EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
EMT kama nilvyosema post # 375, niliiandika kabla sijasoma post yako.
ukweli i need a psychologist manake kila nikisema niipotezee nashindwa. najiamini katika kukansel wenzangu lkn hili nimeshindwa kuujikansel, nashindwa kuwithstand internal pressure.
niliacha kuliwaza hili nikaenda kufanya kazi nyingine but nimeishia kumwaga machozi kama mtoto mdogo, nafsi yangu inahamalika sana sijui nyuma yake kuna nini lkn kuna msukumo wa dhati kabisa kwamba niende nimwambie. kila nikichunguza sion wapi ambapo pamepelea kwamba ninahitaj apajaze lkn nakuta kwamba nasukumwa kumwambia tu akubali akatae its ok with me.
nisaidie njia nyepesi ya kuliendea hili. jana Nyani Ngabu alinishauri vyema na Nguruvi3 lakin sasa nisomapo mawazo ya wengine naona najazwa woga sana
uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii, mwenzenu basi tu natamani ardhi ipasuke niingie basi niwe salama.
Usikalie tatizo hasa kama likianza kuathiri maisha yako ya kila siku.