severinembena
JF-Expert Member
- Jun 2, 2018
- 2,435
- 2,398
Fresh sana ndugu yangu sikutegemea asee.
Estaam ft Makamua... sio AYKuna wimbo kaimba jamaa flani nadhani alimshirikisa A.Y.
Kiitikio wanaimba hivi
"Sikikiza wimboooo na historia
nakumbuka maisha ya zamani na historia
......."
Mwenye kuufahamu anisaidie tafadhali
Mambo ya Pwani nafikiri unamaanisha Solo ThangHabari za weekend wakuu.
Wazee wa kushusha vitu adimu.
Kioo,Idimi,Gwankaja
Naomba hizi nyundo tafadhali.
1.Mr Paul_Mambo ya pwani.
2.Mwana F.A_Unanijua unaniskia
Noma sana wakuu.
Mwanadamu nimekuumba nikakupa vitu vyote lakin umesahau kama mimi nimuumba wako...aisee umenikumbusha kitambooooMimi nautafuta wimbo fulani wa gospel uliimbwa na kwaya Fulani kitambo sana. Nmesahau jina lake na Nina la kwaya yenyewe lakini nakumbuka mistari take baadhi. Na mistari yenyewe ni ifuatayo: Nimekuleta chini nikakupa kila kitu lakini umesahau kwamba Mimi ni muumba wako. Ntashukuru Nikiupata.
Huyo jamaa nadhani anaitwa estam ila huo wimbo sinaKuna wimbo kaimba jamaa flani nadhani alimshirikisa A.Y.
Kiitikio wanaimba hivi
"Sikikiza wimboooo na historia
nakumbuka maisha ya zamani na historia
......."
Mwenye kuufahamu anisaidie tafadhali
Estaam katika shooting anaonekana kama AY vile...ila ghani zao ndizo ziliwatofautisha. Ila bonge la ngoma yenye story tamu akikumbuka maisha ya zamani.Estaam ft Q Jay... sio AY
Banana Zoro huyo..sinyora sinyora kweli nakupenda lakini tatizo lugha gongana(jamaa hajui kispain).
msaada wa huu wimbo tafadhali.
Kuna jamaa Mwingine anaitwa J. pop(Nitaweza)..nilikuwa nazielewa sana hizo ngomaEstaam katika shooting anaonekana kama AY vile...ila ghani zao ndizo ziliwatofautisha. Ila bonge la ngoma yenye story tamu akikumbuka maisha ya zamani.
dah hongera muheshimiwa kwa msaada ulionipa.Banana Zoro huyo..
Banana Zoro-Sinyoritadah hongera muheshimiwa kwa msaada ulionipa.
jina la wimbo vipi?
Mzigo ni huu hapa ndugu...Kuna wimbo kaimba jamaa flani nadhani alimshirikisa A.Y.
Kiitikio wanaimba hivi
"Sikikiza wimboooo na historia
nakumbuka maisha ya zamani na historia
......."
Mwenye kuufahamu anisaidie tafadhali
Thanks mkuu.Huu hapa man. Enjoy