MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Dear gfsonwin usijilaumu mydia, ni haki yako kumfahamu babako mzazi na believe me not hiyo nafsi yako haitonyamaza hata ujitahidi kiasi gani. I was there, have been there nikajikausha kwa kadri niwezavyo ...'nafsi, dhamira' haikutulia mpaka...rafiki yanu mpenzi thanks a lot.
kuhusu ishu ya yy kuwa mzito naenda kutafuta unafuu labda ajishuku tu manake ukweli sina shida kiviile ya maisha na si kwangu tu hata kwa wanangu najimudu kimtindo.
nafsi yanu sijui kwann inaniimbia sana juu ya kumtafuta huyu baba, mpaka nakosa amani kabisa lkn naogopa sana nisije nikamuudhi baba mlezi na mama yangu. Lkn nafikir kuna sababu za yy baba mzazi kujua kwamba mm ni mwanae ama unasemaje hapo??
thanks a lot my friend!!
hili pepo na lishindwe kabisa linaninyima raha sana
Hata sio pepo mydia, ni kuwa maishani mwako kuna 'void' that need to be filled. Wengi hawaielewi na wengi wanahisi kuwa babako mlezi ameujaza moyo wako na hivyo anatosha, ninakwambia tu kuwa hatoshi, hata awe ni mwema kiasi gani, kile kitendo cha wewe kujua tu kuwa huyu sio babako mzazi tayari ni msukule utakaokuandama mpaka utakapoamua kuufanyia kazi.
Last edited by a moderator: