Candela
JF-Expert Member
- Aug 12, 2021
- 622
- 1,643
"Kuna huyu binti tulipendana sana, kutokana na mambo ya kazi muda mwingi yeye ndio huanza kunicheki iwe kwa kupiga au sms, sasa ghafla kaanza kulalamika kwamba kwanini kuwasiliana mpaka anitafute yeye, kulingana na kazi yake simu anaweka mbali so napopiga muda yuko bize hapokei hivyo nikamwambia siwezi kupiga nikijua haupokei muhimu ni wewe unapokuwa free nicheki ntakupigia au kama ukipiga tutaongea.
Sasa kashikilia imekuwa ugomvi kiasi naona nashindwa kuendelea nae.
Binafsi siwezi kuwa nampigia hapokei eti atakuta missed call kama anavyodai yeye angalau akikuta missed call anajua nilimkumbuka.
Nimeshindwa kuelewa kabisa hebu nisaidieni nyie wabobezi situation kama hii mnatokaje". Nawasilisha.
Sasa kashikilia imekuwa ugomvi kiasi naona nashindwa kuendelea nae.
Binafsi siwezi kuwa nampigia hapokei eti atakuta missed call kama anavyodai yeye angalau akikuta missed call anajua nilimkumbuka.
Nimeshindwa kuelewa kabisa hebu nisaidieni nyie wabobezi situation kama hii mnatokaje". Nawasilisha.