snowhite acha tuu aiseahahahahah umemisika pia best,mno!mimi hasa kila nikiliona range nakumiss
cha!
Habari zenu wana jf,
jamani napenda kuja kwenu mnishauri,natamani niwe single,na nina wasiwasi kwamba ntakuwa sina furaha kwa kukosa company kama mawasiliano na outing za pamoja na mpenzi,je nnaweza kuishi vipi nifurahie maisha ya kuwa single kwani nina muda mrefu sana tangu nilipokuwa single.please i need your help dears.
aaha kila siku natoa link ya our singles network...mi ndo md mwenyewe...ok...kwanza ili kuwa happy single lazima uwe na vifuatavo
- financial freedom...i mean really freedom,yani unaenda kokote anytime tukikuita visiwa vya saanane weekend unakuja bila stress fasta.
-life is short...dont waste it in hate na maugomvi au beef zisizo na msingi...try to be happy all the time
- inabidi uwe mpenzi wa movies...ratiba ya quality centre na mlimani city uwe nayo...
-learn new things,new courses expand your career
-chat.chat.chat..ila usi entertain kukutana physically..nimeskia story story si nzuri sana.install skype in your pc (afu add me:wave
-single life ni noumaaaaaa...
eti eeeh, masingo wote ntawaleta. ila kaka chombeza chombeza basi kwa huyu mlimbwende.
1. Jiunge na kwaya kanisani
2. Fanya mazoezi ya viungo kwa wingi
3. Soma biblia
4. Jitolee kusaidia vituo vya watoto yatima.
watu tunatofautiana kaka, yy hajazoea kuwa single ndio maana anaomba ushauri. wengine single life ndio mpango mzima na tunaenjoy. ila hebu mzoee zoee nataka wifi mie jamani. lolWalete wote hasa wa kike sawaeeeeeeeeehh!!!!!!!
Huyu unadhani yuko single kama navyodai?
Aaaahhh wapi
Siku hizi hii ndio dizaini mpya ya kutafuta wachumba!
Hana lolote
Serious,mimi niko singo na nina mwaka sijaona kyupi ya mwanamke
Si unanijua?
Sasa mbona sijaja hapa kutafuta ushauri?
Mstukie huyo!!!!!!!
watu tunatofautiana kaka, yy hajazoea kuwa single ndio maana anaomba ushauri. wengine single life ndio mpango mzima na tunaenjoy. ila hebu mzoee zoee nataka wifi mie jamani. lol
Aaha kila siku natoa link ya our singles network...mi ndo MD mwenyewe...ok...kwanza ili kuwa happy single lazima uwe na vifuatavo
- Financial Freedom...i mean really freedom,yani unaenda kokote anytime tukikuita visiwa vya saanane weekend unakuja bila stress fasta.
-life is short...dont waste it in hate na maugomvi au beef zisizo na msingi...try to be happy all the time
- inabidi uwe mpenzi wa movies...ratiba ya quality centre na mlimani city uwe nayo...
-learn new things,new courses expand your career
-chat.chat.chat..ila usi entertain kukutana physically..nimeskia story story si nzuri sana.install skype in your pc (afu add me:wave
-single life ni noumaaaaaa...
Bado sijaamua kukutafutia wifi bana
We subiri tu
Si tuikuze parokia yetu kwanza
Kama ukipata shida yoyote nitakusaidia
Mimi si ndio niko karibu yako bana
Tushikamane kwanza kwenye parokia mambo ya wifi baadae!
Mi naona hili kama tangazo vile...haya jamani wale wa kiumeni wenye uwezo mzuri wa kutoa malezi kwa walimbwende...fanyeni mpango wa kumliwaza huyu single lady
We single He/She? Manake nimeitamani hii! nikipewa talaka ntajiunga,
Habari zenu wana jf,
jamani napenda kuja kwenu mnishauri,natamani niwe single,na nina wasiwasi kwamba ntakuwa sina furaha kwa kukosa company kama mawasiliano na outing za pamoja na mpenzi,je nnaweza kuishi vipi nifurahie maisha ya kuwa single kwani nina muda mrefu sana tangu nilipokuwa single.please i need your help dears.