Sikuachi Baby

Song of Solomon

JF-Expert Member
Aug 5, 2021
2,733
5,490







Sehemu Ya Kwanza (1)

Ilikuwa ni siku ya jumamosi majira ya saa kumi kamili za jioni, hali ya hewa ilikuwa ni ya mvua ya wastani sanjari na baridi kali. Nilikuwa ndani ya chumba changu nimejilaza kitandani huku nikiwa nimejifunika mashuka mawili kwa mpigo nikiamini hiyo ndiyo ilikuwa njia pekee ya kupambana na baridi iliyokuwa ikiendelea kunitafuna mifupa lakini haikuwa kama nilivyokuwa nikidhani, baridi ile iliendelea kunishambulia vilivyo.
“Aaagghh, hii baridi nayo,” niling’aka kisha nikajisemea maneno niliyoyasindikiza na tusi mubashara. Hiyo ilikuwa ni kawaida yangu hasa pale lilipotokea jambo la kunikwaza nilikuwa mwepesi sana wa kutukana.
Licha ya tabia yangu hiyo ambayo naweza kuiita ilikuwa ni tabia ya kipumbavu lakini nilijaaliwa kuwa miongoni mwa vijana ambao walisifika sana kuwa wapole na heshima.
Sijui ni nini kilitokea ila nilijikuta nikipokea sifa kedekede kutoka kwa ndugu, jamaa pamoja na majirani niliyokuwa nikiishi nao, walikuwa wakinisifu juu ya upole wangu ati! Mwenyezi Mungu alinibariki muonekano wa upole na kila mtu alivutiwa na upole wangu.
Kwa kweli sifa ambazo walikuwa wakinisifia hazikuendana kabisa na mimi, kuna kipindi nilikuwa nikihisi labda walikuwa wakinikejeli hii ni kutokana na tabia chafu zilizokuwa zimejificha ndani yangu, hakukuwa na mtu aliyekuwa akinifahamu undani wangu, sifa za upole zilizokuwa zimetawala pale mtaani nilipokuwa nikiishi zilinisaidia kuficha maovu niliyokuwa nikiyafanya nyuma ya pazia na hiyo ndiyo ilikuwa sababu kubwa iliyochangia mpaka watu wasifahamu kile kilichokuwa kikiendelea katika maisha yangu.
Labda nikuambie kitu ndugu msomaji mbali na sifa zangu za upole zilizokuwa zimetawala kila kona lakini nyuma ya pazia kulikuwa kuna mambo yalikuwa yakiendelea yasirisiri ambayo hakukuwa na mtu ambaye alikuwa akiyafahamu.
Nilikuwa nikifanya kazi ya udereva wa bodaboda kazi ambayo ilinifanya nikutane na wasichana wengi sana ambao mwisho wa siku nilikuwa nao kimapenzi, miongoni mwa hao wasichana niliyokuwa nao kimapenzi mwisho wa siku wamefanya niwe kilema, niishi maisha ya kukisubiri kifo changu kwa maana siwezi tena kutembea wala kufanya lolote.
Kila nikikumbuka yale niliyoyafanya nyuma katika maisha yangu kwa kweli kuna muda nakiri kuwa hata kwa ukilema huu niliyokuwa nao ni haki yangu kabisa wala sitakiwi kumlaumu mtu yoyote yule.
Japo nimeamua kukusimulia kwa mfumo wa chombezo lakini naomba unifuatilie kwa umakini kuna vitu naamini utajifunza na kama kuna sehemu itatokea nitakuwa nimekukwaza basi utanisamehe bure.

Tuendelee na chombezo letu…..

Wakati mvua ikiendelea kunyesha huku baridi nayo ikiendelea kunishambulia nikaamua kuamka kwa ghadhabu pale kitandani, uso wangu nilikuwa nimeukunja vilivyo kwa hasira zilizokuwa zimenijaa kichwani.
Tatizo kubwa lililokuwa likiniweka katika hali hiyo ilikuwa ni mvua iliyokuwa ikinyesha, ilikuwa ikinizuia kwenda kumchukua mteja wangu aliyekuwa akijulikana kwa jina la Samira. Nilikuwa na kazi ya kumpeleka kila siku kazini kwake maeneo ya Posta na kumrudisha nyumbani kwake Tandika Azimio, alikuwa akinilipa kwa siku.
Niliamini kwa mvua ile iliyokuwa ikiendelea kunyesha bila kuwepo dalili zozote za kukata basi niliamini nilikuwa nikienda kuikosa hela ya Samira msichana ambaye nilikuwa nikiishi naye mtaa mmoja.
Niliichukua simu yangu aina ya Tecno R6 nikaiwasha, nikaitoa pattern kisha nikaingia katika uwanja wa kuandika ujumbe mfupi, nilikuwa nikimuandikia ujumbe Samira.
“Mambo my.”
“Poa Metusela niambie.”
“Kama kawa vipi bado uko kazini?”
“Ndiyo nakusubiri sikuoni.”
“Na mvua hii nakujaje sasa?”
“We njoo hivyo hivyo bhanaa.”
“Au uchukue bajaji?”
“Bajaji sitaki.”
“Au daladala.”
“Sitaki pia.”
“Unataka nini?”
“Nataka uje unichukue na pikipiki yako.”
“Jamani sasa nitakujaje huko?”
“Wewe tafuta njia yoyote ya kuja mimi siondoki mpaka uje unichukue,” alinitumia ujumbe huu Samira kisha huo ndiyo ulikuwa mwisho wa chatting zetu.
Mpaka kufikia wakati huo nilikuwa nimeshapagawa, sikujua nilitakiwa niende vipi mpaka posta kwenda kumchukua, nilipoitazama saa yangu ilikuwa ni saa kumi na nusu. Nilizidi kuwa katika hali ile ya ghadhabu huku kila wakati nikichungulia nje kutazama kama mvua ilikuwa imepungua.
Kama utani vile ilipofika saa kumi na moja kasoro dakika tano hatimaye mvua iliweza kukata, sikutaka kupoteza muda tena nilichukua koti langu nikalivaa kisha nikatoka nje nikaielekea pikipiki yangu na sasa safari ya kwenda posta nikaianza.
Barabarani nilikuwa nikiendesha pikipiki lakini nilikuwa nikiufikiria ule uzuri aliyokuwa nao Samira, moyoni sikutaka kuamini kama kweli alikuwa bado hajaolewa maana alikuwa ni msichana mrembo haswaaa.

Alikuwa na sura ya kuvutia, macho legevu ya kurembua, kifua chake kilibarikiwa chuchu za kusimama mithili ya ncha ya mkuki, umbo lake lilikuwa limejengeka vyema na kuunda namba nane. Alivutia mno kutazama si kwa nywele zake ndefu alizokuwa amezifunga kwa nyuma, mwendo wake wa maringo wala kwa sauti yake laini ya kubembeleza.
Kwa mwendo wa dakika kumi nilikuwa tayari nimeshafika Posta nje Kampuni ambayo alikuwa akifanya kazi Samira, nikampigia simu kumjulisha kuwa nilikuwa nje kwa wakati ule nikimsubiri, haikuchukua sekunde akaweza kutoka nje.
Alikuwa amevalia mavazi yake ya kiofisi, sketi nyeusi fupi iliyoyaacha vyema mapaja yake wazi kwa juu alivalia T-shirt nyeupe iliyokuwa imeandikwa jina la kampuni yake kwa maandishi ya rangi nyeusi.
“Umenisubiri sana?” nilimuuliza alipokuwa amesimama mbele ya pikipiki yangu aina ya Boxer huku akiwa amekishikilia kiuno chake kilichokuwa kimebonyea kwa ndani mithili ya kiuno cha mdudu nyigu.
“Ndiyo nimekusubiri sana muda mrefu yani mpaka nikakata tamaa,” aliniambia Samira kwa suti ya kudeka.
“Tatizo ni mvua yani isingekata sijui ingekuwaje?”
“Na mimi nisingeondoka kabisa ofisini.”
“Kisa nini?”
“Hujaja kunichukua,” aliniambia kisha nikacheka.
Niliendelea kuutazama uzuri wa Samira na kila nilipokuwa nikiyapeleka macho yangu kwake nilizidi kukiri alikuwa ni mrembo kupitiliza.
“Kumbe mpaka jumamosi unaingia ofisini?” nilimuuliza.
“Hapana kuna kazi zilibaki jana leo ndiyo nimezimalizia,” alinijibu.
“Hapo sasa nimekuelewa vipi twende zetu sasa maana hili wingu jinsi lilivyofunga muda wowote mvua itashuka tena,” nilimwambia.
“Usijali Metusela ila nahisi baridi sana unaweza kuniazima koti lako?” aliniuliza.
“Hakuna shaka,” nilimwambia halafu nikavua koti langu nikampatia kisha akalivaa baada ya hapo akapanda kwenye pikipiki kisha tukaondoka zetu.
****
Nilimfikisha nyumbani kwake salama salimini jambo ambalo lilimfurahisha sana, alipenda sana kunisifia kutokana na uhodari wangu katika kuendesha pikipiki kisha akaichukua pochi yake akatoa hela halafu akanilipa kama ilivyokuwa kawaida yake.
Nilimshukuru sana lakini ajabu hakupendezewa na kitendo kile, aliniambia kuwa sikutakiwa kufanya vile mbele yake kwani kile alichokuwa akinipa kilikuwa ni haki yangu yani jasho langu hivyo sikutakiwa kumshukuru sana.
“Oooh, halafu nilitaka kusahau,” aliniambia huku akionekana kusahau kitu.
“Ulitaka kusahau nini?” nilimuuliza.
“Koti lako halafu nimejisahau kabisa nimelifanya kama langu.”
“Usijali hilo naweza kulichukua siku yoyote,” nilimwambia kisha sikutaka kupoteza muda nikamuaga halafu nikaondoka eneo lile.
Nilipofika nyumbani kwangu bado niliendelea kuteseka na hisia za mapenzi ambazo zilianza kuniingia ghafla! moyoni, nilijikuta nikiutumia muda mrefu sana katika kumfikiria Samira msichana ambaye nilitokea kumpenda sana.
Sikujua nilitakiwa kuanzia wapi kumueleza ukweli wa siri iliyokuwa ikinitesa moyoni, nilimpenda sana na nilitamani alifahamu hilo.
Wakati nilipokuwa nikiendelea kumuwaza nikaichukua simu yangu nikaingia whatsApp na kitu nilichoamua kukifanya ni kulitafuta jina lake na kuanza kumuangalia profile picha ambayo alikuwa ameiweka. Alikuwa ameweka picha aliyopiga kipindi yupo kazini.
Nikazidi kudata na muonekano wake uliyonivutia kupitiliza. Picha yake ilionekana nusu tena akiwa amekaa, ilianzia kumuonyesha sura yake mpaka usawa wa mapaja yake. Nikamtazama kwa umakini kila kiungo chake nilichokuwa nikikiona katika picha hiyo, alikuwa amekaa hakika alinivutia mno.
Hali ya hewa bado ilikuwa ni ya ubarini iliyohamasisha sana kufanya mapenzi, nilizidi kumtazama Samira pichani na hakukuwa na kitu kingine nilichokuwa nikikifikiria zaidi ya mapenzi. Hisia za mapenzi zilizonijia zilikuwa ni juu yake na hata katika upande wa kifikra nilimuwaza yeye.
Wakati nilipokuwa nikiendelea kumuwaza Samira ghafla! Simu yangu iliingia ujumbe mfupi, nilipoufungua na kuusoma ulikuwa ni ujumbe kutoka kwa Sesilia msiichana ambaye nilikuwa katika mahusiano naye ya kimapenzi, alikuwa amenitumia ujumbe wa kunijulia hali lakini kutokana na chuki nilizokuwa nazo juu yake sikutaka kumjibu lolote.
“Metu mpenzi wangu vipi uko salama?” alinitumia ujumbe mwingine ambao sikutaka kuujibu hata aliponipigia simu pia sikutaka kupokea.
Nilimchukia sana Sesilia, nilimfanyia kila aina vituko, kila siku tulikuwa tukiingia katika mgogoro ambao chanzo kilikuwa ni mimi. Hakukuwa na usalama wa penzi kila siku nilikuwa ni mtu wa kuwaza kumkwaza, nilikuwa tayari nimemchoka na hii ndiyo sababu iliyonifanya mpaka hisia zangu za mapenzi nikazihamisha kwa msichana mwingine.
Alikuwa ni Samira msichana mrembo ambaye niliamini siku moja nitampata na angeweza kuufurahisha moyo wangu ambao ulikuwa tayari umeshamtamani. Niliamini kushinda katika hilo hivyo sikuwa na shaka hata kidogo.

Huyu Sesilia ambaye ni mpenzi wangu mwanzoni kabla ya uhusiano wetu alikuwa ni abiria wangu kama walivyokuwa wengine. Nakumbuka niliwahi kumpeleka sehemu nyingi sana ambazo alikuwa akihitaji nimpeleke na alikuwa akinilipa.
Hakukuwa na mazungumzo mengine kati yetu zaidi ya udera na uabiria. Alikuwa ni msichana ambaye alionekana kuwa na msimamo sana pia alikuwa akijiheshimu hata katika upande wake wa mavazi alikuwa akivaa nguo za heshima ambazo zilimuweka katika muonekano wa kuheshimika kila wakati.
Macho yangu ya matamanio kwa wasichana hayakuacha kumtamani Sesilia ambaye nilimuingilia na gia ya kumuoa kabisa endapo angeweza kunikubali na kunikabidhi moyo wake wa mapenzi.
Nilianza na kumpa ofa ya kutonilipa pesa yake pale ambapo alihitaji usafiri wangu na hii ndiyo ilikuwa kama kilainishi cha kumfanya azidi kuniona nampenda sana.
Kama utani akaweza kunikubalia ombi langu na akazidi kuleweshwa na ahadi zangu za kutaka kumuoa kabisa. Sikutumia nguvu nyingi sana ya kumpata Sesilia bali ni akili na utundu fulani kidogo niliutumia.
Washikaji zangu wengi ambao nilikuwa nafanya nao kazi hii ya udereva wa bodaboda walishindwa kuelewa kwa kile kilichokuwa kikitokea katika maisha yangu, kumiliki watoto wazuri kila siku na kila msichana niliyekuwa naye alikuwa akimzidi mwenzake kwa uzuri. Waliamini nilikuwa natumia kizizi katika kuwang’oa wasichana wazuri jambo ambalo halikuwa na ukweli ndani yake.
Kichwani nilikuwa nimenyoa kiduku huku ukifuatiwa na muonekano wangu wa kawaida ambao ulisindikizwa na utanashati, nadhani hii pia ilikuwa ni sababu nyingine ilyowafanya wasichana wavutiwe na mimi. Sikuwa ni mtu wa kuongea sana kwanza nilikuwa nina aibu sana hata lilipofikia suala la kumueleza ukweli msichana nilipata kazi kubwa mno lakini mwisho wa siku mambo yalikuwa katika mstari.
Nilikuwa katika mapenzi na Sesilia huku akijaribu kuwa msichana wa tofauti sana katika maisha yangu, alikuwa akijaribu kunibadilisha kutokana na muonekano ambao nilikuwa nao, hakuupenda hata mara moja na kila wakati nilipokutana naye ulikuwa ni kama wimbo wataifa, alinisisitiza sana nijiweke katika muonekano wa kuheshimika.
“Sipendi hata mara moja jinsi unavyojiweka Metu,” aliniambia Sesilia huku akiwa ameukunja uso wake. Nilifahamu alikuwa amechukia hivyo nilitafuta maneno ya kumwambia ile niweze kumuweka sawa, wakati huo alikuwa amenifuata ghetto majira ya usiku.
“Usinune mpenzi unajua najiweka hivi ili kuvutia abiria wapende kupanda pikipiki yangu au hupendi mumeo nizidi kupiga pesa kila siku?” nilimwambia kwa sauti ya upole kisha nikamuuliza swali ambalo niliamini jibu lake ni ndiyo.
“Napenda lakini mimi sipendi hivyo unavyojiweka,” alinijibu.
“Usijali basi nitabadilika siunajua mimi ndiyo mumeo?”
“Ndiyo najua.”
“Basi usininunie.”
“Sawa sikununii tena,” aliniambia.
Kwa muda ambao alikuwa amenifuata ni wazi kuwa kuna kitu alikuwa akikihitaji na hakukuwa na kitu kingine zaidi ya mapenzi. Nililifahamu hilo kutokana na machejo aliyokuwa akiyaleta.
Alianza kunitekenya pale kitandani tulipokuwa tumekaa huku akizidi kujivuta na kuwa karibu na mimi. Tukaanza kucheza ile michezo ya kitandani ya kukumbatiana, kupapasana huku tukibadilishana mate yasiyokuwa na idadi.
Sesilia uvumilivu ulimshinda mwisho akaanza kunitoa nguo moja baada ya nyingine, nikabaki mtupu akanitazama kwa macho yaliyogubikwa na aibu kisha hapo hapo akauelekea mtarimbo wangu uliyokuwa umesimama wima kama nguzo ya umeme.
Kitendo kilichofuata mahali hapo alianza kuunyonya mtarimbo wangu mithili ya mtu aliyekuwa akinyonya koni au lambalamba, alihakikisha kila eneo analipitia vyema kwa ulimi uliyotambaa taratibu na kuniacha katika msisimko wa hali ya juu.
Wakati huo nilikuwa bado sijachojoa nguo zake, alipofikia wakati wa kutembea na ulimi mwilini mwangu hakika sikutaka kuendelea kuwa shuhuda wa kushuhudia sinema ya ngono ambayo mwisho wa siku ningeweza kuwa msimuliaji.
Nilianza kumchojoa nguo zake na mara baada ya kumaliza sikutaka kuremba mambo nilimkamata na kumlaza chali kitandani kisha nikayapanua mapaja yake yaliyokuwa yamenona kiasi.
Nilipata wasaa wa kutalii katika mwili wake uliyokuwa umegubikwa na kila aina ya kiungo kilichokuwa kikiniita. Niliutazama mdomo wake mpana wa kunyonya, shingo yake, kifua chake, tumbo lake, kitumbua chake, mapaja yake pamoja na miguu yake.
Nilitaka kumuonyesha ufundi na ustandi niliyokuwa nao katika kufanya mapenzi, kwa wakati ule ambapo alikuwa amelala chali kitandani nilipaga kuanzia kwenye nyayo zake kupanda kwa juu.
Nilitumia viganja vyangu katika kumpapasa nyayo zake, kitendo hicho kikamfanya atokwe na kicheko huku akijirusharusha pale kitandani, nikaanza kupanda taratibu kwa kutumia viganja vyangu na nilipofika katika kitumbua chake niliamua kuweka kambi kidogo, kama unavyojua tena sehemu hii ndipo panapotoaga watu roho, nikaamua kutumia upole, nikaanza kupasugua taratibu huku nikimtazama usoni Sesilia, alionekana kunogewa mwisho akaanza kutokwa na sauti za miguno ya ajabu ajabu.
“Metu nahitaji please, ingizaaa,” aliniambia kwa sauti iliyokosa uvumilivu na mimi kwa masifa sikutaka kuingiza mapema nikazidi kutembelea kiungo kimoja baada ya kingine, nilipanga kumkoleza na utamu wa penzi ambalo niliamini hakuwahi kulipata mahali popote pale.

ITAENDELEA.,.

