eldamaty_persier
Senior Member
- Mar 18, 2024
- 118
- 283
ππππKuna uongo hapo. Ngoja mange kimambi aamke
ππππKuna uongo hapo. Ngoja mange kimambi aamke
Kumbe ni nguvu ya Kipochi manyoya...Za kuambiwa changanya na zako......Niffer aanze na mtaji wa elfu 40 mpaka kuwa Milionea hahaaa akawadanganye wauza ukwaju wenzake.
Kumbe ni nguvu ya Kipochi manyoya...
Ila amejua kulenga penye hela, maana wenzao akina Wema hawana hata Duka la kuzugia hapo Sinza π
Ila watanzania noma sana daah msemaji wa maisha ya raia ni mange sio πππMange anasemaje msemaji wa maisha ya watu
Kweli wakati ni ukutaWema utoto ulimsumbua ,alikuwa yupo juu kuliko hata huyo niffer ,Alifungua ofisi yake Endless Fame yenye capital zaidi ya 200m miaka hiyo(Aliwezeshwa na Boss wa ikulu)...Just imagine hadi secretary alikuwa anatumia MAC.
Mi Wema labda wanilipe ndio nimle. Kachuja sana.Kweli wakati ni ukuta
Saivi watu wanampiga Kwa dau Chini hata ya 500k
Ila Bongo ustaa mgumu sana, yaani una jina kubwa alafu mfukoni hauna kitu π
@Nifah umepigaje hapo ?
Mlimbwende kunako kiwanda cha Utangazaji, Mjasiriamali na mwanamitandao maarufu Bongo, Niffer Jovin, maarufu kama "Niffer" amefunguka namna alivyohaha kujitafuta hadi kufikia mafanikio makubwa akiwa na umri mdogo.
Niffer ambaye ametimiza miaka 24 mwaka huu, amesema safari yake ya kuutwaa utajiri haikuwa rahisi kama watu wanavyodhani, amesema yeye ni miongoni mwa watu waliotokea katika familia za kimasikini ambazo asubuhi unalazimika kula maembe badala ya kunywa chai, mrembo huyo amesema amewahi kwenda shule bila viatu, amewahi kupigwa kisa tu kukosa sabuni ya kufulia sare zake za shule, lakini pia alikuwa akimuona mama yake namna alivyokuwa anawahangaikia ili wapate chochote kitu na wakati mwingine alikosa kabisa, amesema hiyo ndiyo ilimpa chachu ya kuyasaka mafanikio kwa udi na uvumba ili asipite walimopita familia yake.
Kama ulikuwa unadhani mtaji wa duka kubwa la Niffer "Niffer Outfitstore" lilianza na mtaji wa mamilioni kadhaa unajidanganya, mpambaji huyo amesema hakuanza na mtaji wa milioni, laki moja wala elfu 50, amesema alianza na elfu 40 pekee na haijamchukua muda mrefu tayari amekuwa tajiri kwa mtaji huo mdogo wa nyanya chungu na vitunguu.
Siri kubwa ya mafanikio ya Mwanaharakati huyo wa maisha amesema ni kuwa na nidhamu na pesa, kuwa na marafiki wa kukujenga, kumuomba Mungu huku ukifanya kazi, kwani yeye wakati anajitafuta alikuwa anafanya biashara hadi saa nane, saa tisa za usiku wa manane. Muhaya huyo wa Bukoba amesema watu wanamshangaa kwa kuwa na duka kubwa akiwa na miaka 24 kwasababu hawajui namna alivyopambana kwa bidii kuyasaka mafanikio.
Amemalizia kwa kuwashauri wasichana wenye umri mdogo na wanawake ambao umri umeenda na bado wanahaha kutafuta maisha kwamba wafanye kazi kwa bidii, waache kubwabwaja mitandaoni kufatilia maisha ya watu na badala yake wautumie huo muda wauze hata pilipiii mbuzi watafika alipofika yeye.
Isingekuwa orodha yake ndefu ya waliopiga, unaweza kujizima Siku Moja ukaenda kupigaMi Wema labda wanilipe ndio nimle. Kachuja sana.
Hawana uhusiano bana ni majina na matamshi yenuππππ@Nifah mbona kimya au ndio ww nini?
NB.
Ni utani tuu.
na sio yahaya tyuuh had Gre wa Zenji hapo anayefanya bizines Dubengaaa.Kasema niffer kaoa na kamfungulia mumewe duka la simu na pia anadanganya watu kuwa ye supa wimen wakati ela ya mtaji kapewa na yahaya anaeishi south africa na adi leo yahaya akimtaka niffer anampata!
Kule kwy uzi wetu, umetususa
Du, kwani za watu maarufu zinakua na ac ndani...Kweli wakati ni ukuta
Saivi watu wanampiga Kwa dau Chini hata ya 500k
Ila Bongo ustaa mgumu sana, yaani una jina kubwa alafu mfukoni hauna kitu π
Wadau wanazuzuka na Fame na Classy yao tuDu, kwani za watu maarufu zinakua na ac ndani...
Maana huku kitaa kuna pisi kali sana na wala hazina gharama kama hizo.
Duh! Kumbe kuna Yahaya tena! List yake ya masponsor itakuwa ndefu mwendokasi 10 zinajaa π€£
View: https://www.instagram.com/p/C4q3BNdy_Cy/?utm_source=ig_web_button_share_sheet
Kina wema,uwoya walihongwa mbona hawajaendeleza Niffer ana akiliPamoja na yoooote, pamoja ma kuhongwa mitaji na bla bla bla Niffer ni MPAMBANAJI, wangapi wamehongwa, wametafuta ila hawajafika alipo niffer???
Anajua kupambana sana.....napenda bidii zake
Ana akili anajua kupambanaKina wema,uwoya walihongwa mbona hawajaendeleza Niffer ana akili
Kina wema,uwoya walihongwa mbona hawajaendeleza Niffer ana akili
π€£π€£π€£π€£π€£π€£ ataeaibika ni huyo mume aliefunguliwa kwa pesa za wanaume wenziona sio yahaya tyuuh had Gre wa Zenji hapo anayefanya bizines Dubengaaa.
Kaka wa watu anajilia vya dezo, afu namuona km toleo jipyaa vilee.
WeweumesemaMafanikio ni mafanikio.
Maisha yako ndio yataamua kufanikiwa kwako ni halali au haramu.
Mwisho wa siku mafanikio yana raha,kutusua kiuchumi ni raha, sababu umaskini unaumiza sana.
Lakini pia BAHATI inasehemu kubwa sana kwenye harakati zetu.
Omba BAHATI iwe upande wako mara nyingi iwezekanavyo.