Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Ndugu zangu, Leo baada ya kupoteza muda wangu mwingi kumsikiliza Mh Dr JK nimepata kumfahamu zaidi na namna anavyoendesha nchi yetu.
1. Raisi wetu ana ''below average thinking capacity'' kama sitakosea masomo yake ya degree ya kwanza alipata GPA ya 2.0 hadi 2.5.
2. Dr JK anaongoza hii nchi kwa kutumia madesa na hii ni hatari sana maana hafikirii kufanya tofauti na kilichofanywa nyuma hata kama kuna haja ya kufanya hivyo.
Mwenye mengine unakaribishwa kushusha....
Nawakilisha
Ni mtu ambaye anajijua tofauti na alivyo nikimaanisha alivyosema yeye anaiongoza hii nchi kwa democrasia na yeye sio dicteta wakati ni bora dicteta kuliko yeye anayejifanya sio dicteta wakati ndiye