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
SIKUACHI BABY 2



Niliendelea kupanda kwa juu taratibu mpaka pale nilipofika mdomoni na kuanza kubadilishana naye mate. Alikuwa amelegea mwili mzima, nikazidi kupata upenyo wa kufanya lolote na kila nilivyomuweka alijiweka kama nilivyotaka.
“Metu please naomba unipee njoo ingizaa naumiaa,” aliniambia kwa sauti ya kunong’ona huku akitokwa na mihemo. Alichokuwa akikihitaji ni mechi dhidi yangu na yeye.
Niliporidhika kuwa nilifanikiwa kumlainisha kila sehemu ya mwili wake sasa nikaamua kuingia uwanjani huku nikiwa nimejipanga kwa kushindana na timu pinzani.
Wakati Sesilia akiwa katika staili ya kulala chali, taratibu nilianza kumuingiza mchezaji wangu uwanjani, sikutaka kuweka mbwembwe sana, niliamini kuwa mshindi katika mchezo huo.
Alianza kutokwa na miguno ya utamu kipindi mchezaji wangu alipokuwa akiingia. Miguno yake ikanifanya nianze kupandisha wazungu weupe lakini nilijitahidi kuwazuia wasitoke mapema, niliogopa kuonekana dhaifu wa mchezo.
“Ooooh, Aaaaaiiisshhhh tamuuu tamuuu Metuuu ingiza yoteeee,” alizidi kutokwa na miguno ya kimahaba.
Mchezaji wangu alipofanikiwa kuingia ndani ya uwanja nilitokwa na mguno wa msisimko niliyokuwa nimeupata. Nikaanza kumchezesha huku nikijitahidi kukaba kila kona na nilikuwa katika kasi ya ajabu sana, nilikuwa namuingiza ndani na kumtoa nje, kama muda wa dakika tano nikawa tayari nimesha funga goli lisilokuwa na kasoro yoyote, goli la dume la mbegu.
“Ooooohh Babyyyy aaaaaahhhh nimwagiee ndani mwaga babyyyy,” alisema Sesilia huku akitokwa na miguno ile ile ya kimahaba, alikuwa amenikumbatia kisawasawa.
“Tayari babyyy,” nilimwambia huku nikigugumia kiume, nilikuwa nimepandwa na mizuka.
Mchezaji wangu hakuonekana kuchoka hata kidogo na baada ya kumaliza kufunga goli nikaendelea kumcheza kwa kasi ileile ya bila kupumzika. Akazidi kupagawa na aina ya uchezaji wangu wa bila jezi wala namba, nikazidi kumtawala huku jasho likiwa linanitiririka kwa wakati huo.
Haikuchukua muda Sesilia akaanza kufunga magoli mfululizo, akajikuta amefunga magoli mawili ya bila kuyategemea, akanitazama kwa macho ya huba, nikamtazama, macho yetu yakakutana. Wakati huo nilikuwa juu ya kifua chake chenye matiti makubwa. Mchezaji wangu bado alikuwa ndani ya uwanja.
“Vipi niendelee?” nilimuuliza huku nikimtazama.
“Hapana baby utaniua nimechokaa,” alinijibu kisha akavuta pumzi ndefu na kuziachia kwa pupa.
“Kwahiyo?” nilimuuliza.
“Tupumzike kidogo,” alinijibu kisha nikafanya kama alivyoniambia, tukapumzika kidogo huku nikiendelea kumtomasatomasa sehemu mbali mbali za mwili wake, alizidi kuonekana bado anauhitaji mchezo na tena kwa wakati ule ambao alikuwa amenifunga magoli mawili huku mimi nikiambulia goli moja la ushindi, yaani ndiyo kwanza alizidi kunipandisha wazimu, nikatamani kumrukia niuendeleze mchezo lakini nilighairi kufanya hivyo, sikutaka azidi kuniona nina thamini sana kufanya naye mapenzi kuliko kuzijali hisia zake. Niliendelea kusubiri huku muda wetu huo wa mapumziko ukisindikizwa na stori za kuchombezana.
“Vipi sasa?” nilimuuliza mara baada ya kupumzika kama dakika kumi.
“Una hamu sana na mimi?” aliniuliza.
“Ndiyo mpenzi sasa unataka hamu zangu nikazipeleke wapi?” nilimuuliza kisha nikaamka kitandani, nikaenda kukaa katika kochi dogo, nikamuita, aliponikaribia nikampa ishara ya kunikalia huku mapaja yake akiwa ameyatanua vyema. Tukatenganeza herufi “N” pale tulipokuwa tumekaa.
“Oooohhh baby tamuu sanaaa,” alianza kutokwa na miguno nilipokuwa nampandisha juu na kumshusha taratibu kwa chini mpaka pale alipozoea, akaanza kukinengua kiuno chake mithili ya mtu aliyekuwa akifuata mapigo ya ngoma.
“Oooh babyyy sikuachiii babyyy aaaaahhh tamuuuu,” aliendelea kutoa miguno ya raha alizokuwa akizipata.
Tuliendelea kusakata rumba huku tukibadilisha staili tofauti tofauti na mpaka mwisho wa mchezo nikawa nimefanikiwa kufunga magoli matano wakati Sesilia alikuwa amefunga magoli manne.
Tulipomaliza tulikuwa hoi bin taabani, bila kwenda kuoga tukalala pale kitandani tukiwa vilevile uchi na ni katika siku hiyo ambayo Sesilia aliniambia kuwa alitaka kulala ghetto kwagu, nilimruhusu baada ya kuniambia kuwa nyumbani kwao alikuwa anaishi na dada yake na siku hiyo alimdanganya kwa kumuaga kuwa anaenda kwenye sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa rafiki yake.
“Asante mpenzi wangu kwa kuniridhisha, nakupenda sana,” aliniambia Sesilia tulipokuwa tumelala kitandani.
“Usijali hata mimi nakushukuru sana, umenipa mapenzi ya mwendo kasi,” nilimwambia kisha nikambusu katika kifua chake, akatabasamu.
Kitu nilichokuwa nimepanga kumfanyia Sesilia ni kuhakikisha nafanya kila niwezalo katika mapenzi ili asifikirie kuniacha kirahisi hata kama ingefika siku nikaamua kuachana naye basi isingekuwa rahisi kuweza kukubaliana na maamuzi yangu.
“Niambie kitu Metu mpenzi,” aliniambia.
“Nikuambie kitu gani?” nilimuuliza.
“Kitu chochote kizuri, nataka kusikia maneno mazuri kutoka katika kinywa kwako,” aliniambia.
“Mimi sina kitu kingine cha kukuambia zaidi ya nakupenda na nakuheshimu pia,” nilimwambia kisha akatabasamu.
“Nakupenda pia mpenzi naomba usinifanyie ujinga wowote na sitapenda itokee siku ukanisaliti nitaumia sana.”
“Siwezi kufanya hivyo.”
“Wewe sema huwezi halafu siku nije kusikia una mwanamke mwingine tutagombana.”
“Hakuna siku itakayotokea kama hiyo labda ndotoni,” nilimwambia kwa kumuaminisha kisha tukalala. Siku hiyo ikapita.
****
Mapenzi yangu na Sesilia yalizidi kupamba moto kila siku na hakukuwa na tatizo lolote, niliendelea kufanya kazi yangu ya bodaboda huku ulipofika wakati wa kuwa na Sesilia niliweza kuwa naye.
Lilipofika suala la kwenda kunitambulisha nyumbani kwao maeneo ya Keko alipokuwa akiishi na Dada yake ambaye ndiye alikuwa akimsomesha chuo nilionekana kusita kidogo, sikuwa na ndoto za kuja kumuoa Sesilia katika maisha yangu hivyo kile alichokuwa akinieleza kilichukua sura mpya katika ufahamu wangu.
“Unasemaje?” nilimuuliza.
“Nataka nikakutambulishe kwa Dada yangu halafu tayari nimeshamueleza kila kitu kuhusu wewe anataka akufahamu,” aliniambia Sesilia maneno ambayo yalinishangaza sana.
“Mbona imekuwa mapema sana!” nilimuuliza huku nikiwa nimekumbwa na bumbuwazi.
Nilizidi kushangazwa na maneno ya Sesilia aliyokuwa akinieleza kwa wakati ule, alionekana kumaanisha kila kitu na hakuwa katika utani kama nilivyokuwa nikihisi.
Nilitafuta mada nyingine ya kumpotezea lakini kabla ya kukolea alinirudisha katika mada ile ile ya mwanzo, aliniambia anataka nikajitambulishe kwa dada yake.
“Sesilia lakini si ungesubiri kwanza?” nilimuuliza.
“Nisubiri nini Metu wakati sisi tayari ni wapenzi,” alinijibu.
“Hata kama lakini suala la kwenda kujitambulisha sio la kukurupuka kama unavyodhani,” nilimwambia.
“Tatizo kwani liko wapi?” aliniuliza.
“Wewe hulioni?”
“Metu au huna mpango wa kuishi na mimi ndiyo maana unakataa kwenda kujitambulisha niambie au una mwanamke mwingine umempata?” aliniuliza kisha nikakaa kimya, sikutaka kumjibu kwa maana nilianza kupandwa na hasira.
Kwa muda ambao nilikuwa nimekaa kimya akarudia kuniuliza swali hilohilo, nikazidi kupandwa na hasira za ajabu hata sikujua zilitoka wapi. Nilijikuta nikifyatuka na kwenda kumpiga kofi moja upande wa shavu la kushoto halafu nikaanza kumtolea maneno makali ya kumkaripia, haikuchukua hata muda machozi yakawa tayari yameshatawala mashavuni mwake, alikuwa akilia.
“Tena naomba unyamaze kwani kuna ulazima wa mimi kwenda kujitambulisha kwa dada yako,” nilimwambia kwa sauti ya ukali kisha nikamtukana tusi moja la nguoni. Akanyamaza kisha akayafuta machozi yake. Akaniomba msamaha kwa kosa ambalo hata halijulikani, nikamsamehe maisha yakaendelea.
****
Nilijikuta nikianza kumchukia Sesilia kutokana na itikadi alizokuwa akiniletea. Katika kumbukumbu zangu sikumbuki kama kuna siku niliwahi kupanga au kuwaza siku moja nitakuja kuishi na mwanamke ambaye nitamuoa na mwisho wa siku nitatengeneza naye maisha. Huo nakumbuka ulikuwa ni ugomvi mkubwa na Mama yangu, kila siku alikuwa ni mtu wa kuniambia nitafute msichana mmoja wa kumuoa lakini maneno yake naweza kusema yaliingilia sikio la kushoto na kutokea la kulia. Nakumbuka kesi za wanawake niliyokuwa natembea nao zilipozidi kuwa nyingi Mama yangu aliniambia nihame nyumbani nikapange chumba changu na hiki ndiyo kilikuwa chanzo cha mimi kupanga chumba Tandika Azimio huku nikimuacha Mama yangu ambaye alikuwa akiishi Mbagala Kizuiani. Alichoka na aina ya maisha ambayo nilikuwa nikiishi.
Furaha yangu ilikuwa ni kuona nakuwa na msichana katika mapenzi ambaye mwisho wa siku nafanikiwa kumvua nguo yake ya ndani na kisha kufanya naye mapenzi. Hiyo ndiyo ilikuewa furaha yangu wala hakukuwa na kingine ambacho nilikuwa nakipenda katika mapenzi, ni kufanya ngono na kuhakikisha namteka mwanamke kimapenzi ili asifikirie kuniacha katika maisha yake.
Baada ya kumfanyia visa na mikasa mpaka kufikia hatua ya kumpiga, niliamini mpango wangu ulikuwa umetimia. Licha ya kuwa nilimchukia ghafla! na kumkinai kwa mapenzi yake lakini nilizidi kujiona kidume ambaye sikutumia pesa, dawa wala kitu chochote katika kumteka kimapenzi Sesilia. Ufundi wangu wa kitandani pamoja na ahadi zangu za kufikirika ndizo zilizomteka Sesilia, akabaki akiamini kuwa mimi ndiye mwanaume wa maisha yake, hakutaka kunipoteza na kila baya nililokuwa namfanyia aliweza kulipokea kwa mikono miwili na kwa uvumilivu huku akiamini kuwa kuna siku nitaweza kubadilika.
Chuoni alipokuwa akisoma wanaume hawakuacha kumsumbua na kila mwanaume ambaye alikuwa akimtongoza hakuacha kuniambia, aliniambia huku akiniaminisha kuwa alikuwa akijiheshimu na kujilinda hivyo nisijali kuhusu yeye.
“Sasa kama anakutongoza unaniambia ya kazi gani?” nilimuuliza kwa ukali wakati aliponipigia simu na kunieleza juu ya Lecture ambaye alikuwa akimsumbua.
“Metu mbona hivyo lakini?” aliniuliza.
“Mkubalie sasa unamwachaje kwa mfano,” nilimwambia.
“Hivi nitaanzaje kumkubalia wakati mimi nipo na wewe.”
“Kwahiyo.”
“Kwahiyo nini?”
“Wewe unaniigizia upendo, huko chuo najua una wanaume wako.”
“Metu huniamini?”
“Siwezi kumuamini mwanamke katika maisha yangu,” nilimwambia kisha nikamsikia akianza kulia, sikutaka kukisikiliza kilio chake, niliamua kukata simu.
Kesi za kila siku juu ya wanaume waliyokuwa wakimsumbua ndizo nilizozitumia kama fimbo ya kumuadhibu, nilimwambia kuwa simuamini hivyo asiendelee kuniaminisha upendo wake niliyoufananisha na gazeti kila mtu anasoma.
Kuna muda nilijisikia kufanya mapenzi, nilimtafuta na kumuigizia upendo, alipokuja nilimfungia ghetto siku hiyo na hakukuwa na kitu kingine tulichokifanya zaidi ya kufanya mapenzi, nilifanya naye kila aina ya staili unazozijua na nyingine usizozijua.

Baada ya kumtumia sana kimapenzi nilianza kumuacha kimya kimya. Nilikuwa simtafuti tena kama ilivyokuwa hapo awali, alipokuwa akinipigia simu na kunitumia ujumbe mfupi sikuweza kumjibu kwa wakati na nilipokuja kumjibu nilisingizia kazi yangu ya bodaboda ndiyo iliyokuwa ikinifanya nikose muda wa kuwasiliana na yeye wakati, hilo hakujali na kama haitoshi akawa ananitumia ujumbe kila siku, sikutaka kumjibu kwa maana tayari nilikuwa nimeshamchoka.
Katika kipindi hicho ambacho alikuwa akinitumia ujumbe mfupi na kunipigia simu bila kuchoka nilikuwa tayari nimeshakutana na Samira msichana ambaye nilikuwa nimempenda, kazi yangu ilikuwa ni kumpeleka kila siku kazini kwake Posta na kumrudisha.
Nilichokuwa nimekipanga kwa wakati huo ni kufanya mabadiliko makubwa sana ya kimapenzi, nilipanga kuachana na Sesilia na kuanza kumfukizia Samira.

ITAENDELEA

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
SIKUACHI BABY EP 03




Ingawa Sesilia aliendelea kunitumia ujumbe mfupi na kunipigia simu kila wakati lakini sikutaka kujali hilo, nilikuwa nimepanga kuyapeleka majeshi kwa Samira ambaye alikuwa akinichanganya kwa wakati huo.
“Mbona hujibu lolote Metu?” alinitumia ujumbe Sesilia.
“Nipo bize,” nilimjibu.
“Upo bize unafanya nini?”
“Sitaki maswali mengi wewe elewa kuwa nipo bize.”
“Metu.”
“Nini?”
“Mbona unanijibu hivyo lakini?”
“Ulitaka nikujibu vipi sasa?”
“Basi mpenzi ukishamaliza huo ubize utaniambia.”
“Poa,” nilimjibu.
Niliendelea kumfikiria Samira pale kitandani nilipokuwa nimejilaza, akili yangu ilikuwa imetawala jina lake, nilipokuwa nikiitazama picha yake aliyokuwa ameiweka Profile WhatsApp ukichanganya na baridi kali iliyokuwa ikinitafuna nilizidi kumtamani vilivyo.
Kuendelea kuishi na ndoto au mawazo ambayo hutaki kuyafanyia kazi kamwe ni vigumu kubadilika na kuwa kama unavyowaza. Sikutaka kubaki kuishi na ndoto za kumpata Samira ambazo sikutaka kuzifanyia kazi, niliamua kumtumia ujumbe mfupi WhatsApp na kama bahati alikuwa online kwa muda huo.
“Mrembo,” nilimtumia.
“Abee Metu niambie,” alinijibu.
“Picha yako nzuri sana.”
“Ipi hiyo.”
“Hiyo uliyoiweka Profile.”
“Asante mwaya.”
“Usijali unafanyaje?”
“Nimelala, nahisi baridi ya hatari.”
“Pole ila umevaa sweta?”
“Ndiyo nimevaa lakini bado nahisi baridi.”
“Pole vipi nije?”
“Uje wapi?”
“Hapo ulipo?”
“Weee naogopaa.”
“Unaogopa nini sasa?”
“Tuachane na hizo habari niambie mambo mengine.”
“Mambo yako poa kabisa.”
“Nisamehe kwa kukusumbua leo.”
“Usijali hiyo ni kazi yangu wala usijali mrembo.”
“Sawa,” alinijibu.
Nilishindwa kumuingizia mada za kimapenzi kwasababu tayari alionekana kuzikwepa, hakutaka kuwasiliana na mimi kwa njia hiyo, sijui ni kwanini ila hakutaka kufanya hivyo.
Nikajikuta nikikosa maneno ya kumuandikia baada ya kunijibu ujumbe wake wa mwisho aliyouambatanisha na emoji ya mikono miwili iliyojikunja kuashiria kushukuru.
Nikaendelea kubaki online huku nisiwe na cha kumuandikia Samira.
“Nakupenda,” niliandika maneno haya kisha nikawahi kuyafuta, nilihisi kukosea kumuandikia.
“Sawa,” nilimuandikia na kumtumia kisha hapo hapo zikatiki tiki mbili za rangi ya blue kuashiria ujumbe tayari umeshapokelewa na kusomwa.
Nikamuona akiniandikia, nikasubiri jibu lake, wakati huo Sesilia alikuwa ameshaanza tena kunipigia simu, nikawa namkatia simu yake maana nilihisi usumbufu.
“Usiku mwema ila usisahau kesho mapema kuja kunichukua kuna sehemu nataka unipeleke,” alinitumia Samira.
“Sawa haina tatizo,” nilimjibu kisha hazikupita sekunde akawa tayari ameshatoka online.
Kama walivyosema wahenga kuwa siku zote pole pole ndiyo mwendo, sikutaka kuwapinga hata kidogo, niliamini katika msemo huo na ndiyo nilikuwa nikiutumia katika kumfukuzia Samira, sikutaka kuweka papara nyingi maana mwisho wa siku ningeweza kumpoteza.
Sesilia hakuchoka kunipigia simu, aliendelea kunipigia simu mfululizo, mwisho nikaamua kupokea.
“Mpenzi wangu kwanini unanifanyia hivi lakini?”
“Kitu gani kibaya nilichokufanyia?”
“Hupokei simu yangu.”
“ Nilikuambiaje?”
“Hata kama yani ndiyo uko bize muda wote huo halafu nakuona online WhatsApp kwani unafanyaje?”
“Sifanyi kitu.”
“Mmmh! Kweli Metu?”
“Sasa mbona unaguna au unataka nikudanganye?”
“Sio hivyo lakini unavyonifanyia sio vizuri, naumia mwenzako sina amani.”
“Umemaliza?”
“Unasemaje Metu?”
“Nakuuliza umemaliza kuongea?”
“Metusela una nini lakini mpenzi wangu mbona umebadilika sana?”
“Sesilia wewe ni mtu mzima halafu tena ni msomi hivi hata picha unayoiona bado tu hujui ni nini kinachoendelea au unataka mpaka uambiwe kuwa umechokwa hupendwi tena ndiyo utaelewa?”
“Unasemaje?”
“Sikupendi nimekuchoka,” nilimjibu kisha nikakata simu.
Yalikuwa ni maneno machache niliyomwambia Sesilia ambayo niliamini yangeweza kumuumiza sana huko alipo lakini sikutaka kuyawazia sana, kwanza niliamini alikuwa ni msichana na muda wowote angeweza kupendwa na kunisahau katika maisha yake.

