Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,948
Yeye kama mbunge wa pale kwa miaka zaidi ya kumi alipambana vipi na hizo changamoto? huwezi kujivuna utaliletea taifa neema ikiwa kwako yamekushinda! wako wabunge wanaoweza kujivuna kutatua kero mbalimbali sasa yeye alifanya nini miaka yote?
Ulikwenda mara ya kwanza Karatu lini na hali ilikuwaje kulinganisha na ulichokiona safari hii (kama kweli ulikwenda)?