Nifanyaje! ili huyu mwanaume anielewe?

Loreen

Senior Member
Dec 24, 2011
110
32
habarini. nina mchumba wa mda mrefu zaidi ya miaka saba ,wazazi wangu wanapenda wajukuu, na mimi nimezaliwa mwenyewe, na ndio ninatakiwa niwaletee wazazi wangu mjukuu nifanyeje? wakati mchumba wangu nikimwambia tuzae anasema mpaka tujipange? nifanyaje na mimi nataka mtoto na wazazi wamezeeka nao wanawish kuwa na mjukuu . msaada wa mawazo wakuu nifanyaje ili huyu mwanaume anielewe na sitaki kuzaa na mtu mwingine?:yawn:
 
Wewe ndio tatizo,kwani mki-do unampa mabwepande??? Kama sio kwanin usitegeshe siku za hatari zen upate ujauzito? Au jamaa yako dushelele halina risasi? Au wewe Ngorongoro craters pana matatizo!
 
habarini. nina mchumba wa mda mrefu zaidi ya miaka saba ,wazazi wangu wanapenda wajukuu, na mimi nimezaliwa mwenyewe, na ndio ninatakiwa niwaletee wazazi wangu mjukuu nifanyeje? wakati mchumba wangu nikimwambia tuzae anasema mpaka tujipange? nifanyaje na mimi nataka mtoto na wazazi wamezeeka nao wanawish kuwa na mjukuu . msaada wa mawazo wakuu nifanyaje ili huyu mwanaume anielewe na sitaki kuzaa na mtu mwingine?:yawn:
Pole sana ila yahitaji moyo kwanza kitendo chakuwa kwenye uchumba miaka 7 ni tosha kuwa nia yakuoa ilishapotea!kilichoshindikana nikukwambia sikupendi labda kwakuzingatia kipindi chote ulichomvumilia inamuwia kazi kutamka neno nimekuchoka!!ila kaa na mwenziyo muongee mwambie huu nimwaka wa 7 hata ramani haionekani je huoni kama unitendei haki??kwani umenichumbia inamaana umeziba matundu yote hakuna mwingine wakuja kunichumbia na wewe unasema ujajipanga wewe unadhani ni lini utajipanga then umsikilizie atakupa jibu gani!!:yawn:
 
Nani atamlea huyo mtoto? ni wewe na huyo mchumba ama wazazi wako ndo watalea kijukuu?? kama wazazi wapo tayari kulea then no prob .....bt kama baba(mchumba) ndiye atalea(na ndio inabidi) then mwache ajipange...asije mtoto akalalia masikio bure!! si unajua life la sasa so suck.s!!

Jipangeni....mtoto kama yupo yupo tu, haraka ya nini??
 
tatizo ni kwamba nikisema nizae kwa kujilazimisha atamind,
 
Kama we unataka mtoto. Pick kingkong's advice. Apo haihitaji kujipanga coz we na wazazi wako wanahitaji so wewe na wao ndo mtakaolea.
 
habarini. nina mchumba wa mda mrefu zaidi ya miaka saba ,wazazi wangu wanapenda wajukuu, na mimi nimezaliwa mwenyewe, na ndio ninatakiwa niwaletee wazazi wangu mjukuu nifanyeje? wakati mchumba wangu nikimwambia tuzae anasema mpaka tujipange? nifanyaje na mimi nataka mtoto na wazazi wamezeeka nao wanawish kuwa na mjukuu . msaada wa mawazo wakuu nifanyaje ili huyu mwanaume anielewe na sitaki kuzaa na mtu mwingine?:yawn:

Mdada,miaka 7 uchumba jaman?c mmeshachokana?,mmh!,yani hapo nyie ni wanandoa tosha kabisa,maana naamini,mnapractice kindoa ndoa,ndiyo maana umepata hamu ya kuzaa mapema,well cha kukusaidia,jitegee siku ambazo sizo,pata,au laa,mwambie akuoe,uchumba wa muda mrefu namna hiyo haudumu..na ukute miaka saba yote hiyo unamuhudumia vizuri kama mmeo.Pole,kaa nae mpange vizuri..
 
Tegesha macalander mtoa mada acha kuremba, vitu vingine ukivitaka lazima ulazimishe ohooo
 
tatizo ni kwamba nikisema nizae kwa kujilazimisha atamind,

Jamaa yako kashaenda kupima akagunduliwa hana uwezo wa kum-pregnant m/ke ndio maana analeta vikwazo huyo!! Kwa uhakika we jaribu kutegesha siku za hatari uone kama utapata mimba,haiwezekani ndani ya miaka saba ya uchumba yani hata kajimimba hakuna?
 
Jambo la msingi sana ni kutumia busara yako mweleweshe mchumba wako,muelewane,kwani miaka 7 ya uchumba ni mingi sana.Msipokuwa makini mpaka mtakuwa wazee bado mtakuwa wachumba!!!
 
Unatafuta maujanja humu jamvini ili umkamate mjamaa uzae (hilo nimekuelewa).Sasa la msingi: nyie ni wachumba mnaoishi pamoja? au kila mtu kwa wazazi wake?

Nikushauri; ni wazi kutaka kwako kuzaa ni kwa sababu ya pressure ya wazazi na sio maamuzi yako binafsi..Wanaume huwa hatupendi kufanya mambo kwa remote control - Fikiri upya kama ni sawa kufanya maamuzi kwa kufuata wazazi ama makubaliano yenu wawili.Ameshasema anajipanga...amua sasa,kama unataka mtoto achana nae upate mtu wa kutimiza ndoto yako au endelea na mpenzi wako na umsikilize.
Vunja ukimya
 
tatizo ni kwamba nikisema nizae kwa kujilazimisha atamind,
mtazaeje kwenye uchumba hata hao wazazi wako wanafikilia kweli, FUNGENI NDOA NDO MZAE BWANA. AAAAH DINI GANI ANARUHUSU HAYO?
 
uchumba gani huo wa miaka 7?? unachosubiri au kujishauri ni nini ??? amua moja oa au acha ... huko kujipanga ni kujipanga gani?
 
Uchumba miaka saba???
Na hataki mzae??
Mbona ni kama mnapotezeana mda?
Beba mimba kwa nguvu mana mimba mwenye anauwezo wa kupokea ni wewe. Unless kama hamlali pamoja.
 
au uchumba wa kuitana??? wewe ndo unayeweza kufanya maamuzi isije ikawa anafikiria kitendo cha kuzaa nfo mzigo anabeba hahahah
 
Kuna hasara gani wazazi wako wakifariki kabla hawajamuona mjukuu? Wao ndio watakao mlea huyo mtoto mpaka wakulazimishe kubeba mimba? Halafu huyo mwanaume anajipanga miaka saba yote ya nini mnataka kuoana huku mkiwa mamilionea au?
 
Mdada,miaka 7 uchumba jaman?c mmeshachokana?,mmh!,yani hapo nyie ni wanandoa tosha kabisa,maana naamini,mnapractice kindoa ndoa,ndiyo maana umepata hamu ya kuzaa mapema,well cha kukusaidia,jitegee siku ambazo sizo,pata,au laa,mwambie akuoe,uchumba wa muda mrefu namna hiyo haudumu..na ukute miaka saba yote hiyo unamuhudumia vizuri kama mmeo.Pole,kaa nae mpange vizuri..

huwa siamini kabisa katika ndoa za kulazimishana au kuchochea....
 
Back
Top Bottom