“Kwanini umenifanyia hivyo Metu kwanini hukuniambia mapema kwamba hilo ndiyo lilikuwa lengo lako. Ziko wapi zile ahadi zako za kwamba utanioa na kunithamini kama mwanamke wako. Umenichoka baada ya kukupa mapenzi sawa Metu nashukuru sana ila sitaki kuamini kama kweli nimeachana na wewe,” alinitumia ujumbe mfupi Sesilia.
Niliusoma ujumbe huo kisha nikaufuta, sikutaka kuvishughulisha vidole vyangu kumuandikia ujumbe wa kumjibu. Kwa hasira nilizokuwa nazo nilifuta na namba zake huku nikiamini nilikuwa nimezikariri kichwani na kama angeweza kunitafuta siku na muda wowote basi namba yake niliifahamu. Siku hiyo ilipita huku nikiwa nimempa maumivu Sesilia asiyoyatarajia.
****
Niliamka katika siku nyingine ya jumapili ya mihangaiko kama ilivyokuwa kawaida yangu, nilijiandaa na kujiweka vyema tayari kwa kuichukua bodaboda yangu kwa ajili ya kwenda kumchukua Samira ambaye alipanga siku hiyo kutoka.
Sikuwa nafahamu alipanga kwenda wapi mapema yote ile hata hivyo sikutaka kujifanya mpekenyuzi sana, niliamua kumfuata nyumbani kwake ambapo hapakuwa na umbali kutoka pale nilipokuwa nikiishi.
Nilipofika nilipigia honi kisha akatoka nje, alikuwa amevalia mavazi yaliyompendeza sana, nilimtazama kwa jicho la kimatamanio kisha nikamfia kuwa alikuwa amependeza sana.
“Asante Metu vipi uko poa?” aliniuliza huku tabasamu likiwa bado limetawala usoni mwake.
“Niko poa,” nilimjibu kisha nikaendelea kumtazama jinsi alivyokuwa amependeza.
“Bila shaka shemeji anafanya kazi yake ipasavyo,” nilimwambia maneno ya kumtega huku nikitaka kufahamu kama alikuwa na mwanaume.
“Ndiyo tena anafanya kazi kubwa sana,” alinijibu jibu ambalo kimoyomoyo lilinichoma kwa kiasi fulani.
“Kwahiyo nakupeleka wapi leo asubuhi asubuhi usiyetulie mwanamke wewe,” nilimwambia kisha akacheka.
“Unacheka tena?” nilimuuliza.
“Nimefurahi,” alijibu huku akijaribu kukizuia kicheko chake.
“Haya niambie sasa leo wapi?”
“Nataka unipeleke Magomeni kwa wifi yangu.”
“Magomeni ipi?”
“Mapipa.”
“Sawa hakuna tatizo,” nilimwambia kisha akafunga mlango wa nyumba yake tukaondoka.
Bado niliendelea kuteswa na hisia za kimapenzi nilizokuwa nazo kwa Samira, nilihisi kumpenda sana na iliniwia ugumu kumueleza ukweli. Tulipokuwa barabarani kuna muda nilikuwa nikifunga breki za ghafla! hali ambayo ilimfanya anilalie mgongoni kwa kutumia kifua chache kilichobarikiwa chuchu za kusimama, nilisikia raha sana, mchezo huo ulikuwa endelevu mpaka pale nilipomfisha Magomeni Mapipa nyumbani kwa huyo wifi yake.
“Tumefika,” nilimwambia nilipokuwa nimepaki bodaboda nje ya nyumba ya huyo wifi yake aliyoniambia.
“Ndiyo asante sana,” aliniambia baada ya kushuka kisha nikamuona akiifugua zipu ya pochi yake. Nilifahamu alikuwa akitaka kunilipa lakini nilimsihi asifanye hivyo kitendo ambacho kilimshangaza sana.
“Wewe Metu,” aliniita.
“Nini?” nilimjibu huku nikimtazama usoni, nilikuwa nikitabasamu kwa wakati huo.
“Eti nisikulipe?” aliniuliza huku akionekana kushangaa.
“Ndiyo usifanye hivyo leo acha nikupe ofa Mrembo,” nilimwambia huku nikiendelea kumtazama.
“Ofa gani hii ya kutoka Tandika mpaka Magomeni hivi hayo mafuta huyaonei huruma?” aliniuliza kisha akazidi kuifungua zipu ya pochi yake.
“Nimekuambia usinilipe bana mbona hunielewi?” nilimwambia huku nikijifanya kuikataa ile hela aliyokuwa akitaka kuitoa. Nilikuwa nikimaanisha wala sikutamka kiutaniutani.
“Acha utani Metu,” aliniambia huku akionekana kutoniamini.
“Sikutanii kweli namaanisha,” nilimwambia.
Hiki ndiyo kitu ambacho najilaumu sana na nitaendelea kujilaumu mpaka kesho. Nilikuwa nikipenda sana kuwapa ofa wasichana, sikujali kupata hasara ya mafuta niliyokuwa nikitumia kutoka umbali mrefu, nilichokuwa nikikihitaji ni kuona msichana huyo ambaye nampa ofa mwisho wa siku anakuwa mpenzi wangu na ninafanikiwa kufanya naye mapenzi.
Kuna muda nilikuwa nikipata hasara na yote sababu kubwa ilikuwa ni wasichana lakini sikutaka kujali, niliendelea na mchezo huo ambao tayari ulikuwa umeniingia damuni. Kwa kuwa bodaboda ilikuwa ni mali yangu, nilijiajiri mwenyewe hivyo sikuona tabu yoyote.
“Samira kuna kitu nataka kukuambia,” nilimwambia kabla sijaagana naye.
‘Kitu gani?” aliniuliuza.
“Au basi nitakuambia siku nyingine.”
“Niambie Metu usiogope.”
“Hapana Samira nitakwambia siku nyingine usijali.”
“Kweli?”
“Niamini,” nilimwambia kisha nikaagana naye na kuondoka eneo lile, wakati huo sikuwa nimechukua hata senti moja yake.
Kiukweli nilitamani kumwambia ukweli kuwa nilimpenda na nilikuwa nipo tayari kufanya lolote kwa ajili yake lakini nilisita, kila nilipokuwa nikimtazama nilimuona kuwa msichana mrembo sana, msomi tena alikuwa na kazi yake ambayo ilimfanya aishi maisha ya kujiamini, hakuwa na shida yoyote katika maisha yake.
Urembo wake ulinichanganya mpaka nikawa nimeshaanza kumsahau Sesilia maana nilipoamua kuwalinganisha kwa urembo Sesilia hakuingia ndani hata mara moja kutokana na uzuri aliyokuwa nao Samira.
****
Mapenzi yalichukua nafasi kubwa sana katika maisha yangu japokuwa watu wengi waliyokuwa wakinitazama waliamini kuwa mimi ni kijana mpole niliyekuwa na tabia nzuri ambayo vijana wenzangu walitakiwa kuziiga. Upole wangu na ukairimu wa njenje ndiyo uliyofanya nikazidi kuwa na wateja wengi sana ambao waliniamini kupita kawaida.
Wapo ambao waliniamini kuwa mimi ni mchaMungu, nililelewa katika mazingira ya kumjua Mungu hivyo nisingeweza kuwatapeli hata pale ambapo walinipa pesa nikawachukulia mizigo yao sehemu mbalimbali.
Kila mtu alinichukulia vile ambavyo alikuwa akinitazama, hakukuwa na mtu ambaye alinichukulia kuwa kama muhuni, mtu wa kupenda wanawake zaidi ya washikaji wenzangu ambao nilikuwa nikifanya nao kazi hii ya bodaboda. Wao ndiyo walikuwa wakifahamu yale yaliyokuwa yakiendelea katika maisha yangu japo siyo yote, kuna mambo pia walikuwa hawayafahamu.
“Vipi yule demu ulifanikiwa kumchukua?” lilikuwa ni swali la Amani dereva bodaboda mwenzangu ambaye aliniuliza tulipokuwa kijiweni Tandika Azimio, tulikuwa madereva wengi tukipiga soga za hapa na pale.
“Demu gani?” nilimuuliza huku nikionekana kusahau. Wale madereva wengine wakaanza kunicheka.
“Yule wa chuo,” aliniambia.
“Nani Sesilia?”
“Ndiyo huyohuyo.”
“Dah! mbona huyo demu nimeshambwaga siku nyingi sana.”
“Umeshambwaga?”
“Sasa niweke kambi ili iweje?”
“Mwanangu unazingua yule mtoto alikuwa anakuelewa sana yani mara hii umeshambwaga?”
“Kuna demu mmoja hivi ananichanganya sana akili yangu.”
“Demu gani tena?”
“Samira.”
“Nilijua tu! yani wewe mwaka huu tutakuzika.”
“Hahahaha! usiogope yani huyu nikifanikiwa kumpata moyo wangu utajisikia furaha sana,” nilimwambia maneno ambayo yalimuacha kinywa wazi, akabaki akinitazama muda wote huku asiwe na neno la kuniambia.

Hakukuwa na habari nyingine nilizozizungumza zaidi ya Samira, nilikuwa nikimuongelea na mara zote nilimsifia, hilo liliwafanya madereva wenzangu baadhi waanze kunichukia. Mmoja alikuwa ni Jamal ambaye alionekana kuchukizwa sana na maneno yangu ya kumsifia Samira.
“Hivi hakuna habari nyingine za kuzungumza?” aliniuliza.
“Sasa unataka nizungumze nini tena kama sio wanawake ambao wameumbwa kwa ajili yetu au hupendi jinsi ninavyomsifia?” nilimuuliza huku nikitabasamu.
“Tatizo sio kumsifia yani umezidi kuongelea sana kuhusu wanawake kwani hakuna habari nyingine za kuzungumza?”
“Jamal kwani bifu liko wapi?”
“Sio swala la bifu umezidi bana,” alinijibu Jamal huku akionekana kuchukia kwa kiasi fulani. Nikazidi kushangazwa na tukio hilo, msichana nimpende mimi, nimsifie mimi halafu mtu mwingine achukie hivi hii imekaa vipi. Niliona ni ujinga kuendelea kubishana, nikaamua kukaa kimya.
****
Sikupanga kuishia kumtazama usoni au kuzungumza naye lugha ya kibiashara kila siku, nilitamani siku moja mambo yabadilike na kitu ambacho nilikuwa nataka kitawale ni mapenzi. Nilitamani sana aniite mpenzi wake na mimi nimuite jina zuri la kimapenzi, nilitamani kwa kuwa niliamini nyota yangu na yake ziliendana maana niliutumia muda wangu mwingi sana katika kumfikiria na hiyo ndiyo sababu niliyoichukulia kama imani yangu.
Zilipita siku mbili huku desturi yangu ikiwa ni ile ile asubuhi kumpeleka Samira kazini na jioni kumrudisha. Kila nilipokuwa nikimtazama kiukweli nilihisi kupata msisimko wa kimapenzi, nilihitaji kushiriki tendo na msichana ambaye nilitamani kufanya naye alikuwa ni yeye.
Tatizo lilikuwa ni sehemu moja tu! kumwambia ukweli maana tulishaanza kuwa na ukaribu ule wa kaka na dada, iliniwia vigumu sana kumueleza neno nakupenda hasa katika mazingira yale.
“Mbona kama unaonekana haupo sawa?”aliniuliza siku moja jioni nilipokuwa nimemrudisha nyumbani kwake, nilijiwekamithili ya mtu ambaye hakuwa sawa kana kwamba kuna kitu kilikuwa kikinitatiza.
“Nipo sawa,” nilimjibu.
“Hapana nakufahamu Metu unaonekana haupo sawa,” aliniambia huku akionekana kuingiwa na wasiwasi.
“Nipo sawa usijali,” nilimwambia huku nikimtoa ule wasiwasi uliyokuwa umemuingia.
“Una nini lakini?” aliniuliza kwa sauti iliyojawa na mashaka mno.
“Aaghh! acha tu usijali,” niling’aka kisha nikamwambia.
“Niache wakati haupo?” aliniuliza.
“Samira usijali kuhusu mimi,” nilimjibu.
“No, siwezi embu niambie ni kitu gani kinachokusumbua Metu au kuna mtu umegombana naye?”
“Hapana.”
“Hapana nini sasa?”
“Nitakuambia siku nyingine.”
“Siku gani hiyo halafu hii ni mara ya pili unaniambia hivi kwani kuna kitu gani unanificha?”
“Samira sidhani hata kama nikikuambia utaweza kunielewa.”
“Una maanisha nini?”
“Nina shida kubwa sana na ninahitaji msaada wa haraka iwezekanavyo.”
“Shida gani hiyo?”
“Najua huwezi kunisaidia.”
“Niambie huwezi kujua labda nitakusaidia.”
“Hapana acha niondoke tutaongea siku nyingine.”
“No, Metu naomba usiondoke mpaka uniambie.”
“Kwanza muda huu umechoka nenda kajiandae upumzike halafu baadae tutachat, nitakuambia usijali.”
“Kweli?”
“Niamini mimi,” nilimwambia kisha nikageuza pikipiki yangu nikamuaga na kuondoka eneo lile.
Nilifahamu nilimuacha kichwani na maswali lukuki, alitamani kufahamu ni kitu gani kilichokuwa kinanisumbua, sauti yake ya huruma ikanifanya niamini lengo langu lilikuwa linaenda kufanikiwa na siku hiyo nilipanga uwe mwanzo wa kutupia gia zangu za kumpata kimapenzi.
Siku hiyo nilifanya kazi mpaka muda wa saa tano za usiku, nilipitia katika moja ya mgahawa niliyouzoea, nikala nilipomaliza nilirudi ghetto. Nilipofika nikaenda kuoga na baada ya kumaliza nikajilaza kitandani, muda huo Samira alikuwa tayari amenitumia ujumbe mfupi.
“Naweza kukupigia Metu?” alinitumia.
“Ndiyo kama hutojali,” nilimjibu kisha akaweza kunipigia, nikapokea.
“Hallo Metu vipi uko salama?” aliniuliza.
“Ndiyo,” nilimjibu.
“Una uhakika?” aliniuliza tena kwa sauti iliyokuwa na utulivu wa hali ya juu.
“Ndiyo kwani vipi?” nilimjibu kisha nikamuuliza.
“Hapana unajua leo jioni nilikuona haupo sawa ndiyo maana nimekuuliza hivyo,” aliniambia.
“Samira,” nilimuita.
“Abee,” akaitika.
“Upo na nani hapo?”
“Niko peke yangu kwanini umeniuliza hivyo?”
“Hapana nahisi hiki ninachokwenda kukueleza nitakuvunjia heshima ila utanisamehe,” nilimwambia kisha nikavuta pumzi ndefu na kuziachia.
“Wewe niambie usiogope lolote,” aliniambia.
“Samira,” nilimuita tena kisha nikanyamaza kwa muda.
“Abee Metu niambie basi,” aliniambia, wakati huo nilikuwa nikijipanga kumwambia yale yaliyokuwa yananisibu moyoni na sababu kubwa alikuwa ni yeye.

ITAENDELEA..

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
SIKUACHI BABY EP 04


“Najitahidi kukaa nacho moyoni, nisikiseme lakini kuna muda nashindwa, nahisi nahitajika kukisema ila nitakisemea wapi wakati mazingira sio rafiki na licha ya mazingira muhusika mwenyewe anaonekana kutokuwa sawa na mimi,” nilimwambia maneno ya kuuzunguka mmbuyu.
“Sasa unavyoendelea kuzunguka na kunifumba unadhani nitafahamu ni nini kinachokusumbua?” aliniuliza.
“Samira wewe ni mtu mzima najua una akili ya kufikiria baya na zuri. Sitaki kuamini kuwa lugha ya Kiswahili imekutupa mkono na wenda asili yako ni ya Ughaibuni. Sitaki kuamini hilo kabisa,” nilimwambia huku nikiamini bado hajang’amua lolote nililokuwa namaanisha.
“Metusela hutaki kuniambia au?” aliniuliza kwa sautiya kukata tamaa, alitamani kusikia kile kilichokuwa kikinisumbua lakini kwa muda ule ni kama vile nilikuwa namficha.
“Samira nimetokea kukupenda halafu hata sielewi hisia hizi zimetokea wapi yani nashindwa kuelezea,” nilimwambia huku nikiwa nimejikaza mwili mzima, nilihisi baada ya kumwambia maneno hayo labda angeweza kunitukana nikajipanga kuyakoga matusi kisawasawa.
Nilimsikia akivuta pumzi ndefu na kuziachia, akabaki kuwa kimya cha muda wa sekunde kadhaa, nikahisi labda atakuwa amekata simu, nikaitazama bado alikuwa hewani.
“Samira,” nilimuita.
“Niambie.”
“Mbona umekaa kimya tena huongei?”
“Hapana Metu hivi nikuulize kitu.”
“Yeah! niulize.”
“Hivi umefikiria nini mpaka ukaniambia hivyo.”
“Hakuna nilichokifikiria zaidi ya mapenzi ya dhati niliyokuwa nayo kwako, nimejikuta nikitamani kuwa na wewe, uwe mwanamke wangu wa maisha na nitakupenda siku zote za uhai wa maisha yangu.”
“Metusela.”
“Naam!”
“Sidhani kama itawezekana.”
“Kwanini?”
“Mimi na wewe ni kama dada na kaka halafu isitoshe nina mpenzi wangu japo siishi naye lakini nampenda sitaki kumuumiza.”
“Nahisi nimekukosea nisamehe sana.”
“Usijali Metusela nafahamu kila kitu kuhusu mapenzi, naelewa jinsi hisia zinavyomuingia mtu kwa haraka. Wala hujanikosea, najua ni hisia zimekutuma uniambie hivyo, unastahili kuniambia lolote ila kwa wakati huu umechelewa mimi nina mpenzi wangu tayari.”
“Mpenzi wako ni yupi?”
“Mbona umeniuliza hivyo au unataka kumfahamu?”
“Ndiyo lakini kama itawezekana maana tangu nilipokufahamu sijawahi kukuona ukiwa na mwanaume labda wa kuniambia kila siku mdomoni.”
“Kwa sasa hayupo nchini amesafiri yupo Marekani kikazi.”
“Anafanya kazi gani?”
“Mbona unataka umfahamu sana wewe elewa kuwa yupo kikazi.”
“Sawa nimekuelewa Samira basi acha nilale, nahisi sipo sawa kabisa.”
“Una nini?”
“Nahisi homa halafu natetemeka.”
“Umemeza dawa?”
“Hapana.’
“Kwanini?”
“Sijanunua mpaka kesho Mungu akipenda.”
“Metu ujue unahatari wewe yani unaumwa halafu hununui dawa kweli?”
“Ningefanya nini wakati Muda wote niliutumia kwa ajili yako.”
“Kwa ajili yangu?”
“Ndiyo ila usijali nitakuwa sawa, acha nilale pia nikutakie usiku mwema,” nilimwambia kisha nikakata simu.
Licha ya maumivu niliyoyapata ghafla! baada ya Samira kuniambia alikuwa na mpenzi wake ambaye alikuwa nchini Marekani lakini sikutaka kuamini kama kweli nilimkosa, niliona kushindwa kumfuata kesho yake kwa ajili ya kumpeleka kazini kama ilivyokuwa kawaida yangu, niliutumia uongo wa kuumwa homa ili siku inayofuata nisiende kumchukua. Niliona haya kukutana naye.
Nikamkumbuka Sesilia ambaye ni siku chache zilipita tangu nilipomtukana na kumpa maumivu makali ya mapenzi, nilimkosea sana na kwa kitendo kile kilichokuwa kimenitokea cha kushindwa kumpata Samira nikaanza kumkumbuka.
Akili ikaniambia nichukue simu kisha nimuandikie ujumbe mfupi wa kumuomba msamaha lakini nilishindwa kufanya hivyo. Ni kama vile kulikuwa kuna nafsi inakuja na kuniambia ‘aliyepita amepita mtazame mwingine.’ Nikaghairi na sikutaka kuishika simu tena nikaamua kulala.
****
Niliamka asubuhi ya siku nyingine, nikakutana na ujumbe wa Samira aliyoniandikia kuwa siku hiyo nipumzike, nisiende kumchukua kutokana na kuumwa kwangu, hakuacha kunikumbusha katika ujumbe huohuo aliyonitumia kuwa nisisahau kwenda hospitali kupima kujua ni nini kilichokuwa kikinisumbua. Nilitabasamu baada ya kuusoma ujumbe wake aliyoumalizia na maneno ASUBUHI NJEMA.
Nilishindwa kuelewa kulikuwa kuna kitu gani kilichokuwa kikiendelea, ghafla! Samira alitokea kuwa mtu wa kunijali sana kitendo ambacho sikukitegemea kabisa.
“Unatumia usafiri gani?” nilimtumia ujumbe wa kumuuliza.
“Nitachukua bajaji usijali.”
“Leo unapanda bajaji?”
“Ndiyo sina jinsi itabidi nipande, sitaki nikusumbue Metu unaumwa.”
“Lakini sijazidiwa.”
“Hata kama lakini inabidi upumzike Metu.”
“Sawa.”
“Jioni nikirudi nitakuja kukusalimia ili nijue kama kweli umeenda hospitali na dawa unionyeshe.”
“Sawa karibu,” nilimjibu.
Sikutaka kuumiza kichwa juu ya vipimo na dawa za kumzugia Samira, nilichoamua kukifanya nilimpigia simu rafiki yangu ambaye alikuwa ni daktari, nilimueleza shida yangu na aliahidi kunisaidia.
Nilipomaliza kuweka mambo sawa nilienda kufanya kazi yangu ya bodaboda huku nikiwa makini kutazama muda ambao Samira alikuwa akitoka kazini.
Ilipofika majira ya saa tisa nilirudi nyumbani kwangu, sikupika wala kuandaa chochote zaidi ya kufikiria jinsi ya kumdanganya pindi atakapokuja kuniona. Nikajilaza kitandani.
Baada ya kupita lisaa limoja ghafla! nilisikia mtu akibisha hodi, nilitabasamu baada ya kuisikia sauti ya Samira.
“Karibu,” nilisema kisha nikaenda kufungua mlango.

