleta maendeleo. Bahati mbaya hii ya JK haina masikio, tumlaumu mbunge?
 
pamoja na kwamba umedeclare watu :"wanakujua' ngoja nikupe machache ya karatu
CCM kwa kutumua DMO wa pale miaka hiyo ambaye ni ndugu na aliyekua polisi gwiji wa uonevu - Ngowi (akiwa Moro) walijaribu sana kuyumbisha karatu L Hospital wakashindwa,
wakaamua kuua mradi wa maji wa Dr. Slaa na marafiki zake mwaka 2003-2005, wanakaratu wakang'oa mabomba na kuweka yao ya nguvu ya wananchi CCM wakashindwa
Ikapita lami
mashamba yamesimama
karatu ni mji wenye internet cafee nyingi kuliko bagamoyo na msata combined
karatu wa shule, miradi ya maendeleo na barabara nzuri la lami hadi getini hifadhi

ukishuka kidogo tu na kuanzia jimbo la lowasa, ambao wana chuo cha nguvu cha kijeshi utakutana na vitoto vya kimasai vinacheza uchi barabarani vipate mia tano za wazungu, utapishana na viboko on your way to makuyuni
utakutana na kila sign ya umaskini... lakini linganisha na utajiri wa mkuu EL

ukiena msata.. naomba siniseme zaidi
ukipita bumbuli, Yesu wangu!!! hata ile hospitali pamoja na jitihada zote za marafiki wa ELCT kusaidia, serikali na CCM wameshindwa hata kumotivate daktari kukaa pale... kunatia huruma
ukiendelea tutaenda na sehemu nyingine

hivi karatu internet cafe nani anatumia kama si wale watalii wanaokwenda mbugani ngorongoro? wananchi wa kawaida wasiokuwa na uwezo wa kununua hata gazeti watawezaje kuingia internet? je hizi internet ziliwekwa na slaa au ni wle wafanyabiashara wachache? ebu nipe swala la ajira karatu likoje? ongea mengine hapo sijaona
 
hivi karatu internet cafe nani anatumia kama si wale watalii wanaokwenda mbugani ngorongoro? wananchi wa kawaida wasiokuwa na uwezo wa kununua hata gazeti watawezaje kuingia internet? je hizi internet ziliwekwa na slaa au ni wle wafanyabiashara wachache? ebu nipe swala la ajira karatu likoje? ongea mengine hapo sijaona
Nimegundua huijui karatu sasa...

confirmed mtaalam wa "kujuliwa"

Nenda kapoteze muda tu pale uone upeoo wa wale watu halafu linganisha na msata... actually nenda kafee yoyote kaa na daftari tumia simple tally method uone percentage ya wanaoingia mule
 
safari ya kwenda loliondo ilinipa nafasi ya kufika jimboni Karatu na kujionea mambo mengi yaliyonivunja moyo na kunikatisha tamaa kabisa juu ya uwezo wa Dr Slaa! nilikutana na msururu wa kinamama wakiwa na ndoo wakienda sehemu za mbali kutafuta maji,pia kwa macho yangu niliweza kuona foleni ndefu sana za maji hii ilithibitisha kuwa kuna shida kubwa ya maji,pia niliweza kuona watoto wengi wa shule wakiwa hawana viatu miguuni,pia wananchi kwa ujumla walionekana wamekata tamaa ya maisha na nyuso zao zilionyesha hivyo! nikajiuliza hili si ndio jimbo la bwana slaa ambalo aliltumikia kwa miaka mingi,sasa kwanini alishindwa kutatua hizi kero za wananchi?? miaka yote alikuwa anafanya nini kama mbunge? kama jimbo dogo hili limemshinda je nchi angeiweza? nilijiuliza maswali mengi sana ambayo nilishindwa kuyapatia majibu kabisa
(Hii ni email niliyofowadiwa na rafiki yangu Mussa Mosha anayemiliki kampuni ya utalii pale Arusha na mfuasi mzuri wa chadema)

akili yako fyatu! Badala umlaum mkuu wa nchi unamlaumu Slaa?! Hivi budget ya kuboresha huduma za jamii inaanzia wapi? Kuwa waz kuwa una bifu ya udini na Dr Slaa.
 
akili yako fyatu! Badala umlaum mkuu wa nchi unamlaumu Slaa?! Hivi budget ya kuboresha huduma za jamii inaanzia wapi? Kuwa waz kuwa una bifu ya udini na Dr Slaa.

nchi ikiwa na wabunge kama kina slaa eti ambao wanaosubiri tonge toka kwenye bajeti basi tusahau kuhusu maendeleo,mbunge lazima awe mbunifu kuibua mikakati mbalimbali itakochochea maendeleo ktk jimbo lake coz wananchi wamemchagua yeye aweletee maendeleo! je slaa alishindwa katika hili?
 
Wewe Kashanga acha kukurupukua, tuulize watu tuliokulia Karatu kabla ya kuanza kumlaumu Slaa, Slaa ndiye mkombozi wao okiongelea matatizo ya maji, kwa maana zamani kabla ya ujio wake maji yalikuwa ni kama vile dhahabu.
 
Kashaga is a very interesting guy

Hata jamaa wa chadema moshi "wanamjua"
 
safari ya kwenda loliondo ilinipa nafasi ya kufika jimboni Karatu na kujionea mambo mengi yaliyonivunja moyo na kunikatisha tamaa kabisa juu ya uwezo wa Dr Slaa! nilikutana na msururu wa kinamama wakiwa na ndoo wakienda sehemu za mbali kutafuta maji,pia kwa macho yangu niliweza kuona foleni ndefu sana za maji hii ilithibitisha kuwa kuna shida kubwa ya maji,pia niliweza kuona watoto wengi wa shule wakiwa hawana viatu miguuni,pia wananchi kwa ujumla walionekana wamekata tamaa ya maisha na nyuso zao zilionyesha hivyo! nikajiuliza hili si ndio jimbo la bwana slaa ambalo aliltumikia kwa miaka mingi,sasa kwanini alishindwa kutatua hizi kero za wananchi?? miaka yote alikuwa anafanya nini kama mbunge? kama jimbo dogo hili limemshinda je nchi angeiweza? nilijiuliza maswali mengi sana ambayo nilishindwa kuyapatia majibu kabisa
(Hii ni email niliyofowadiwa na rafiki yangu Mussa Mosha anayemiliki kampuni ya utalii pale Arusha na mfuasi mzuri wa chadema)

Mini nadhani jambo la msingi ni kuangalia, taarifa hii in a ukweli au imepindishwa? Kama in a ukweli tuanze kujadili ukweli wake, na kama imepindishwa, tuangalie ilipopindishwa halafu tumuonye mtoa taarifa kuwa hapa JF sio sehemu ya kuleta ujinga ili watu waujadili. Ni vizuri zaidi tukajitofautisha na Dr. Slaa ambaye yeye akisikia jambo basi hulifanyia maamuzi hata kabla hajalifanyia kazi, wakati mwingine huwa nafikiria ana tatizo la cholesterol nyingi, au ndio tabia yake? Walio karibu nae wanaweza kutuambia vizuri zaidi ya vile ninavyofikiria mie.
 
Back
Top Bottom