Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Usihofu, hauko peke yako. Hata vijana wengi wanaoikimbilia chadema hawana sababu na kuna siku wataichukia bila sababu pia...
Nahisi una mtindio wa ubongo maana chadema si ya vijana tu bali hata sie wazee wenye busara zetu tupo.
Maneno yako ni matusi kwetu wazee wa chadema.