ITAENDELEA

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
SIKUACHI BABY EP 05



Nilipoufungua mlango nilikutana na Samira ambaye alionekana kuwa na wasiwasi, aliponitazama akatabasamu.
“Nilihisi labda nimechanganya chumba,” aliniambia kisha akacheka kidogo.
“Usingeweza kupotea,” nilimwambia kisha nikamkaribisha ndani. Akaingia lakini alionekana kuwa muoga kiasi, hakukuwa na kochi, kabati wala kitu chochote cha kukalia zaidi ya ndoo mbili za maji, kitanda, vyombo baadhi vya kupikia pamoja na lundo la nguo chafu zilizokuwa zimezaa chini huku nyingine zilizokuwa safi zikiwa katika mpangilio mbovu.
Alisimama kwa muda wa sekunde kadhaa baada ya kuingia ndani, alionekana kushangazwa na muonekano wa chumba changu ambacho kilionekana kukosa matunzo. Kwa jinsi alivyokuwa akishangaa ni sawasawa na mtu ambaye alikuja na kuniambia yani muonekano wangu na chumba changu vilikuwa ni vitu viwili tofauti.
“Nini?” nilimuuliza baada ya kumuona amebaki ameduwaa.
“Hakuna kitu,” alinijibu kisha akaendelea kuzubaa huku akiwa haelewi ni wapi alitakiwa kwenda kukaa.
“Karibu pita uje ukae hapa,” nilimwambia kisha nikampa ishara ya kukaa kitandani, akazidi kuonekana kusita. Wasiwasi wake ulijidhihirisha wazi kupitia uso wake ambao haukuwa na chunusi hata moja, alionekana kuwa mrembo mno.
Nilifahamu alikuwa akihofia tukio ambalo lingeweza kutokea muda wowote endapo angekubali kukaa kitandani, hata hivyo sikutaka kuwa sawa na mawazo yake, sikutaka kufanya jambo lolote zaidi ya kuzungumza naye pamoja na lengo lake kubwa lililokuwa limemleta.
Unajua ukitaka kumteka kimapenzi msichana ambaye moyo wake upo kwa mwanaume mwingine inabidi utumie akili nyingi sana, usikurupuke katika kufanya maamuzi na hicho nilichokuwa nikikifanya kwa Samira.
Hatimaye aliweza kukaa kitandani huku ule wasiwasi wake ukiwa bado haujamuondoka, hakuzungumza lolote alibaki kuwa kimya huku akiendelea kukishangaa chumba changu ambacho kilionekana kuwa hovyo.
“Enhee! Vipi huko kazini kazi zinaendaje?” nilimuuliza huku nikitabasamu wakati huo nilikuwa nimekaa pembeni yake.
“Zinaenda vizuri tu,” alinijibu kwa sauti ya chini iliyosheheni kila rangi ya aibu.
“Mbona sasa umechelewa hivyo au ulipitia nyumbani kwanza?” nilimuuliza.
“Hapana nimetoka kazini nikasema nikupitie kwanza nijue unaendeleaje.”
“Umetumia usafiri gani?”
“Nimepanda daladala.”
“Kumbe foleni.”
“Ndiyo leo kulikuwa na foleni sana.”
“Sawa mimi naendelea vizuri kama unavyoniona.”
“Umeenda hospitali?”
“Ndiyo.”
“Wamekuambiaje?”
“Nimekutwa nina malaria ila wameshanipa dawa.”
“Dawa gani?”
“Mseto.”
“Sawa vizuri ila inabidi uzingatie kumeza dawa kwa wakati na kula chakula cha kutosha ili uwe sawa.”
“Mbona nazingatia,” nilimwambia.
Kwa muda ambao niliendelea kuzungumza na Samira nilijikuta nikianza kuingiwa na pepo la ngono, nilipomtazama nilihisi kama kuna mtu anayenisukuma na kunishawishi nimlazimishe Samira kufanya naye mapenzi hata kwa nguvu.
Sikutaka hisia ziendelee kuniongoza, niliendelea kupambana na hali hiyo huku nikijitahidi kujiweka sawa na kujisahaulisha na mawazo hayo lakini kuna muda nilianza kushindwa, mtarimbo wangu ulikuwa tayari umeshasimama.
“Metu mimi sikai nimekuja kukuona mara moja acha niende nyumbani kwangu nikaendelee na ratiba nyingine,” aliniambia kisha akasimama tayari kwa kuondoka, nilishindwa kusimama kutokana na hali niliyokuwa nayo, nikabaki nikimtazama huku nikiwa nimekaa pale kitandani.
“Mbona mapema sana?” nilimuuliza.
“Hapana acha nikaendelee na ratiba nyingine za nyumbani siunajua mimi ni muajira hivyo lazima niwahi kujiandaa na majukumu ya kesho ila nimefurahi kukuona uko salama.”
“Sawa lakini umesahau kukagua vitu vyako.”
“Vitu gani?”
“Dawa pamoja na majibu ya daktari.”
“Usijali nakuamini ila zingatia uzimalize ili upone,” aliniambia kisha akaniaga na kuondoka zake.
Kiukweli sikutaka kuamini kama kweli nilijizuia kiasi kile mpaka Samira akaweza kuondoka bila kufanya naye lolote. Hii haikuwa desturi yangu katika kumbukumbu za wasichana ambao waliingia ndani ya chumba changu hakuwepo mmoja wao ambaye aliweza kutoka salama, wote niliwarubuni na mwisho wa siku wakajikuta nimefanya nao mapenzi.
Samira alikuwa ndiye msichana wangu wa kwanza kuingia katika chumba changu na kutoka salama, mtarimbo wangu bado uliendelea kusimama huku nikianza kujilaumu kwa kosa kubwa nililokuwa nimelifanya yani kitendo cha kuzembea mpaka Samira akaondoka hivihivi bila kuuonja utamu wa vanila.
Tukio hilo hata nilipowasimulia marafiki zangu kijiweni walinicheka sana, hawakutaka kuamini kama kweli msichana huyo sikufanikiwa kufanya naye mapenzi. Nilihofia msimamo wake juu ya mwanaume aliyeniambia alikuwa anampenda sana lakini kwa wakati huo alikuwa nchini Marekani.
Baada ya kupita siku kadhaa nilimwambia kuwa nimeshapona na hivyo ningeweza kuendelea na kazi yangu ya kumpeleka kila siku kazini, alifurahi sana na kama nilivyomwambia ndivyo ambavyo ilikuwa. Niliendelea na kazi yangu hiyo huku kila siku ukaribu wetu ukizidi kukuwa.
Sikuacha kumwambia ukweli wa hisia zangu kwake kuwa hakukuwa na msichana mwingine niliyekuwa nampenda zaidi yake, nilipomwambia maneno hayo haraka aliwahi kubadilisha mada, hakutaka tuzungumze habari za mapenzi. Alizidi kunipa wakati mgumu sana mpaka kuna kipindi nikaanza kumchukia, nilihisi alikuwa akinifanyia makusudi.

Katika kitu ambacho naweza kusema nimenyimwa katika maisha yangu ni kumnyenyekea mwanamke, kumbembeleza kila siku kwa kitu kimoja hichohicho ambacho alionekana kutokukifikiria.
Kama uwongo niliutumia sana nakumbuka mbali na kumdanganya kuwa nilizidiwa na malaria kiasi kwamba akaonekana kujali lakini sikuishia katika maradhi peke yake, niliendelea kumdanganya kila siku lakini uwongo wangu haukuonekana kuwa na faida yoyote. Alionekana kuwa msichana mwenye msimamo sana, hakutaka kumuumiza mwanaume wake ambaye kila alipopata nafasi ya kuzungumza na mimi hakuacha kumsifia.
Niliacha kumsumbua na kitu nilichoamua kibaki ni kazi tu, nilibaki kubwa dereva na yeye alibaki kuwa abiria na huo ndiyo ulikuwa mwisho wa mjadala wetu. Alishangazwa na mabadiliko yangu hayo ya ghafla! kitu ambacho hakukitegemea, sikutaka kumficha niliamua kumwambia ukweli kuwa ule ndiyo ulikuwa mwanzo wangu na mwisho wa kumsumbua, niliamini alikuwa katika mapenzi na mwanaume mwingine na hiki ndicho kilikuwa kikwazo kikubwa cha yeye kutonikubalia ombi langu. Ama kwa hakika Samira alikuwa ni miongoni mwa wasichana wenye msimamo sana.
Baada ya kuacha kumfuatili Samira ambaye alionekana kuwa mgumu kama chuma cha pua niliamua kugeuza mashambulizi yangu upande wa pili, nilianza kuzitazama sketi zilizokuwa zikijipitisha mbele yangu. Sikujali alikuwa ni mzuri kiasi gani bali nilichokuwa nakiangalia ni kuona msichana huyo ninayemfukuzia anaweza kunikubalia na mwisho nafanya naye mapenzi.
Huo ndiyo ulikuwa ugonjwa wangu na tena kwa wakati huo sikuhitaji dawa yoyote, nilikuwa nimejawa na hamu sana ya kufanya mapenzi na msichana, kila nilipopata abiria msichana sikuacha kumchombeza, nilijikuta nikimtongoza katika mazingira ya ajabu sana.
Nilijivunia rangi yangu ya maji kunde iliyosindikizwa na muonekano wangu wa utanashati, mwili uliojengeka vyema kimazoezi, tatoo nilizokuwa nimejichora mwilini pamoja na mtindo wa nywele nilionyoa kichwani uliyokuwa ukifahamika maarufu kwa jina la kiduku, hakika ulinipendeza sana.
****
“Habari.”
“Nzuri.”
“Unaitwa nani mrembo?”
“Bianka.”
“Bianka jina lako zuri sana kama ulivyokuwa wewe.”
“Asante.”
“Vipi unaelekea wapi sasa hivi.”
“Nyumbani.”
“Nyumbani ni wapi?”
“Mtongani.”
“Naweza kukupa lift maana na mimi naelekea huko huko.”
“Asante.”
“Panda nikupeleke giza hili linaingia sasa hivi.”
“Nashukuru wewe nenda tu.”
“Sio vizuri hivyo halafu msichana mrembo kama wewe utatembeaje kwa miguu panda nikuwahishe fasta.”
“Mbona hatuelewani kaka angu nimekwambia asante nashukuru.”
“Mimi siondoki mpaka unikubalie.”
Yalikuwa ni mazungumzo yangu na msichana ambaye alijitambulisha kwa jina la Bianka. Nilikutana naye maeneo ya Temeke mwisho majira ya saa kumi na mbili za jioni muda huo nilikuwa tayari nimeshamrudisha Samira nyumbani kwake, wakati huo nilikuwa nikiendelea kutafuta abiria kama ilivyokuwa kawaida yetu sisi madereva bodaboda.
Alikuwa ni msichana ambaye alijaaliwa sura ya mvuto, rangi yake ya weupe ilizidi kuweka nakshi nakshi za kumshawishi mwanaume rijali kuhitaji kuwa naye lakini kuna vitu baadhi alinyimwa katika mwili wake. Hakuwa na shepu zuri wala wowowo, alipokuwa akitembea hakuonekana akiileta mitikisiko ya hapa na pale, kwa lugha ya kwetu uswahilini tunasema alikuwa amepigwa pasi.
Baada ya kumsalimia na kumuomba apande kwenye pikipiki yangu alionekana kugoma, kila nilipojaribu kumuomba nimpeleke nyumbani kwao hakutaka kukubali kirahisi. Sikutaka kuonekana kushindwa kirahisi niliendelea kumuomba mpaka pale maneno yangu yalipogeuka kuwa kero, alipoona nimezidi kuwa msumbufu mwisho akaamua kupata, tukaondoka mpaka kufika Mtongani.
“Ni hapo simama tumeshafika,” aliniambia huku akininyooshea kidole katika nyumba moja iliyokuwa upande wangu wa kushoto, haraka nilisimamisha pikipiki akashuka.
“Asante,” aliniambia.
“Usijali sisi ni watanzania na tumeumbwa kwa ukarimu, nimefanya haya kama msaada tu,” nilimwambia huku nikitabasamu.
“Nashukuru sana hapa ndiyo nyumbani kwetu,” aliniambia huku akiinyooshea kidole nyumba yao.
“Oooh! Ni nyumbani kwenu kabisa?” nilimuuliza.
“Hapana tumepanga,” alinijibu.
“Ok, vipi naweza kupata namba yako?” nilimuuliza.
“Ndiyo hakuna shida,” aliniambia kisha nikaitoa simu yangu mfukoni halafu nikampa akaandika namba yake, alipomaliza nilimbeep ili aweze kuipata namba yangu.
“Namba yako ndiyo hii inayoishia na 80?” aliniuliza.
“Yeah! ndiyo hiyohiyo,” nilimjibu.
“Hivi uliniambia unaitwa nani vile?” nilimuuliza huku nikionekana kusahau.
“Bianka,” alinijibu huku akitabasamu.
“Ooh! Sawa nimekumbuka ngoja niisave kabisa,” nilimwambia.
“Sawa ila hujaniambia jina lako.”
“Naitwa Metusela ila ukipenda we nisave Metu,” nilimwambia kisha sikutaka kuweka mambo yazidi kuwa mengi, nilimuaga halafu nikawasha pikipiki yangu nakuondoka.

