Kaunga
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 12,530
- 13,470
Kaunga kama angelijua kwamba ninaish basi kama baba walau angetake trouble kujua where about zangu. najua kwa mama yangu mzazi kumpata mtu ambaye alimpenda na kukubali kunilea hiyo kwake ni faraja ambayo asingependa kuipoteza. na ndio mana hata mimi hajawah kuniambia wazi baba yako ni yupi ingawa anajua kwamba najua huyu mlezi sio baba yangu.
mpaka nakuja hapa nimekuwa nimelilibebea hili moyoni for yrs,nimejiuliza maswali mengi ambayo najiuliza na kujijibu. napata ucungu sana pale nionapo wanangu wana umri unaolingana na watoto wa baba, nashindwa kuelewa hivi watakuja kuwa na maisha gani mbeleni manake wasije wakaoana ( ingawa proba ni ndogo) lkn ni mawazo tu.
sina ninachotaka kutoka kwake ila tu ajue kwamba ninaishi kama alisha wah kuassume kwamba nimekufa
hivi sijasoma sehemu ambapo alijua juu ya ujio wako duniani, ila kutokana na system ya jeshi hakuweza kuwa responsible?
Unless uniambie hakujua kabisa kama alimpa mama yako mimba ndipo nitaelewa, lakini kama hivyo sivyo ina maana anajua kuna mtu duniani lakini HAJALI. Sad lakini ndio ukweli wenyewe.
Umelibeba kwa miaka mingapi mpaka sasa?