Rchesse
Member
- Apr 23, 2019
- 60
- 28
Mimi ni mwanafunzi diploma in computer science. Nimeangalia google, kwa nchi nyingine php ni kama ya kizamani kidogo na wengi hawa recommend. Lakini kuna mtu kaniambia tanzania website nyingi bado zinatumia.
Je, hili ni kweli?, Kwasababu naogopa nisije soma kitu ambacho kwenye mazingira yangu hakitumiki.
Je, hili ni kweli?, Kwasababu naogopa nisije soma kitu ambacho kwenye mazingira yangu hakitumiki.