Ubongo wangu ulitawaliwa na mapenzi kwa asilimia kubwa sana, hakukuwa na msichana ambaye nilikutana naye katika mazingira ya kazi yangu kisha nikaacha kumtamani.
Niliwatamani wasichana wengi sana ambao nilikutana nao na kati yao wapo waliyonikubalia na wengine walinitolea nje, sikutaka kujali sana wala kuweka mambo kuwa mengi, niliamini vya utamu kila siku vilikuwa vinazaliwa na hivyo sikutakiwa kuwa na mashaka yoyote.
Nilipokutana na Bianka kwa mara ya kwanza mpaka kufikia hatua nikampa lift nilijikuta nikimtamani sana, ingawa hakuwa na umbo zuri kivile lakini sura yake ya mvuto ndiyo iliyokuwa ikimbeba, sijui niseme nini kuhusu huyu Bianka lakini mapenzi ndiyo yalikuwa yamenitawala, sikumfikiria kwa kumuhonga pesa, kumjengea nyumba nzuri au kumnunulia gari la kifahari isipokuwa nilimfikiria kingono tu!
Usiku wa siku hiyo nilipokuwa ndani ya chumba changu akili yangu ikanipeleka mbali sana kimawazo, nikawaza jinsi ambavyo Bianka angeweza kuingia ndani ya chumba changu hicho kisha nikaanza kufanya naye mapenzi, mawazo hayo hayakukoma kunijia katika mawazo mpaka kuna muda nikajishangaa nilikuwa nimekumbwa na nini? Haikuwa kawaida yangu kuwa katika hali kama hiyo.
Nilikumbuka kuwa nilichukua namba yake ya simu, nilichoamua kukifanya niliichukua simu yangu kisha nikamtumia ujumbe mfupi, haichukua muda akaweza kunijibu kisha baada ya chatting fupi za hapa na pale nilimuomba kuonana naye.
“Unataka kuonana na mimi?”
“Ndiyo.”
“Wapi?”
“Popote pale.”
“Kwani kuna nini?”
“Hakuna kitu.”
“Ila?”
“Nataka tufahamiane tu! au hupendi?”
“Napenda ila.”
“Ila nini tena Bianka?”
“Mmh!”
“Mbona unaguna?”
“Kwani wewe unaishi wapi?”
“Mimi nipo Tandika Azimio.”
“Kumbe unaishi Tandika?”
“Ndiyo vipi itawezekana kuonana mimi na wewe?”
“Ndiyo itawezekana lakini nataka iwe sehemu open.”
“Usijali kwahiyo unapanga wewe au nipange mimi sehemu ya kukutana?”
“Panga wewe sehemu na muda.”
“Basi tukutane pale Tawheed.”
“Muda gani?”
“Saa kumi jioni.”
“Sawa nitafanya hivyo.”
Nilipomaliza kuchat na Bianka moyo wangu ulifarijika mno, nilihisi kuwa mshindi mpaka kufikia hapo. Nilitamani papambazuke ilimradi huo muda uweze kufika wa mimi na yeye kukutana katika mgahawa wa Tawheed uliyokuwepo mtaa ya Majaribio Tandika. Usiku wa siku hiyo nililala huku akili yangu yote ikimfikiria yeye.
****
Niliamka siku iliyofuata asubuhi na mapema, nilijiandaa kama ilivyokuwa kawaida yangu, nilipomaliza niliichukua pikipiki yangu kisha nikaenda kumpitia Samira nyumbani kwake nikampeleka kazini.
Siku hiyo sikuzungumza naye lolote zaidi ya salamu ya asubuhi niliyompa basi hakukuwa na kingine nilichokiongeza, alinishangaa sana lakini sikutaka kumpa nafasi ya kuniuliza lolote, uso wangu wa ukauzu niliyomuonyeshea uliashiria kuwa sikuwa sawa hata kidogo na hivyo hakutakiwa kunihoji lolote. Nilipomfikisha kazini kwake nilimuaga kisha nikaondoka.
Kimoyomoyo nilikuwa nilicheka baada ya tukio hilo kulifanya, niliamini nilimuacha katika wakati wa maswali lukuki ambayo yalikosa majibu katika kichwa chake, kama kunitesa alinitesa sana, nilitumia kila mbinu za kumpata mpaka nikafikia hatua nikawa namdanganya lakini kila nililokuwa nalitegemea kulipata lilienda kombo mwisho nikaamua niwe ni mtu wa kumfanyia visa bila sababu.
****
Baada ya kupita masaa kadhaa hatimaye saa kumi kamili iliweza kutimia, mpaka kufikia muda huo nilikuwa tayari nimeshafika katika mgawaha wa Tawheed uliyokuwepo mtaa wa Majaribio, niliagiza Juice ya embe na baada ya muda mfupi muhudumu aliweza kunihudumia kisha taratibu nikaanza kuinywa huku nikiusubiria ujio wa Bianka. Nilionekana kuwa mwenye shahuku ya kumuona msichana huyo kwa mara ya pili, macho yangu hayakutulia sehemu moja, nilitazama huku na kule mwisho nikaitazama pikipiki yangu niliyokuwa nimeiegesha pembeni na mgahawa huo uliyokuwa sehemu ya wazi sana.
Baada ya dakika kumi na tano hatimaye Bianka aliweza kufika katika mgahawa huo, alikuwa amevalia gauni refu la rangi ya nyeusi pamoja na blue lililokuwa limetawaliwa na maua kila kona, kichwani alikuwa amejifunga kilemba kilichoendana na rangi ya gauni lake.
“Umependeza sana,” nilimwambia huku nikimtazama kwa kumthaminisha, wakati huo nilikuwa nimesimama.
“Asante,” alinijibu kwa sauti iliyokuwa na aibu.
“Karibu ukae,” nilimwambia kisha akakaa kwenye kiti cha mbele, tukawa tunatazamana.
“Kwanza unaagiza nini?” nilimuuliza.
“Chochote,” alinijibu.
“Hakuna chakula kinachoitwa chochote embu sema unakula nini?”
“Chips.”
“Chips na nini?”
“Mayai,” alinijibu huku uso wake ukiwa umetawaliwa na aibu.
Kabla ya mazungumzo yetu kuanza niliagiza chips mayai sahani mbili pia nilimuagizia juice ya embe Bianka japo alionekana kuona aibu kuniambia.
Baada ya kuhudumiwa tulianza kula kisha mazungumzo yetu yakaanzia hapo.
“Siamini kama nimekuona tena,” nilimwambia.
“Kwanini?” aliniuliza.
“Unajua ni vigumu sana mtu kukutana naye siku moja halafu ukaweza kumuamini kama jinsi ilivyotokea kwetu.”
“Ni kweli lakini hata mimi nashangaa sijui kwanini imekuwa hivi.”
“Mimi nahisi kuna kitu hapa bila shaka.”
“Kitu gani?”
“Kuna vitu tutakuwa tunafanana bila kujijua.”
“Kama vitu gani?”
“Ni mapema mno kuvifahamu lakini mimi naamini huu ndiyo utakuwa mwanzo wa ukaribu wetu.”
“Bila shaka.”
“Nikuulize kitu.”
“Niulize.”
“Nyumbani unaishi na nani?”
“Naishi na Mama yangu.”
“Baba je?”
“Ameshafariki miaka mingi sana.”
“Pole sana ila naomba unisamehe kwa kukukumbusha machungu.”
“Usijali.”
“Hivi kwenu wewe ni mtoto wa ngapi?”
“Wa kwanza na wa mwisho.”
“Kweli?”
“Ndiyo,” alinijibu kisha nikatabasamu.
“Nini?” aliniuliza.
“Hata mimi pia kwetu ni mtoto wa pekee halafu baba yangu naye alishafariki miaka mingi sana,” nilimwambia kisha sikutaka kuishia hapo, nilimwambia pia juu ya kufanana kwa historia zetu jambo ambalo alikiri, aliamini kuwa ile ndiyo ilikuwa sababu ya mimi na yeye kuzoeana kwa muda mfupi mpaka kufikia hatua ya kukutana kwa mara nyingine.
Niliuanza mchezo wangu wa kumchombeza taratibu huku nikimsifia sifa za hapa na pale, alibaki kuwa mwenye aibu muda wote huo, niliutumia udhaifu huo katika kumshawishi mpaka akakubali kwenda kwangu, siku hiyo niliacha kwenda kumchukua Samira na kitu nilichokuwa nimepanga ni kuhakikisha Bianka ananasa katika mtego wangu, niliamua kuiharibu siku yangu nzima kwa ajili yake.
“Tukienda hatukai sana?” aliniuliza.
“Ndiyo unapafahamu tu halafu nakurudisha kwenu,” nilimjibu.
“Sawa twende,” aliniambia.

ITAENDELEA..

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
SIKUACHI BABY EP 06




Sikutaka kuamini kama maneno yangu niliyoyachukulia kuwa kama utani wa kumchombeza Bianka yaliweza kumshawishi mpaka akakubali kwenda nyumbani kwangu. Tulipomaliza kula nililipa pesa iliyohitajika kama gharama ya chakula tulichoagiza, nilipomaliza kulipa tukaielekea pikipiki yangu niliyokuwa nimeigesha pembeni kidogo na magahawa huo, tukapanda kisha safari ya kwenda Tandika Azimio ikaanza.
Hakukuwa na umbali mrefu kutoka Tandika Majaribio na Azimio, tulitumia muda kama wa dakika tano mpaka kufika katika chumba nilichokuwa nimepanga.
“Ndiyo hapa?” aliniuliza nilipokuwa nimesimamisha pikipiki nje ya nyumba iliyokuwa na vyumba vinne vilivyokuwa vimejipanga kwa muundo wa namba saba.
“Yeah!” nilimjibu kisha nikamwambia ashuke, nikaiegesha pikipiki yangu vyema pembeni kidogo na chumba changu.
Baada ya zoezi hilo nililofanyika dakika moja sasa niliutoa ufunguo wa chumba changu, nikafungua mlango kisha nikamkaribisha. Alionekana kuwa muoga sana, macho yake yalijawa na wasiwasi mkubwa sana.
“Karibu ndani Bianka,” nilimkaribisha, wakati huo macho yake yalikuwa yakitazama vile vyumba vya wapangaji wengine.
“Asante,” alinijibu kisha akaanza kujongea taratibu kupiga hatua za kuingia ndani.
Baada ya sekunde chache akawa tayari ameshaingia ndani kwangu, macho yake yakapokelewa na muonekano wa chumba changu halisi ambacho muonekano wake na mimi vilikuwa ni vitu viwili tofauti.
Alipoingia alionekana kuwa na wasiwasi, nilimtazama kisha nikatabasamu, wakati huo tulikuwa tumesimama wima.
“Karibu ukae basi,” nilimwambia kisha nikaenda kukaa kitandani huku nikimpa ishara na yeye aje kukaa kwa wakati huo. Akasita kidogo kama muda wa sekunde nne au tano halafu akaamua kuja kukaa kitandani. Muda wote huo alikuwa ni mwenye wasiwasi.
Alipokuwa amekuja kukaa kitandani alikaa mbali kabisa na mimi tena mkao aliyokuwa amekaa ulikuwa ni ule wa nataka kuondoka.
“Nafikiri tayari nimeshapafahamu tunaweza kuondoka?” aliniuliza Bianka huku macho yake yakiendelea kutalii katika sehemu mbalimbali za chumba changu kilichoongoza kuwa na nguo chafu kila kona.
“Hee! mara moja hii hata hujapumzika?” nilimuuliza.
“Hapana Metu unajua muda umeenda sana.”
“Kwani sasa hivi ni saa ngapi?”
“Saa kumi na moja na dakika arobaini.”
“Mbona bado mapema sana.”
“Mapema wakati nitachelewa,” aliniambia Bianka huku akionekana kuchoka kuendelea kukaa ndani kwangu.
Macho yangu yalitua moja kwa moja mpaka kwenye kifua chake, alikuwa na kifua kilichokuwa na chuchu ndogo za wastani zilizochongoka kama ncha ya msumari, nilipozitazama nilijihisi kupandwa na mzuka wa hatari, Metusela wangu alikuwa tayari ameshasimama kwa ghadhabu, hamu yake ilikuwa ni kupata burudani kwa wakati huo.
Niliendelea kumtazama Bianka kwa macho ya matamanio huku Metusela wangu akizidi kuvimba ndani, sijui hata alijuaje kuwa nje kulikuwa na tunda na hivyo lilitakiwa liliwe.
Nilimsogelea kisha nikamshika mabegani, akanitoa mkono halafu akasimama.
“Tuondoke bana Metu,’ aliniambia huku akionekana kuwa mwingi wa haraka ya kutaka kuondoka kwa wakati huo.
Sikumjibu kitu, nilichokifanya niliivua t-shirt yangu nyeusi iliyokuwa imeandikwa kwa herufi kubwa CK (Kelvin Clein) kisha nikabaki na Vest nyeupe iliyokuwa imenibana vyema na kuonyesha muonekano wa mwili wangu wa gym.
“Metu,” aliniita.
“Bianka si ungesubiri basi hata nikaoge kwanza ili nikupeleke?”
“Utachelewa.”
“Hapana sitachelewa,” nilimwambia huku nikiendelea kumtazama kwa macho ya matamanio.
Niliamka vilevile nilivyokuwa pale kitandani Bianka akakumbwa na mshangao wa ajabu baada ya kuona sehemu za mbele za maumbile yangu yakiwa yamesimama, suruali yangu ilikuwa imevimba haswaa.
Kabla hajafungua kinywa chake na kusema lolote kwa wakati ule alitamakati muda ambao nilikuwa tayari nimeshawasili nyuma yake bila hodi nikawa nimekishikilia kiuno chake, aliruka kidogo kisha akanitazama.
“Metu unataka kunifanya nini?” aliniuliza swali ambalo jibu lake lilikuwa wazi, sikumjibu kitu bali niliendelea na harakati zangu za kupenyeza mikono yangu kuingia ndani ya gauni alilokuwa amelivaa.
Niliitumia zipu ya mgongoni mwake, niliifungua taratibu kisha nikaupenyeza mkono wangu wa kulia ndani ya mwili wake uliyokuwa na wembamba usiyomithilika. Niliuzungusha mpaka ukawa umefika mbele ya kifua chake, nikaanza kuziminyaminya chuchu zake zilizokuwa zimechongoka, nilipokuwa niziminyaminya alianza kuhangaika.
“Metu kumbe huu ndiyo mchezo wako?” aliniuliza huku akipambana kunitoa mkono, nilikuwa nimemshika vilivyo wala haikuwa kazi rahisi ya yeye kuweza kunitoa. Wakati huo Metusela alikuwa amevimba hatari tena nilianza kumuhisi akijawa na mate laini mdomoni, akaanza kuyatoa mdogomdogo, nikazidi kupagawa.
“Metu naomba uniache please sitaki kufanya mapenzi na wewe, umeniambia tunakuja kupaona unapoishi sasa mbona unaenda kinyume na makubaliano yetu?” aliniuliza Bianka wakati huo nilikuwa nimeanza kumchojoa nguo zake.
“Naomba unipe japo kidogo Bianka, naomba please naumiaa,” nilimwambia kwa sauti ya kulalamika huku nikiendelea na kazi yangu ya kumchojoa nguo zake.
“Sitaki, sitaki Metu mbona unatumia nguvu sasa?”
“Sio natumia nguvu Bianka mwenzio nimezidiwa naomba unipooze.”
“Najuta hata kuja nyumbani kwako.”
“Usiseme hivyo Bianka mwenzio nakupenda.”
“Huo ni upendo gani wa siku moja yani unione leo unipende siku hiyohiyo.”
“Bianka mapenzi ni kama ajali, inatokea siku yoyote na muda wowote naomba unipe basii nakuahidi nitakupenda kweliii,” nilimwambia kwa kulalamika.
Ingawa mwanzoni alikuwa ameniwekea ugumu katika kumchojoa nguo zake lakini baada ya kumwambia maneno hayo kidogo aliweza kupunguza na sasa akawa ameniachia uhuru.
Hakuwa amevaa nguo nyingi sana zaidi ya lile gauni, sidiria pamoja na chupi. Nilipomaliza kumchojoa nguo zake alinivuta kifuani mwake, tukawa tunatazamana uso kwa uso, akausogeza mdomo wake ukakutana na wangu, tukaanza kubadilishana mate huku nikiendelea kumtomasa sehemu mbalimbali za mwili wake, alikuwa akirukaruka hovyo huku akiwa ameing’ang’ania vest yangu, nikajua alikuwa tayari ameshapagawa na alikuwa anataka kunikabidhi mwili wake.
Kitendo cha kunivuta kifuani mwake na kuanza kubadilishana mate sikutaka kiendelee kubakia hivyohivyo, niliamua kujiongeza.
Nilivua suruali pamoja na vest yangu fasta kisha haraka nikanvuta ili niweze kumkabili, nilimbeba na kwenda kumlaza chali kitandani, sikufanya maandalizi makubwa sana ya mchezo zaidi ya kumtumia Metusela kichwa rungu wangu kusuguasugua sehemu za nje upande wa juu kushuka chini katika kitumbua chake hali ambayo ilizidi kutuweka katika hamu kubwa sana.
Bianka uvumilivu ulimshinda na sasa akaamua kumshika mwenyewe Metusela wangu aliyekuwa na uchu wa kula tunda lake, akamungiza ndani ya ulingo.
“Aaaiiiiiissssshhhh,” alitokwa na mguno baada ya Metusela kichwa rungu kuingia ndani.

ITAENDELEA

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
SIKUACHI BABY EP 07


Niliuanza mchezo wa kumuingiza ndani na kumtoa nje Metusela kichwa rungu aliyekuwa amesimama kikakamavu kabisa, katika utaratibu wa hali ya juu niliendelea kukisugua kitumbua chake kilichokuwa kimeanza kutokwa na majimaji laini, alikuwa akitokwa na miguno ya kimapenzi kwa wakati huo na kila neno alilokuwa akilitamka hakuacha kulitaja jina langu.
“Metusela wewe aaaahhhhh jamaniii mbona hivii lakini tamuuu ooohhhh aiiiiissshhhh aaahhhhmmm aaaaahhhhhh,” kwa sauti legevu iliyogubikwa na raha aliniambia huku akiyaviringisha macho yake, nilimtazama huku na mimi nikiendelea kuupata msisimko wa kipekee, alikuwa na joto kali kiasi katika shina lake la huba, nipokuwa nikiendelea kukisugua kitumbua chake haikuchukua dakika chache niliwahi kumaliza ngwe ya kwanza ya mchezo.
Kitendo cha kumaliza ngwe ya kwanza sikutaka kupumzika bado nilijihisi kuwa na nguvu za kuuhimili mchezo, niliamua kumbadilisha staili, nilimlaza kiubavu huku mguu wake mmoja nikiuchanua kwa juu kisha na mimi nikajilaza kwa nyuma yake kiubavu halafu nikaupachika mtwangio wangu katika kinu chake na kuanza kutwanga, alizidi kutokwa na miguno lukuki ya kimahaba wakati huo alikuwa amejipinda haswaa! utamu ulikuwa umemkolea.
Niliendelea kutwanga huku nikizidisha kasi ya utwangaji wangu.
“Aaaahhhh ooohhh jamaniii Metuuuu aaaahhhhhh ooooohhhh aaahhhmmm,” aliendelea kutokwa na miguno ya kila aina.
Japo nilipanga kumkomoa katika tendo lile ambalo nililifanya kama kufuru kwa kila staili niliyoona inafaa kufanya basi nilifanya naye kwa muda mfupi.
Tulipomaliza nilimwambia aende kuoga kisha na mimi nikafuata na mara baada ya kumaliza tulijiandaa tayari kwa safari fupi ya kumrudisha nyumbani kwao, wakati huo ilikuwa imetimia majira ya saa moja za usiku.
Hakutaka kunitazama usoni muda wote alikuwa akitazama chini kwa aibu, bila shaka hakutarajia kama nilifanikiwa kufanya naye mapenzi tena katika siku mbili nilizokutana naye.
“Metusela kwanini umenilazimisha kufanya mapenzi na wewe?” aliniuliza kabla hatujatoka nje, alijikaza kisha akanitazama usoni, tukatazamana.
“Lakini si nimekueleza sababu iliyonipelekea mpaka nimeamua kufanya hivyo?” nilimuuliza.
“Umeshindwa kujizuia?”
“Ndiyo nimeshindwa lakini naomba unisamehe.”
“Metusela unanitafutia matatizo makubwa.”
“Matatizo gani tena.”
“Mpenzi wako akijua je?”
“Sina mpenzi kwa sasa.”
“Kwanini?”
“Ndiyo maana nikakutaka wewe, nimekupenda.”
“Unanipenda?”
“Ndiyo tena zaidi ya kukupenda mpenzi.”
“Itawezekana vipi Metusela yani sielewi hata kwanini nimekukubalia kufanya mapenzi na wewe, najilaumu.”
“Usiseme hivyo naomba unisamehe najua nimekosea lakini nilikuwa sina jinsi ya kufanya hata kama ni wewe ingekulazimu ufanye hivyo kwa mtu ambaye umempenda,” nilimwambia kisha hakunijibu lolote, alikosa neno la kuniambia na badala yake aliniambia nimpeleke nyumbani kwao, nikafanya kama alivyoniambia.
****
Lilikuwa ni penzi la dharura lililotokea kati yetu wala sikutaka kujiuliza maswali mengi sana kwasababu kila kitu kilichotokea nilikitarajia, hakukuwa na jambo geni hata kidogo kwangu. Furaha yangu ilikuwa ni kuona nimefanikiwa kuugusa mwili wa Bianka ambaye naweza kusema alikuwa ni msichana wangu wa kwanza kumuingilia kirahisi, sikutumia hata nguvu nyingi. Mapenzi niliyofanya naye pamoja na uhodari wangu wa kitandani niliamini kuwa iwe isiwe lazima ningefanikiwa kuuteka mfumo mzima wa ubongo wake, niliamini angeweza kunikumbuka.
Nilipitia katika mgahawa mmoja usiku huo nikala chakula, nilipomaliza nilirejea katika chumba changu, nilijihisi kuchoka sana na nilihitaji kupumzika kwa muda huo.
Kabla sijaamua kupumzika nilipigiwa simu na Samira, haraka niliipokea.
“Kwanini unanifanyia hivi Metusela kwanini lakini nimekukosea nini?” bila hata salamu aliniuliza Samira mara baada ya kupokea simu yake.
“Nimefanya nini tena?” nilimuuliza.
“Kwanini hujaja kunichukua?”
“Nimesahau.”
“Umesahau! Tangu lini umeanza kusahau Metu.”
“Nina mambo mengi sana kichwani usiponikumbusha lazima nisahau.”
“Nimekukosea nini Metu.”
“Hujanikosea kitu mbona sikuelewi halafu unanipigia simu unaanza lawama hujui nipoje naumwa au lah! aaggh!”
“Basi naomba unisamehe Metu.”
“Utajua mwenyewe,” nilimwambia kisha nikamkatia simu, haikuchukua muda akanipigia tena, nikapokea.
“Nini?” nilimuuliza kwa ukali.
“Metu upo sawa lakini?”
“Ndiyo nipo sawa sema shida yako.”
“Kuna kitu nataka nikuambie.”
“Kitu gani?”
“Ila sidhani kama itakuwa ni sahihi kukuambia kwenye simu.”
“Wewe niambie tu! nimechoka kwanza.”
“Nakupenda Metusela naomba uamini niyasemayo, nilikataa kukubalia ombi lako ili nikuchunguze tabia yako na mwenendo wako pia lakini nashangaa nashindwa kukuchunguza na badala yake nazidi kujiumiza, kweli nakupenda nimekukubalia ombi lako naomba basi usiendelee kunitesa kiasi hicho naumia,” aliniambia Samira maneno ambayo naweza kusema yalizaa penzi lingine jipya.

