IsangulaKG
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 706
- 386
Ndugu zangu, Leo baada ya kupoteza muda wangu mwingi kumsikiliza Mh Dr JK nimepata kumfahamu zaidi na namna anavyoendesha nchi yetu.
1. Raisi wetu ana ''below average thinking capacity'' kama sitakosea masomo yake ya degree ya kwanza alipata GPA ya 2.0 hadi 2.5.
2. Dr JK anaongoza hii nchi kwa kutumia madesa na hii ni hatari sana maana hafikirii kufanya tofauti na kilichofanywa nyuma hata kama kuna haja ya kufanya hivyo.
Mwenye mengine unakaribishwa kushusha....
Nawakilisha
Ati katoa Uhuru wa Maoni, Uhuru kautoa yeye au upo kikatiba? kIKWETE anashindwa Kutambua kuwa miaka ya nyuma watu hawakuwa na uwezo mzuri wa kufikiri, tulikuwa na wasomi wachache na sasa watu wanajua haki zao?
Kwani ni lazima acopy na kupaste staili ya Mwinyi na Mkapa ya kurekebisha Katiba? Lazima asisimamie yeye? Kama ametoa uhuru anaojitapa nao anaona woga gani kuacha kukalia uundwaji wa katiba? Kuna muda napata kichefuchefu sana nikimsikiliza!