sweetlady
JF-Expert Member
- Dec 24, 2010
- 16,947
- 8,409
Amejisikia kusutwa moyoni manake alichokifanya hakikuwa sahihi,Huyo jamaa nae ni zuzu,kwa nin asingerudi kimya kimya tu?
Sikujua kama mtu akiwa mkweli ndio anaitwa zuzu!
Amejisikia kusutwa moyoni manake alichokifanya hakikuwa sahihi,Huyo jamaa nae ni zuzu,kwa nin asingerudi kimya kimya tu?
Huyo jamaa nae ni zuzu,kwa nin asingerudi kimya kimya tu?
Karibu lola..asante kwa kuendelea kuujenga moyo wangu uliokuwa umeanza kupasuka
Mpige chini huyo jamaa afu uje kwangu, yaani watoto wazuri wenye mapenzi ya ukweli kama nyie wanazingua? Sie wengine kila siku tunaangukia pua kwenye choices, kudadadeki..!
Piga chini huyo...!ainkiller:
duh!!!! i dnt know wat to say really
on one side this guys has realized that he has done wrong nd has come clean abt it hence shows to be an honest man
on the other he has shown he cn no nolonger be trusted.
sasa mie ushauri wangu ni kwamba mwambie kaka asante sana kwa ukweli wako but this is the end of the realitionship becoz the trust has be broken and hence will also be uneasy with u being all the way there in arusha.
mwisho kabisa dada yangu...long distance realtionship never work...so never try it again!!![/QUOTE]
Hapo kwenye blue mkuu umenikatisha tamaa...
Aiseee! Wanaume si watu.
Muulize sababu iliyomfanya amtongoze rachel wakati yupo na wewe. Sababu ya kuacha na rachel na sababu zinazomfanya arudi kwako. Kama sababu zake zinaridhisha msamehe na mrudiane. Bora huyo kawa muwazi, unaweza ukaangukia kwa njemba lingine likawa hovyooo.
husinyo hata kama nitamuuliza na akanieleza itanisaidia nini si nitaendelea kuumia tu?
Aiseee! Wanaume si watu.
Kama sababu zake zinaridhisha msamehe na mrudiane.
Bora huyo kawa muwazi,
lingine likawa hovyooo.