Kitendo cha Samira kunipigia simu na kuniambia alikuwa ananipenda kilinifanya nizidi kujiona mwanaume niliyekuwa na nyota kali mno, haikuwa rahisi hata kidogo kuamini kama kuna siku ningeweza kumpata msichana huyo japo niliwahi kumueleza ukweli wa hisia zangu lakini alionekana kutozijali.
“Unasema kweli Samira au unanizingua?” nilimuuliza kwa sauti ya kukoroma.
“Nakupenda ukweli Metusela wala sikutanii,” alinijibu.
“Na huyo jamaa yako je?”
“Jamaa gani?”
“Huyo mpenzi wako ambaye uliniambia yuko Marekani.”
“Sina mpenzi Metu.”
“Kwahiyo ulikuwa unanidanganya?”
“Hapana nilikuwa naye lakini ni muda sasa umepita tangu nilipoachana naye.”
“Muda gani umepita?”
“Miezi saba.”
“Kwanini mmeachana?”
“Ni stori ndefu Metu ila kiukweli nilitokea kuyachukia sana mapenzi sikutaka kujiingiza tena katika ulimwengu huu hata pale nilipokuwa najaribu kuzizuia hisia zangu zisiweze kukubalia ombi lako nashangaa najikuta nakufikiria kila wakati, nafsi inaniuma na moyo nao nahisi unahitaji kuwa na wewe, sijui hata ni kwanini?” aliniuliza swali ambalo jibu lake lilikuwa ni mapenzi.
Kwa muda ambao niliendelea kuzungumza naye nikajikuta usingizi wote ukiwa umenitoka, sikuwa na lepe hata moja la usingizi japo nilikuwa nimechoka kutokana na mechi kali niliyokuwa nimetoka kucheza na Bianka lakini sikutaka hiyo iwe ndiyo sababu ya kunifanya nilale kizembe, niliendelea kuzungumza naye.
“Kwahiyo unataka kusema nini?” nilimuuliza.
“Nakupenda nipo tayari kufanya lolote kwa ajili yako ila naomba usije ukaniumiza kama Bryson,” aliniambia.
“Bryson ndiyo nani?” nilimuuliza.
“Mwanaume aliyeniumiza mapenzini,” alinijibu.
“Usiogope mimi siwezi kukuumiza kama huyo Bryson wako halafu jua kuwa hata mimi nakupenda sana nadhani nilishawahi kukueleza hisia zangu lakini ulionekana kutozijali au ulihisi nakutania?”
“Hapana Metu nilitaka nikuchunguze lakini nimeshindwa kufanya hivyo,” aliniambia kwa sauti ya kimalalamishi.
Ama kweli Mapenzi ni kitu cha ajabu sana kwa muda mfupi ambao tulikuwa tukizungumza kwenye simu mpaka kufikia hatua tukawa wapenzi, alianza kuonekana kuwa na wivu, kila alilokuwa akiniambia hakuacha kuweka walakini katika maneno yake.
Alikuwa akihofia kuchanganywa kimapenzi na wasichana wengine, alitaka kuwa yeye kama yeye mapenzini japo nilikuwa ni miongoni kati ya wavulana ambao walikuwa na mchezo huo wa kuwachanganya wasichana lakini nilimuahidi kuwa kisingeweza kutokea kitu kama hicho.
“Metu unasema kweli?”
“Niamini.”
“Naogopa sana kuumizwa.”
“Siwezi kukufanyia ukatili wa kinyama kiasi hicho,” nilimjibu.
Kama unavyoyajua tena mapenzi ya mwanzo mwanzo huwa hayana kikomo cha kuzungumza, siku hiyo tuliitumia katika kuzungumza, muda wa mazungumzo ulipoisha tulihamia katika chatting, tulichat sana mpaka ilipofika majira ya saa nane za usiku nilimwambia alale ili asichelewe kazini.
Huo ndiyo ulikuwa mwanzo rasmi wa penzi langu na Samira, alionekana kunipenda sana, hakutaka kusikia nina mwanamke mwingine zaidi yake, hiyo haikuwa kazi hata kidogo, nilichoamua kukifanya nilimuahidi na maisha yaliendelea huku kazi yangu ya kumfuata kila siku asubuhi na kumpeleka kazini Posta nikiendelea nayo lakini safari hii iligeuka kuwa kazi isiyokuwa na malipo.
Kwa muda ambao nilikuwa nikiutumia kuwa na Samira katika penzi hilo jipya Bianka hakuwa mbali katika kuuliwaza moyo wangu kipindi ambacho Samira alikuwa kazini.
Niliutumia ubize wake katika kuwasiliana na Bianka ambaye niliendelea kuwa naye na kwa wakati huo na yeye alikuwa ameshakolea penzini, alichokuwa anakitamani kutoka kwangu ni siku moja kuona anakuwa mke wangu halali.
“Utanioa kweli Metu?” aliniuliza Bianka siku moja mchana, wakati huo tulikuwa ndani ya chumba changu.
“Ndiyo lazima nikuoe ondoa shaka,” nilimjibu kisha nikaanza kumpapasa sehemu za mwili wake, akaonekana kusisimka mno na mimi nikaitumia nafasi hiyo katika kumuingia kiakili mpaka akajikuta tayari nimeshamvua nguo zake na mimi nilikuwa tayari nimeshavua zangu kwa wakati huo, kitu kilichokuwa kikifuata ni kufanya mapenzi.
Nilifanya mapenzi na Bianka mpaka pale ambapo tulimaliza huku kila mmoja akiwa ameridhika, nilihakikisha namsugua vizuri kila kona ya kuta za goli lake nililoingia pekupeku.
Nilipomaliza kufanya mapenzi na Bianka niliamua kutumia akili ya ziada kumuondoa ili niweze kwenda Posta kumchukua Samira ambaye kwa wakati huo alikuwa tayari ameshaanza kunipigia simu na kunitumia ujumbe.
“Kwani kuna nini Metu mbona sikuelewi?” aliniuliza.
“Kuna sehemu nataka kwenda kumchukua abiria sasa hivi,” nilimjibu.
“Huyo abiria na mimi nani mwenye umuhimu?”
“Hayo maswali ndiyo siyatakagi nimekwambia nakwenda kumchukua abiria sasa unavyoniuliza hivyo una maanisha nini?”
“Basi Metu yaishe ila siku nyingine naomba ukiwa na mimi uwe na mimi tu!sitaki kusikia kuhusu abiria wako,” aliniambia.
Baada ya kumalizana na Bianka sasa nilianza safari ya kwenda Posta kumchukua Samira, wivu ulikuwa tayari umeshaanza kumuingia na alikuwa akihisi kwa wakati huo wenda nilikuwa nipo na mwanamke na ndiyo sababu iliyonifanya nishindwe kupokea simu zake jambo ambalo nililikanusha na kumdanganya nilikuwa bize kutokana na mishemishe zangu za udereva wa bodaboda.

Hatimaye niliweza kufika Posta lakini nilichelewa sana ukitofautisha na siku zingine. Samira hakuonekana kutabasamu baada ya kuniona, alikuwa amekasirika.
“Usichukie mpenzi leo mambo yalikuwa mengi sana,” nilimwambia.
“Mambo gani hayo wakati umetoka kwa wanawake zako,” aliniambia huku akiwa ameubetua mdomo wake.
“Hapana! Sina mwanamke mwingine zaidi yako,” nilimwambia kisha akashindwa kuendelea kuzungumza kwa wakati huo, akanitazama usoni nilimkonyeza kwa makusudi kisha akatabasamu na hasira kwa wakati huo zikawa zimemuisha.
“Sipendi unavyonifanyia Metusela,” aliniambia.
“Ndiyo maana pakawa na neno Samahani mpenzi ila nisamehe sirudii tena,” nilimwambia kisha akapanda kwenye pikipiki tukaondoka.
Tulipofika nyumbani kwake hakutaka niishie kuondokea nje kama ilivyokuwa kawaida yangu, siku hiyo alining’ang’ania niingie ndani na kama ilivyokuwa kawaida yangu nikajiongeza, nikaipaki pikipiki yangu halafu nikaingia ndani.
“Karibu mpenzi,” alinikaribisha baada ya kuingia sebuleni kwake kisha nikakaa kwenye kochi.
“Asante,” nilimjibu huku nikianza kuyaangaza macho yangu kila kona ya sebule hiyo iliyopambwa na mapambo ya kila aina, ilikuwa ni nyumba ya vyumba vitatu pamoja na jiko.
Baada ya kunikaribisha aliingia chumbani na baada ya muda mfupi aliweza kutoka huku akiwa katika vazi la kanga, macho yangu yakazidi kuvutiwa naye kingono japo alikuwa tayari ameshanikubalia kuwa mpenzi wake lakini niliona kama alikuwa akinicheleweshea kunipa uroda, alikuwa amenona vilivyo, umbo lake, hips, wowowo pamoja na kifua chake kilizidi kuniweka mithili ya mgonjwa maututi ambaye alikuwa akisubiri huduma ya daktari.
“Unatumia kinywaji gani?” aliniuliza, wakati huo alikuwa amekuja kukaa katika mkono wa kochi nililokuwa nimekaa.
“Maji,” nilimwambia.
“Maji?” aliniuliza.
“Ndiyo yananitosha,” nilimjibu kisha akainuka na kwenda kuniletea maji,.
Sikuwa na kiu wala hamu ya kunywa chochote ila niliamua kumwambia hivyo ilimradi nizidi kuyashuhudia makalio yake makubwa yaliyokuwa yakitingishika, alitembea kwa maringo sana. Nikazidi kumtazama kwa macho ya matamanio.
“Mbona unanitazama sana?” aliniuliza baada ya kunikabidhi glass ya maji, wakati huo alikuwa amerudi kukaa kwenye mkono wa kochi, nikaanza kwa kunywa funda moja.
“Kwani kuna ubaya nikikutazama?” nilimuuliza kisha nikanywa funda lingine.
“Hakuna ubaya,” alinijibu.
“Basi niache nikutazame,” nilimwambia.
“Nitaoana aibu bana,”aliniambia.
Kila nilipozidi kumtazama nilijikuta nikitamani kufanya naye mapenzi, hicho ndicho nilichokuwa nikikiwaza wala hakukuwa na kingine.
Nilipomaliza kunywa maji niliweka glass chini kisha nikaupenyeza mkono wangu nyuma yake, nikakishika kiuno chake kilichokuwa kimeingia kwa ndani kidogo.
Hakuonekana kuhisi lolote baada ya kitendo hicho, nikaamua kukiminya kwa vidole vitatu akaruka.
“Wewe,’ aliniambia huku akinitazama.
“Nini?’ nilimuuliza.
“Mbona hivyo?”
“Nalihitaji penzi lako.”
“Mbona bado mapema.”
“Unataka mpaka ufike muda gani ndipo uweze kunipa mwili wako.”
“Subiri nitakupa usijali.”
“Lini?”
“Siku nyingine lakini si leo, sipo sawa.”
“Sikuelewi unajua.”
“No, mpenzi wangu najua hunielewi lakini naomba univumilie hizi siku kadhaa zipite.”
“Una maana gani?”
“Niko Period.”
“Una uhakika?”
“Ndiyo,” alinijibu.
Siku hiyo sikufanikiwa kufanya naye mapenzi japo alianza kuniomba radhi na kuniambia nisikasirike lakini sikutaka kumuonyesha hali yoyote ya utofauti. Mchana wa siku hiyo nilitoka kufanya mapenzi na Bianka hivyo sikutaka kuchukulia kuwa kama ni tatizo sana.
“Upo sawa lakini?”
“Usijali nipo sawa,” nilimwambia kisha nikamuaga na kuondoka zangu.
****
Sikutaka kila kitu kilichokuwa kikiendelea katika maisha yangu kila mtu akifahamu hata kwa upande wa marafiki zangu ambao walikuwa wakiufahamu mchezo wangu wa kubadilisha wanawake kila siku haikuwa rahisi kwa wao kuweza kutangaza kwa watu, ilikuwa kama siri yangu niliyokuwa nikiishi nayo siku zote.
“Utaoa lini mwanangu?” aliniuliza Mama siku moja nilipoenda kumsalimia nyumbani, alionekana kuchukizwa na muonekano wangu.
“Nitaoa Mama usijali siku akipatikana mrembo ambaye nitapendezewa naye basi nitamleta,” nilimwambia.
“Mpaka lini hivi unadhani miaka inakusubiri?”
“Tusubiri,” nilimjibu.
Licha ya maneno ya Mama yangu aliyokuwa akiniambia kila siku juu ya kuoa lakini sikutaka kuyachukulia maneno yake kuwa na uzito, nilijiona kuwa bado mtoto ambaye nilihitaji kupewa muda mrefu wa kukua zaidi.
Akili yangu haikuwa ikifikiria kazi, kujenga, kuwekeza au kufanya jambo lolote kubwa katika maisha yangu zaidi ya kuwafikiria wasichana. Samira na Bianka hawa ndiyo wasichana waliyokuwa wamenitawala akilini mwangu.
Kuhusu Bianka sikumuwaza sana kwani kama kufanya naye mapenzi nilifanya naye sana tena kwa muda mfupi isipokuwa akili yangu na mawazo yangu yote yalizidi kuwa kwa Samira msichana ambaye tangu alipoweza kunikubalia na kuwa wapenzi sikubahatika kabisa kufanya naye mapenzi, sikujua ni kwanini alikuwa ni mtu wa kunipiga kalenda kila siku.

ITAENDELEA..

