Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,465
- 92,848
Hivi Mchumba ndio Fiancee!? kama jibu ni ndio basi kazi ipo. tafuta upya tafsiri ya neno mchumba, may be try to use neno hawara.
Hivi Mchumba ndio Fiancee!? kama jibu ni ndio basi kazi ipo. tafuta upya tafsiri ya neno mchumba, may be try to use neno hawara.
Kuna Fiancee + Fiance wa zaidi ya miaka kadhaa!!??Fiancee-mchumba wa kike
Fiance-mchumba wa kiume
habarini. nina mchumba wa mda mrefu zaidi ya miaka saba ,wazazi wangu wanapenda wajukuu, na mimi nimezaliwa mwenyewe, na ndio ninatakiwa niwaletee wazazi wangu mjukuu nifanyeje? wakati mchumba wangu nikimwambia tuzae anasema mpaka tujipange? nifanyaje na mimi nataka mtoto na wazazi wamezeeka nao wanawish kuwa na mjukuu . msaada wa mawazo wakuu nifanyaje ili huyu mwanaume anielewe na sitaki kuzaa na mtu mwingine?:yawn:
habarini. nina mchumba wa mda mrefu zaidi ya miaka saba ,wazazi wangu wanapenda wajukuu, na mimi nimezaliwa mwenyewe, na ndio ninatakiwa niwaletee wazazi wangu mjukuu nifanyeje? wakati mchumba wangu nikimwambia tuzae anasema mpaka tujipange? nifanyaje na mimi nataka mtoto na wazazi wamezeeka nao wanawish kuwa na mjukuu . msaada wa mawazo wakuu nifanyaje ili huyu mwanaume anielewe na sitaki kuzaa na mtu mwingine?:yawn:
habarini. nina mchumba wa mda mrefu zaidi ya miaka saba ,wazazi wangu wanapenda wajukuu, na mimi nimezaliwa mwenyewe, na ndio ninatakiwa niwaletee wazazi wangu mjukuu nifanyeje? wakati mchumba wangu nikimwambia tuzae anasema mpaka tujipange? nifanyaje na mimi nataka mtoto na wazazi wamezeeka nao wanawish kuwa na mjukuu . msaada wa mawazo wakuu nifanyaje ili huyu mwanaume anielewe na sitaki kuzaa na mtu mwingine?:yawn:
Punguza uoga mangi wazazi wako wangejipanga hivyo labda saa hii usingekuwa hapa jukwaani
Jamaa yako kashaenda kupima akagunduliwa hana uwezo wa kum-pregnant m/ke ndio maana analeta vikwazo huyo!! Kwa uhakika we jaribu kutegesha siku za hatari uone kama utapata mimba,haiwezekani ndani ya miaka saba ya uchumba yani hata kajimimba hakuna?