KIBURUDISHO
JF-Expert Member
- Mar 28, 2011
- 1,002
- 274
Hebu tueleze wewe una kazi gani? pia mumeo/mchumba ana kazi gani? Vipi kwa ujumla kuhusiana na kipato chenu kikoje.Ukijibu hapo tutaanza kupata jinsi ya kulifanyia kazi suala lako.
habarini. nina mchumba wa mda mrefu zaidi ya miaka saba ,wazazi wangu wanapenda wajukuu, na mimi nimezaliwa mwenyewe, na ndio ninatakiwa niwaletee wazazi wangu mjukuu nifanyeje? wakati mchumba wangu nikimwambia tuzae anasema mpaka tujipange? nifanyaje na mimi nataka mtoto na wazazi wamezeeka nao wanawish kuwa na mjukuu . msaada wa mawazo wakuu nifanyaje ili huyu mwanaume anielewe na sitaki kuzaa na mtu mwingine?:yawn:
kingkong hajakubali tuzae ansema mpaka tujipange
Wewe ndio tatizo,kwani mki-do unampa mabwepande??? Kama sio kwanin usitegeshe siku za hatari zen upate ujauzito? Au jamaa yako dushelele halina risasi? Au wewe Ngorongoro craters pana matatizo!
Gaudensia mambo vp?Jambo la msingi sana ni kutumia busara yako mweleweshe mchumba wako,muelewane,kwani miaka 7 ya uchumba ni mingi sana.Msipokuwa makini mpaka mtakuwa wazee bado mtakuwa wachumba!!!
Kuna hasara gani wazazi wako wakifariki kabla hawajamuona mjukuu? Wao ndio watakao mlea huyo mtoto mpaka wakulazimishe kubeba mimba? Halafu huyo mwanaume anajipanga miaka saba yote ya nini mnataka kuoana huku mkiwa mamilionea au?
Wewe ndio tatizo,kwani mki-do unampa mabwepande??? Kama sio kwanin usitegeshe siku za hatari zen upate ujauzito? Au jamaa yako dushelele halina risasi? Au wewe Ngorongoro craters pana matatizo!
Punguza uoga mangi wazazi wako wangejipanga hivyo labda saa hii usingekuwa hapa jukwaaniAchana na mambo ya wazaz kuna raha yake kujipanga kama alivyosema mchumba wako hayo mambo ya zaman eti "nataka nimuone mjukuu kabla sijafa."HAYO Ndo mambo yanazidi kutuzamisha wabongo kwenye dimbwi la umaskin kila siku.
kingkong hajakubali tuzae ansema mpaka tujipange