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
SIKUACHI BABY EP 08


Kuna kipindi kilifika nilianza kuchoka, nilihisi kuna siri Samira alikuwa akinificha na ndiyo iliyosababisha mpaka akawa ni mtu wa kunipiga kalenda, kila nilipokuwa nikimuhitaji kimapenzi alikuwa akiniwekea vikwazo lukuki.
“Kuna kitu gani unachonificha?” nilimuuliza.
“Hakuna kitu,” alinijibu.
“Mbona linapofikia suala la kufanya mapenzi unakuwa ni mtu wa kuweka vikwazo.”
“Sio hivyo Metu.”
“Sio hivyo nini sasa?”
“Tutafanya tu.”
“Lini?”
“Nitakwambia.”
“Unanipenda?”
“Ndiyo tena sana.”
“Kwanini hutaki kunipa penzi lako lina nini?” nilimuuliza lakini jibu lake lilikuwa ni lile lile, hakutaka kufanya mapenzi kwa kipindi kile na alidai kuwa kuna siku ingefika kisha angeweza kuniambia.
Nilizidi kushangazwa na aina ya mapenzi ya Samira, alikuwa ni msichana wangu wa tofauti sana ukitofautisha na wasichana wangu wote niliyowahi kutembea nao.
Naweza kusema aliwazidi kuanzia uzuri, umbo, elimu mpaka kazi yake, alikuwa ni msichana mwenye malengo ya kimaisha lakini alikosa ulaini wa kunikubalia kufanya naye mapenzi, nilipokuwa nikimbembeleza kwa lengo la kunipa mapenzi alikuwa mgumu sana.
Hilo likazidi kuwa tatizo katika mapenzi yetu ingawa nyuma ya pazia nilikuwa nikishiriki tendo na Bianka kikamilifu lakini tamaa zangu za kimwili hazikuacha kumtamani Samira, nilichokuwa nakifikiria siku zote ni kumvua nguo zake za ndani tu!
“Usifikiri wasichana wote unaotembea nao wana akili sawa wengine wanajielewa,” aliniambia Amani huku akinicheka.
“Sijui kwanini ananibania uchi wake?” nilimuuliza.
“Hapo kazi unayo,” alinijibu.
“Lakini lazima nitalala naye tu!”
“Huwezi.”
“Lazima nitaweza,” nilimwambia.
Sikukata tamaa, niliendelea kila siku kumbembeleza Samira lakini bado alizidi kunikatalia kabisa na mpaka kufikia wakati huo sikufahamu ni sababu gani iliyokuwa inampelekea mpaka ananikatalia.
“Mimi ni nani yako?” nilimuuliza usiku mmoja nilikuwa nikizungumza naye kwenye simu.
“Mpenzi wangu,” alinijibu.
“Sasa kwanini unanyima haki yangu?”
“Haki gani?”
“Mapenzi, nahitaji mapenzi yako.”
“Nikuulize kitu?”
“Niulize.”
“Umenipendea nini?” aliniuliza swali ambalo jibu lake lilinichukua muda kujibu, sikulitegemea kwa wakati ule.
“Mbona umenyamaza?” aliniuliza baada ya kimya kifupi.
“Nimekupenda kama msichana wa ndoto zangu, niliyekuwa namfikiria kila siku, nimekusubiri siku zote nikiamini ipo siku nitakupata ili niweze kutengeneza maisha na wewe hatimaye nimekupata lakini unaonekana kama kutonijali, huzijali hisia zangu hivi unafikiri nitaishi vipi na wewe ndiye uliyeuteka moyo wangu?” nilimwambia kisha nikamuuliza swali, nikamsikia akivuta pumzi ndefu na kuziachia.
“Usiseme hivyo nazijali hisia zako,” alinijibu.
“Huzijali Samira, huzijali kama kweli unazijali huwezi kukubali niteseke kiasi hiki, naumia na hisia wakati nina mpenzi na hujali hilo,” nilimwambia kwa sauti ya kulalamika iliyokaribia na kulia.
“Metusela mpenzi wangu,” aliniita.
“Niambie.”
“Nimekubali ila naomba tutafute Lodge.”
“Kwanini?”
“Nimeamua tu! sitaki kila mtu anione.”
“Sawa hakuna tatizo,” nilimwambia.
Usiku huo ulikuwa ni usiku wa furaha sana kwangu, sikutaka kuamini kama Samira alinikubalia ombi langu. Kichwa changu kilianza kuzikumbuka Lodge zote zilizokuwa Tandika.
“Tufanye lini?”
“Kesho.”
“Huendi kazini?”
“Hapana kesho sina kazi nyingi hivyo nitaomba ruhusa wala hakuna tatizo.”
“Sawa.”
“Kwahiyo umepanga twende wapi?”
“Kuna Lodge moja tutaenda.”
“Iko sehemu gani?”
“Ipo hukuhuku.”
“Sawa,” alinijibu.
****
Siku iliyofuata mapema nilitafuta Lodge kisha nikaenda kumchukua Samira. Alionekana kuwa mwenye aibu sana, aliwahofia watu waliyokuwa wakimtazama.
“Achana nao,” nilimwambia.
Baada ya muda mfupi tukawa tayari tumeshaingia katika Lodge hiyo ambayo ilikuwa maeneo ya Tandika. Bado nilikuwa siamini kama nilikuwa naenda kufanya mapenzi na Samira.
Alinitazama kwa macho ya aibu huku akiving’ata vidole vyake, hakujua alitakiwa aanzie wapi kwa wakati huo ambapo tulikuwa tumekaa kitandani.
Sikutaka kuruhusu muda wa mazungumzo kwa wakati huo, nikaanza kumpapasa taratibu kuanzia kifuani kushuka mpaka kwenye mapaja, mwili wake ukazidi kuniweka katika hisia kali mno, nilikuwa tayari nimeshapandwa na mizuka. Niliendelea kumpapasa kila sehemu ya mwili wake mpaka pale alipoanza kupandwa na mihemko, akaanza kulegea taratibu huku akinitazama kwa macho legevu.
Niliusogeza mdomo wangu kisha ukakutana na mdomo wake, kitendo kilichoendelea kilikuwa ni kuanza kubadilishana mate, niliutumia utundu wa kuuzungusha ulimi wangu ambao niliupitisha katika fizi zake, wakati huo mikono yangu ilikuwa bado ina kazi ya kumpapasa.
Sikutaka kuendelea kuwa mzembe wa kunywa juisi ya mlenda wakati mtoto alikuwa tayari ameshahama dunia nyingine, nilichoamua kukifanya ni kuanza kumvua nguo zake, nilipomaliza nikazivua na zangu.
Macho yangu yakapata wasaa wa kumtazama kwa mara ya kwanza akiwa uchi wa mnyama, nikatabasamu kisha nikambusu tumboni, wakati huo alikuwa amelala kitandani, alionekana kuwa mwenye aibu sana, macho yake alikuwa ameyafumba kwa kutumia viganja vyake.
Sikutaka kuzijali aibu alizokuwa nazo kwa wakati huo, nilichokuwa nimedhamiria kukifanya ni kufanya naye mapenzi tu!.
Wakati alipokuwa amelala pale kitandani huku akiwa ameyafumba macho yake nikaanza kumlamba chuchu zake huku nikiwa kama nazing’ata kwa kutumia lips zangu.
“Aiiisssshhh,”alitokwa na mguno huu baada ya kumfanyia mchezo huo.
Sikukoma, niliendelea kufanya hivyo katika chuchu zote, hali ilibadilika sasa yale macho aliyokuwa ameyafumba akawa ameyafumbua, akawa ananipapasa kichwani huku akishuka mgongoni nilipokuwa nikiendelea kuzilamba chuchu zake.
“Aaaiiissshhh aaaahhhhhh,” alizidi kutokwa na miguno.
Nilijitoa ufahamu kisha nikaanza kutembea na ulimi tumboni mwake mpaka pale nilipofika kisimani.
“Aaaaiiiiiii,” aliguna kisha akavuta pumzi ndefu na kuziachia kwa pupa.
Nikaanza kazi ya kusafisha kisima huku nikitumia kidole changu kusugua katika kile kiharage, akaanza kutokwa na lugha za ajabuajabu, sikuishia hapo nikaendelea kumuonyesha utundu wangu katika kumuandaa.
“Metu basiii naumiaaaa,” aliniambia wakati huo nilikuwa nimeshahama kutoka pale kisimani nilikuwa nimehamia upande wa masikioni, nilikuwa kama kuna kitu nataka kumnong’oneza aliponiruhusu nifanye hivyo nikaanza kuutumia ulimi wangu kulamba sehemu za ndani za sikio lake. Kitendo hicho kikazidi kumfanya atokwe na ukulele mkubwa sana huku akiwa amenikumbatia kwa nguo.
“Basiiii babyyyy inatoshaaaa naumiiiaaa,” aliniambia kisha akanitaka niingie mchezoni.
Kabla ya kufanya hivyo nilimwambia acheze na mtwangio wangu aliyekuwa amekasirika kwa wakati huo lakini kitu cha ajabu alikataa kufanya hivyo.
“Ilambe basi kwanza,” nilimwambia.
“Siwezi mpenzi ingiza tu,” aliniambia.
“No! mpaka uilambe.”
“Siwezi kufanya hivyo.”
“Baby.”
“Ingiza mpenzi,” aliniambia.
Nilichoamua kukifanya nilitumia mate yangu kuulainisha mtwangio wangu ambao ulikuwa umesimama kikakamavu kabisa, nilipomaliza nilimrudia Samira, nikampanua mapaja yake akawa amelala staili ya kifo cha mende, nikauingiza mtwangio.
“Aaaahhh oooohhhhh auuuuh aaaahhhh,” alianza kutokwa na miguno nilipoanza kazi ya kutwanga kinu.
Kila sekunde iliyokuwa inapita nilizidi kuongeza kasi ya kutwanga, hali ambayo ilizidi kumfanya Samira azidi kutokwa na miguno lukuki pale kitandani.
Alianza kuyakusanya mashuka yaliyokuwa yametandikwa vyema pale kitandani, aibu zilikuwa zimemtoka, akazidi kunitazama huku macho yaliyolegea yakinidhihirishia raha aliyokuwa akiipata kwa wakati huo.
Niliendelea kutwanga kinu huku hisia nazo zikizidi kunipanda, nikaanza kutokwa na miguno, nilikuwa nakaribia kuwatoa wazungu weupe na baada ya sekunde chache nikawa tayari nimeshawatoa, niliwamwagia ndani.
Tulibadilisha staili kama nane na kila staili niliyobadilisha nilihakikisha namtwanga vilivyo kinu chake. Sikumuacha mbali katika kuyatoa mashuti yake, alikuwa mwepesi wa kufunga magoli ya mfululizo na mpaka mwisho wa mchezo alikuwa amefunga magoli yasiyokuwa na idadi.
Siku hiyo tulilala katika Lodge hiyo huku mchezo ukiwa ni huo huo usiku kucha, nilihakikisha namaliza hasira zangu zote.
****
Baada ya kupita miezi mitatu maisha yangu yalibadilika kwa asilimia kubwa sana, Samira alikuwa akinipa pesa ambazo nilizitumia katika kubadili muonekano wa chumba changu, alinibadilisha kwa kiasi kikubwa sana, nilikuwa nikipendeza.
Niliishi maisha hayo huku nikiendelea kumchanganya na wasichana tofautitofauti niliyokuwa nikikutana nao mpaka pale siku moja ambapo niliweza kupigiwa simu na Bianka, nilipopokea alikuwa akilia kwa wakati huo na sikujua ni nini kilichokuwa kinamliza.
“Kuna nini?”
“Naumbuka Metu.”
“Unaumbuka na nini mbona sikuelewi?”
“Nina mimba yako.”
“Una mimba yangu?”
“Ndiyo Metu nina mimba yako,” alinijibu.
Sikutaka kuamini kile alichoniambia Bianka, nilihisi kuchanganyikiwa kwa muda baada ya kusikia maneno hayo.
Kama haitoshi nikapata pigo lingine tena, nilipigiwa simu na namba ngeni, nilipopokea ghafla! nilipata vitisho vikali kutoka kwa mwanaume aliyejitambulisha kuwa ni mume wa Samira, aliniambia nikae mbali na mwanamke wake huyo lasivyo nilikuwa najihatarishia usalama wa maisha yangu.

ITAENDELEA


Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
SIKUACHI BABY EP 09


Nilibaki nimeduwaa kwa muda huku nisijue ni nini nilitakiwa kufanya kwa wakati huo, simu mbili nilizozipokea ziliniweka katika wakati mgumu mno.
Sauti ya yule mwanaume aliyejitambulisha kuwa ni mume wake na Samira ilianza kujirudia kichwani mwangu, nilikumbuka kila kitu alichonieleza kwa wakati ule.
Taarifa ya Bianka aliyoniambia kuwa ni mjamzito nayo ikazidi kuniweka katika wakati wa mawazo, sikutaka kuamini kama kweli alibeba ujauzito wangu katika kipindi kile, nilianza kujuta kwa kosa kubwa nililokuwa nimelifanya, nilijiona kuwa mzembe sana kwa kukubali kufanya mapenzi bila kutumia kinga. Hilo lilikuwa ni kosa kubwa sana. Nilijilaumu mno.
****
“Unaujazito wangu kweli?”
“Ndiyo.”
“Umeingiaje tena?”
“Ina maana umesahau ulivyokuwa unafanya mapenzi na mimi.”
“Hapana sijamaanisha hivyo mbona sasa hukuniambia kama uko katika siku zako za hatari?”
“Tumeshafanya kosa mpenzi sasa mimi nitafanyaje?”
“Unanipa wakati mgumu sana.”
“Wakati mgumu kivipi inamaana kumbe ulikuwa huna malengo na mimi?”
“Hapana.”
“Ila?”
“Mwenyewe unaona hali ya maisha yangu, kazi yangu ya bodaboda nayo haitabiriki hivi nitaweza kweli kumlea huyo mtoto?”
“Hivyohivyo Metu tutamlea kwani wewe unatakaje?”
“Tuitoe hiyo mimba.”
“Unasemaje?”
“Mpenzi wangu nakuomba tuitoe hiyo mimba na kama tatizo ni mtoto tutazaa kwa wakati mwingine tukishakuwa tayari.”
“Metu mimi siwezi kushiriki hiyo dhambi, siwezi Metu.”
“Huwezi nini mpenzi wangu naomba unisaidie katika hili, nakuahidi sitokuacha katika maisha yako, siwezi kukuacha nisaidie mpenzi wangu.”
“Metu mimi sipo tayari kufanya hivyo.”
“Haupo tayari kivipi Bianka inamaana kumbe hunipendi?”
“Nakupenda sana lakini embu nionee huruma.”
“Kama unanipenda basi nisikilize, kubali kuitoa hiyo mimba kama tatizo ni pesa mimi nitakutafutia ya kutolea.”
“Metu nielewe siwezi halafu Mama tayari ameshajua,” aliniambia Bianka maneno yaliyozidi kuniweka katika wakati wa mawazo.
Nilijaribu kutumia kila mbinu za kuweza kumshawishi akubali kuitoa mimba lakini ilishindikana, mwisho aliamua kuniambia ukweli kuhusu Mama yake kuwa tayari alishafahamu kila kitu na hivyo isingewezekana kuitoa.
Hakukuwa na siku ambayo naweza kusema nilikuwa katika wakati mgumu kama siku hiyo, kila nilivyokuwa nikimtazama Bianka nilihisi kuchanganyikiwa.
****
Baada ya mume wake Samira kunipigia simu na kunipa vitisho vikali kwa kweli nilishindwa kuendelea na zoezi langu la kila siku katika kumpeleka ofisini kwake na kumrudisha, nilishindwa mpaka kumpigia simu.
Nilihofia mambo mengi sana ambayo angeweza kunifanyia mwanaume huyo aliyeonekana kuwa na hasira sana.
Niliyakumbuka maneno ya Samira aliyoniambia kuwa alikuwa hana mume katika maisha yake, nikashindwa kuelewa ni nini kilichokuwa kikiendelea nyuma ya pazia kwani nilishaanza kupata vitisho vya kuuliwa na kisa alikuwa ni yeye.
Sikutaka kuamini kama tayari nilikuwa nimeshaingia katika mchezo mchafu wa mapenzi ambao ungeweza kusababisha kifo changu.
Baada ya kupita siku tatu tangu tukio hilo lilipoweza kutokea Samira aliweza kunipigia simu.
“Kwanini ulinidanganya?” nilimuuliza.
“Nisamehe Metusela mpenzi wangu,” alinijibu kwa sauti iliyoambatana na kilio.
“Nikusamehe nini wakati unajua ulichokifanya.”
“Naomba unisamehe Metu ila sina jinsi ya kufanya mimi nakupenda wewe.”
“Utapenda wangapi na huyo mume wako?”
“Simpendi.”
“Humpendi kivipi embu acha kuniletea matatizo,” nilimwambia kisha nikakata simu.
****
Kichwa changu bado kilitawaliwa na mawazo sana, niliendelea kumfikiria Bianka ambaye mpaka kufikia wakati huo sikujua ni nini nilitakiwa kukifanya.
“Nini ulichoamua?”
“Mama yangu anataka akufahamu Metu.”
“Umemueleza kuhusu mimi?”
“Ndiyo.”
“Usijali nitaenda kujitambulisha ila bado mapema sana,” nilimwambia.
Nilichokuwa nikikiwaza kwa wakati huo ni kutafuta njia ya ziada ya kuweza kumshawishi Bianka mpaka akubali kuitoa mimba yake ili niishi maisha ya amani, sikupanga kuzaa naye katika maisha yangu.

Hakukuwa na kitu kilichokuwa kikiniumiza kichwa kama ujauzito wa Bianka, sikutamani kumuona akiwa na ujauzito wangu, nilipanga kufanya kila niwezalo mpaka akubali kuutoa na huo ndiyo ungekuwa mwisho wa mapenzi yetu.
Kila kitu kilichokuwa kikiendelea katika maisha yangu hakikwenda sawa na sababu kubwa ilikuwa ni ujauzito huo uliyozidi kuniweka katika wakati wa mawazo.
Baada ya kuniambia kuwa Mama yake alihitaji kuniona, sikutaka kukataa, niliamua kwenda nyumbani kwao na huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa Mama yake kunifahamu.
“Umeingia choo cha kike,” aliniambia Amani baada ya kumueleza kuhusu ujauzito aliyokuwa nao Bianka.
“Nimechanganyikiwa sijui hata nifanyaje,” nilimwambia.
“Mama yake anasemaje kwani?”
“Alitaka kunifahamu ila alichoniambia kimezidi kunipa wakati mgumu sana.”
“Amekuambia nini?”
“Anataka nimuoe Bianka.”
“Sasa umeamuaje?”
“Sasa nitajibu nini zaidi ya kumdanganya, nimemdanganya kuwa nitamuoa lakini tusubiri kwanza mpaka ajifungue.”
“Hapo hauna jinsi ya kufanya itabidi ukubali kumuoa.”
“Siwezi kukubali kizembe kiasi hicho.”
“Sasa utafanya nini?”
“Nitajua cha kufanya lakini siwezi kumuoa Bianka kwanza hakuwa katika akili yangu kabisa imetokea bahati mbaya ameushika ujauzito wangu,” nilimjibu Amani.
Nilianza kuona mambo yanazidi kuwa magumu kila siku, ujauzito wa Bianka ulizidi kunifanya nikose amani ya maisha.
****
Samira aliendelea kunisumbua, kila siku alikuwa akinipigia simu na alihitaji kuonana na mimi ili tuweze kuzungumza juu ya tukio lile lililotokea la mume wake kunipigia simu na kunipa vitisho.
“Najua umekasirika mpenzi ila naomba unipe nafasi ya kuzungumza na wewe nikuelezee.”
“Siwezi kukupa hiyo nafasi, wewe ni mke wa mtu Samira.”
“Kwanini unanifanyia hivyo lakini?”
“Naomba ukae mbali na maisha yangu,” nilimjibu.
Aliendelea kunisumbua sana, hakutaka kuona nikikatisha mawasiliano naye japo alikiri mwenyewe kuwa alinidanganya, aliniambia kuwa alifanya hivyo kwa kuwa hakuwa na jinsi ya kufanya lakini hakuacha kuniambia ananipenda. Hilo likazidi kunishangaza.
“Mume wako kwani anafanya kazi gani?” nilimuuliza baada ya kuona usumbufu umezidi.
“Ni mwanajeshi,” alinijibu.
Nilishikwa a butwaa! Na baada ya kusikia hivyo, sikutaka kuamini kama nilishiriki kufanya mapenzi na mke wa Mwanajeshi.
****
Niliendelea na kazi yangu ya bodaboda huku nikijitahidi kujiweka mbali na Samira, sikutaka kupata matatizo mengine ambayo yangeweza kunikuta, lile la Bianka lilinitosha na sikutaka hata Mama yangu aweze kufahamu.
Licha ya mambo yote aliyonieleza Samira juu ya mume wake ambaye alikuwa ni mwanajeshi pamoja na muda wake mwingi ambao aliutumia kukaa kambini, hakuacha kuniambia alinipenda na alikuwa yupo radhi kufanya lolote ili aweze kunipata, hakutaka nimuache kirahisi kiasi kile.
“Naomba usiache Metusela.”
“Mume wako akijua bado naendelea na mchezo huu atanitoa roho.”
“Usiogope wewe kubali kwanza halafu mimi nitakwambia nitafanya nini?”
“Nikubali nini na utafanya nini?”
“Kubali kwamba hauniachi.”
“Halafu?”
“Wewe kubali.”
“Sikuachi.”
“Nafurahi kusikia hivyo mpenzi ila kuna kitu nitafanya kwa ajili ya mapenzi yetu ili mume wangu asijue kinachoendelea.”
“Utafanya nini?”
“Nitakuwa nikiwasiliana na wewe kwa siri na kila tutakapomaliza kuchat nitahakikisha nafuta meseji zote, hatojua kitu.”
“Una uhakika?”
“Ndiyo mpenzi tatizo lako wewe unaogopa sana.”
“Lazima niogope umeshaniambia mume wako ni mwanajeshi unafikiria nini kingine kama sio kuuliwa.”
“Hawezi kukuua mtu mimi nakupenda wewe halafu muda mwingi huo yupo kambini, akirudi tutaendelea kula raha zetu,” aliniambia Samira nilipokuwa nikizungumza naye kwenye simu.
Nilijikuta nikilainika taratibu na kurudia kuwa na mahusiano na Samira ya kisirisiri, naweza kusema nilichanganywa na uzuri wake na ndiyo uliyonifanya nikubali kirahisi kuendelea kuwa naye. Nilijitoa muhanga wa kimapenzi.

Moyo wangu bado uliendelea kuumia sana baada ya kumfikiria Bianka, alikuwa ni msichana wangu ambaye nilipanga kumtumia kingono kisha na kumuacha, sikupanga kuzaa naye lakini kwa wakati huo alikuwa tayari ana ujauzito wangu. Nilitamani kuona siku moja Bianka akikubali kuutoa ujauzito huo lakini hilo hakutaka kulikubali.
“Kwahiyo umekataa kuutoa huo ujauzito?”
“Ndiyo siwezi Metu kuua kiumbe kisichokuwa na hatia.”
“Bianka kwani ugumu uko wapi, tunatoa na kama tatizo ni mtoto tutazaa mwingine.”
“Metu wewe unaongea kwasababu hii hali haipo kwako, lakini jaribu kuwa na roho ya huruma hata kidogo mbona unakuwa katili kiasi hicho?”
“Nampenda sana huyo mtoto ndiyo maana nakwambia ufanye hivyo, sitaki kuja kumtesa.”
“Mimi siwezi Metu kwanza naogopa kufa.”
“Huwezi kufa mpenzi nikubalie,” nilimwambia kwa sauti ya kumbembeleza lakini hakuweza kukubali.
Niliendelea kumbembeleza akubali kuutoa ujauzito mpaka pale siku moja ambapo Mama yake aliamua kunisusia, hakutaka kuendelea kuishi na Bianka. Huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa kuishi na Bianka bila ndoa, yalikuwa ni maisha ambayo sikuyatarajia kwa wakati huo, sikuwa na jinsi ya kufanya kwa kile kilichokuwa kimetokea, nilikubaliana na kila kitu.
Nilishindwa kumueleza Mama yangu ukweli wa mambo yote yaliyokuwa yametokea, niliamini kama ningeweza kumueleza angenichukia sana kwa kitendo kile cha kususiwa mwanamke na kuanza kuishi naye.
****
Niliendelea kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Samira huku kila kitu kilichokuwa kikiendelea kati yetu kiliendelea kuwa kama siri. Nilizidi kushiriki kufanya naye mapenzi lakini pia sikuacha kuwa makini kujihami na mume wake ambaye alikuwa ni Mwanajeshi.
Penzi la Samira lilinichanganya mno, wazo la mume wake lilianza kuniondoka kichwani, nilianza kumdharau baada ya kuendelea kulifaidi penzi la mke wake bila ya madhara yoyote.
Alikuwa akinipa pesa nyingi sana na pesa hizo nilizitumia na Bianka, hakufamu lolote kuhusu maisha ya msichana huyo niliyekuwa naishi naye nyumba moja.
“Ni hakikishie usalama wangu,” nilimwambia Samira siku moja majira ya jioni tulipotoka kufanya mapenzi katika moja Lodge iliyokuwepo maeneo ya Tandika.
“Usalama upo ila kama nilivyokwambia naomba usiwatangazie watu kuhusu mahusiano yangu na wewe, mume wangu akijua kuwa bado naendelea na wewe itakuwa ni hatari kwetu,” aliniambia.
Dereva bodaboda mwenzangu Amani hakuacha kunishauri juu ya kuachana na Samira, kila siku alirudia kuniambia maneno hayohayo kuwa niachane na aina ya mapenzi ambayo mwisho wa siku yangeweza kuniletea matatizo makubwa katika maisha yangu.
“Kwanini usitulie na Bianka maana mpaka sasa ana ujauzito wako na unaishi naye,” aliniambia Amani tulipokuwa kijiweni.
“Bianka sio chaguo langu,” nilimjibu.
“Hutakiwi kusema hivyo kumbuka tayari ana damu yako,”aliniambia.
“Laiti ungejua natamani hata kesho huo ujauzito wake utoke maana nishamchoka” nilimwambia.
“Metusela badilika mshikaji wangu hayo maisha unayoishi siyo kabisa, rudi kwenye mstari.”
“Hayo mahubiri unayonihubiria hata sikuelewi kwani nikitembea naye kuna ubaya gani au kuna kitu unachopungukiwa?”
“Usicheze na mke wa mwanajeshi, utafanywa kitu kibaya.”
“Hawezi kunifanya lolote kwanza ni mchumba tu huo uwanajeshi wake mimi haunitishi lolote,” nilijibu huku nikijiamini.
****
Kama wasemavyo wahenga kuwa siku zote mbio za sakafuni huishia ukingoni hii ndiyo iliyonitokea. Katika kipindi ambacho nilikuwa nikitembea na Samira kwa siri siri, alikuja kupata ujauzito wangu.
Nilichanganyikiwa baada ya Samira kunieleza kuhusu ujauzito huo aliyokuwa nao, kwa upande wake hakutaka kuamini kama kweli alikuwa ni mjamzito, aliogopa mno na hakujua ni nini ambacho angeweza kumwambia mume wake ambaye tayari alishamfumania na kumkanya.
Hakukuwa na wazo lingine lililonijia kichwani na kumshauri zaidi ya kumwambia alitakiwa autoe ujauzito huo ambao ungeweza kuleta madhara makubwa hapo baadae, aliweza kukubaliana nalo.
Hatimaye mipango ya kisirisiri ya kuutoa ujauzito wa Samira ilianza kufanyika, nilipokuwa hospitalini nilikuwa nikimuomba Mungu muda wote tukio lile liweze kufanyika salama. Majibu ya daktari aliyokuja kunieleza baada ya kufanikiwa kuutoa ujauzito wa Samira yaliniweka katika hali ya sintofahamu.
“Imekuaje dokta?” nilimuuliza mara baada ya kumuona akitoka Theatre kwa wakati huo.
“Nimefanikiwa kuutoa lakini amepoteza damu nyingi sana,” alinijibu dokta.
“Kwahiyo tunafanyaje?”
“Hakuna cha kufanya tena?”
“Kivipi?”
“Nasikitika kukuambia kuwa Samira amefariki dunia,” aliniambia daktari.

ITAENDELEA..

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
SIKUACHI BABY EP 10


MWISHOOOO MWISHOOOOOOO


“Unasemaje dokta?” nilimuuliza huku nikiwa kama sijamsikia vizuri, wakati huo nilikuwa nimeyakodoa macho yangu kwa mshangao mkubwa sana.
“Nasikitika kukuambia kuwa Samira amefariki dunia,” alirudia kuniambia tena maneno ambayo yalinichanganya sana, sikutaka kuyaamini hata kidogo.
Nilianza kuhisi joto kali likinitawala mwilini na haikuchukua sekunde jasho likaanza kunitoka, hofu ilikuwa imenitawala kwa wakati huo.
“Pole sana,” aliniambia dokta lakini sikuweza kumjibu, akili yangu haikuwa sawa baada ya kusikia kuwa Samira alikuwa amefariki dunia.
Hali ya usalama wa maisha yangu haikuwa shwari, kasi ya mapigo yangu ya moyo yalikuwa yakinienda mbio, nilizidi kuwa katika hofu kubwa sana baada ya kumfikiria mume wa Samira endapo kama angeweza kuzipata taarifa hizi za kifo cha mke wake ambaye alifia mikononi mwangu ni nini ambacho angeweza kuamua kukifanya? hii ilikuwa ni moja kati ya kesi kubwa mno iliyokuwa ikinikabili.
Baada ya daktari yule kuniona nipo katika hali hiyo ya mawazo ilibidi aniite ofisi kwake ili aweze kuzungumza vizuri na mimi.
“Kwahiyo dokta hakuna njia yoyote ya kuyaokoa maisha yake?” nilijikuta nikimuuliza dokta swali ambalo lilimshangaza, akabaki akinitazama kwa mshangao, wakati huo tulikuwa ndani ya ofisi yake.
“Niambie dokta hakuna uwezekano wa kuurudisha uhai wake?”nilimuuliza tena kwa kujiamini.
“Mbona sikuelewi kijana,” aliniambia dokta.
“Hunielewi kivipi dokta?”
“Tangu lini umewahi kusikia mtu aliyefariki dunia akapona au akarudishiwa uhai?” aliniuliza yule daktari swali ambalo lilinirudisha katika fahamu zangu, nilizidi kuchanganyikiwa baada ya kusikia maneno hayo ya daktari.
“Mbona hii kesi ni kubwa sasa,” nilijisemea maneno haya ambayo nilihisi nayasikia peke yangu lakini kumbe haikuwa hivyo niliyatamka kwa sauti kubwa na yule daktari aliyasikia.
“Kesi! Kesi kivipi?” aliniuliza.
“Hapana, hapana dokta hakuna kitu,” nilimjibu.
“Hivi ulisema huyu ni mke wako wa ndoa?”
“Ndiyo.”
“Lakini kwanini mliamua kuchukua maamuzi haya au hamkupenda kuwa na mtoto?”
“Hapana ni mipango tu lakini kwa wakati huu hatukupanga kuzaa,” nilimjibu daktari kwa kumdanganya baada ya kuona anazidi kunidadisi undani wa maisha yangu.
“Pole sana kwa kumpoteza mkeo.”
“Asante,” nilijibu.
Nilipomfikiria mume wa Samira akili yangu ilizidi kutawaliwa na mawazo sana, nilifahamu hakukuwa na usalama tena wa maisha yangu na huo ndiyo ulikuwa mwanzo wa kufunzwa kwa tabia yangu ya kutembea na wanawake wengi niliyokuwa naona ufahari kuwa nao.
Nilikumbuka maneno ya Mama yangu aliyokuwa akinipigia kelele kila siku kuhusu kuoa, hakupendezwa na aina ya maisha niliyokuwa nikiishi japo mtaani nilisifika kuwa na tabia ya upole sanjari na heshima lakini siri na mwenendo mzima wa maisha yangu hakukuwa na mtu ambaye alifahamu.
Kama katika maisha yako hayajawahi kukusibu kama yaliyowahi kunisibu mimi katika maisha yangu basi muombe sana Mwenyezi Mungu yasije yakakusibu maana utatamani ufe kabla ya kukisubiri kifo chako ambacho ni halali yako kabisa.
Kifo cha Samira kilizidi kunipasua kichwa mno.
****
Siku hiyo nilirudi nyumbani mapema sana huku nikionekana kuwa mnyonge, haikuwa kawaida yangu kuwahi kurudi nyumbani. Bianka msichana niliyekuwa nikiishi naye kama mke wangu wa ndoa aliponiona aligundua tofauti yangu.
“Kuna nini Metu?” aliniuliza.
“Hakuna kitu,” nilimjibu.
“Sio kweli Metu embu acha kunificha kitu kuna nini kimetokea mbona umewahi kurudi nyumbani?”
“Sipo sawa.”
“Haupo sawa kivipi?”
“Basi tu sipo sawa.”
“Umemgonga mtu na pikipiki?”
“Hapana.”
“Hapana nini sasa si useme mpenzi lakini?” aliniuliza Bianka.
“Unajua Bianka kuna kitu……..” nilianza kumueleza Bianka ukweli ambao nilikuwa nimemficha siku zote lakini kabla sijaanza kuziunganisha sentensi zangu mara simu yangu ikawa inaita, niliitoa mfukoni na kuitazama, mpigaji alikuwa ni Diana msichana ambaye niliwahi kumtongoza miezi miwili iliyopita, alinikubalia na tayari nilikuwa nimeshafanya naye mapenzi, sikutaka kuipokea simu hiyo, niliikata.
“Mbona umekata simu?” aliniuliza Bianka huku akionekana kushangazwa na kitendo hicho.
“Hana umuhimu zaidi ya mazungumzo yetu,” nilimwambia.
“Sawa embu endelea kunielezea nini kimetokea?” aliniuliza Bianka lakini kabla sijaanza kumuelezea mara ujumbe mfupi uliingia katika simu yangu. Niliufungua na kuusoma.
“KAMA TULIVYOZUNGUMZA HAKIKISHA MNAPANGA MIPANGO YA MAZISHI MAPEMA MJE KUUCHUKUA MWILI WA MAREHEMU MOCHWARI.”
Niliusoma ujumbe huo aliyonitumia yule daktari, nilishindwa kuendelea kumueleza ukweli Bianka, nguvu za mwili ziliniishia, nikajikuta nadondoka chini na kupoteza fahamu.

Nilipata fahamu nikajikuta nimelala chini sakafuni, nilijihisi kuwa mzito mno na kichwa kilikuwa kikiniuma kwa wakati huo. Nilisahau kuwa ni nini kilichokuwa kimetokea mpaka kikasababisha mimi kuwa katika hali hiyo.
Niliyaangaza macho yangu huku na kule nikitegemea kuyashuhudia mazingira tofauti lakini hakukuwa na utofauti wowote ule niliyouona. Nilikuwa bado nipo ndani ya chumba changu, nilimtazama Bianka ambaye alikuwa ameketi kitandani huku akiwa amejiinamia.
Nilipokuwa nikiendelea kumtazama Bianka ghafla! nilipokelewa na sauti ya kilio cha kwikwi, alikuwa akilia.
Nilikurupuka kutoka pale chini nilipokuwa nimelala kisha nikamfuata na kuketi pembeni yake.
“Kuna nini?” nilimuuliza lakini hakuweza kunijibu lolote, aliendelea kulia mfululizo, nikazidi kubaki nimeyakodoa macho yangu kodo! Huku nisifahamu lolote lililokuwa limetokea.
“Kuna nini Bianka?” nilimuuliza tena huku nikijipapasa mifukoni mwangu kutafuta simu, sikuwa na simu kwa wakati huo, nikataka kumuuliza Bianka lakini kabla sijaamua kumuuliza mara akanitupia simu yangu.
“Soma meseji zako,” aliniambia kisha akaendelea kulia, nilipoichukua simu yangu na kuiangalia nilikutana na meseji nyingi za wanawake pamoja na meseji ya daktari aliyokuwa akinisisitizia niwahi kupanga mipango ya mazishi ili niweze kwenda kuuchukua mwili wa marehemu Samira mochwari.
Sikutaka kuamini kwa kile nilichokiona, Bianka aliweza kuzisoma meseji zangu zote na ndizo zilizosababisha mpaka akawa katika hali ile ya kilio.
Nilikumbuka mara ya mwisho niliupokea ujumbe wa yule daktari uliyonishtua mno na mpaka kufikia hapo sikukumbuka kitu kingine chochote kilichoendelea.
“Ina maana kumbe nilipoteza fahamu?” nilijiuliza swali lililonipa jibu la ndiyo.
Kitendo cha Bianka kuzisoma meseji zangu kiliweza kuyafichua maovu yangu yote pamoja na siri niliyokuwa nimeificha , hakukuwa na kitu kipya tena ambacho ningeweza kumueleza akanielewa.
“Diana ni nani yako na huyo Rose, Jack, Cleopatra na Recho ni nani zako?” aliniuliza aliponyamaza na kuyafuta machozi yake, akanitazama kwa macho yaliyohitaji kuona namueleza ukweli.
Kwa kweli nilishindwa kutoa majibu ya haraka kwasababu hao wasichana wote nilikuwa katika mahusiano nao ya kimapenzi.
“Unashindwa kunijibu kwasababu unajua kuwa wote hao ni wanawake zako hivi Metu kwanini huridhiki kwanini unanifanyia haya yote lakini?”
“Nisikilize Bianka.”
“Nikusikilize nini Metu wakati kila kitu nimeshakifahamu, yani umesahau jinsi mama yangu alivyonifukuza nyumbani kwasababu yako, Metu nimebeba huu ujauzito wako lakini bado ulikuwa unanilazimisha niutoe kumbe ulikuwa na maana yako.”
“Hapana usiseme hivyo.”
“Hapana nini Metu wewe ni Malaya.”
“Unaniita mimi Malaya Bianka?”
“Ndiyo unatembea na kila mwanamke.”
“Kwanini unashindwa kunisikiliza, unataka nitumie neno gani ili uweze kunielewa.”
“Umeniharibia maisha yangu Metu, umenipotezea muda wangu, sijui hata ni wapi natakiwa kuanzia tena,” aliniambia kisha akaanza kulia, nilianza kumbembeleza huku nikizidi kumsihi anipe nafasi ya kumueleza jambo muhimu.
“Unataka kuniambia nini?”
“Naomba unisamehe sana.”
“Unafikiri nitaweza kukusamehe kirahisi kweli?”
“Najua utaweza ila mpaka hapa nilipofikia sina budi kukuomba msamaha na pia kumuomba msamaha Mungu wangu anisamehe.”
“Una maanisha nini?” aliniuliza.
Nilianza kumsimulia kila kitu kilichokuwa kimetokea katika maisha yangu, sikutaka kumficha kitu nilimsimulia historia ya wanawake wote niliyowahi kuwa nao kimapenzi mpaka ikafikia hatua nikapata pigo la kufiwa na mmoja wao mikononi mwangu, ilikuwa ni katika harakati za kujaribu kuutoa ujauzito wake ili tufiche siri kwa mume wake.
“Nahisi kuwa mwenye kesi ya kujibu mbele za Mungu,” nilimwambia Bianka.
Alianza kuonekana kunihurumia baada ya kumsimulia matukio yote niliyoyafanya ya kutembea na wasichana lukuki katika maisha yangu, alisahau yote niliyokuwa nimemfanyia katika maisha yake na sasa alikuwa upande wangu, alinihurumia sana baada ya kusikia kuwa Samira alikuwa amekufa na mpaka kufikia wakati huo nilikuwa sijui ni nini nilichokuwa natakiwa kufanya.
Hakukuwa na wazo lingine lililonijia kichwani zaidi ya kutoroka, nilipanga kutoroka ili niweze kuyakimbia matatizo yaliyokuwa yamenitokea, Bianka ndiye msichana aliyekuwa bega kwa bega na mimi katika kuhakikisha lengo langu hilo linatimia mbali na makosa yote niliyokuwa nimemfanyia katika maisha yake lakini aliamua kunisamehe na kuacha ibaki kuwa historia, hakuta kuona nikipoteza maisha mbele yake baada ya mume wa Samira kunikamata.
Siku hiyo iliyofuata ndiyo nilipanga ndiyo nitoroke na mkoa ambao nilipanga kwenda ulikuwa ni mkoa wa Mwanza, niliamini kwa kukimbilia huko ndipo ungeweza kuwa usalama wa maisha yangu.
****
Siku iliyofuata ikawadia, asubuhi na mapema nilikuwa tayari kwa safari ya kwenda mjini Mwanza, sikukumbuka kumuaga Mama yangu mzazi wala rafiki yangu yoyote. Naweza kusema nilikuwa nikiikimbia maiti ya Samira pamoja na mume wake ambaye niliamini alikuwa akinitafuta kwa udi na uvumba.
Kipindi ambapo nilikuwa kwenye daladala kuelekea Ubungo Terminal, tulipofika maeneo ya Buguruni daladala nililokuwa nimepanda ghafla! lilipata ajali mbaya sana, liligongana na uso kwa uso na lori.
****
Nilichokuja kusimuliwa wakati nilipokuwa nimelazwa hospitalini ni idadi ya vifo vya abiria kumi katika ajali hiyo mbaya iliyoniacha na ulemavu wa maisha, nilikuwa nimekatwa miguu yangu yote miwili.”
Hii ndiyo sababu ya ulemavu wangu huu niliyokuwa nao kwa sasa, najua utajiuliza maswali mengi sana kuhusu Samira na Bianka ilikuwaje na ni nini kiliendelea baada hapo lakini ukweli ni kwamba Samira alikuwa amefariki dunia na ukweli baadae ulikuja kufichuka lakini kwa msaada wa yule daktari aliweza kunisaidia kutengeneza kesi ya kifo cha Samira ambayo ilinisaidia nisifikiriwe vibaya na jamii hususani mume wake Samira.
Licha ya mambo yote yaliyokuwa yametokea pamoja na ulemavu wangu lakini Bianka hakunicha, alizidi kuwa na mimi kila siku.
Mama yangu aliumia sana baada ya kuniona nimekuwa kilema, alijua fika nisingeweza tena kuitimiza ndoto yake ya kuona siku moja nikioa na kumletea mjukuu.
Bianka aliweza kuyafuta machozi ya Mama yangu, alikubaliana na yote yaliyokuwa yametokea na mwisho tuliamua kufunga ndoa.
Baada ya miezi tisa ya ujauzito wake kupita hatimaye alifanikiwa kujifungua mtoto wa kiume ambaye niliamua kumuita jina la Amedeus, jina hili lilikuwa ni la Baba yangu, niliamua kumuita jina hilo mwanangu kama ishara ya kumuenzi kwani tayari alikuwa ameshatangulia mbele za haki.
Siwezi tena kufanya kazi yangu ya udereva wa bodaboda, nimekuwa ni mtu wa kusubiri kila siku kuletewa chakula na mke wangu ambaye kwa sasa anafanya kazi kama muhudumu wa baa. Japo najua adha wanazokutana nazo wahudumu wa baa lakini nashindwa kumkataza mke wangu asifanye hiyo kazi kwasababu mwisho wa siku ndiyo inayonilisha mimi pamoja na mwanangu.

MWISHO........

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom