acha kudandia hoja za wenzako we gamba!
Mimi nimeanzia alipoishia mwingine, kama mimi gamba mwanzilishi atakua nani?
acha kudandia hoja za wenzako we gamba!
Mwandishi alisema ni mbunge wa upinzani, so hapo Vijisenti mtoe!! Aliyebaki, itakuwa ndiye.Mwanzo wa habari ilielekea kama ni Hon.Cheyo lakini mbela ya habari inabadilika na kuwa Hon. Vijisenti
Cheyo=CCMTherefore CCM=UshirikanaCheyo, Momose John
Kwa hiyo kama alifanya hivyo 2010 akashinda, na mwaka huu hakufanya hivyo, tuseme kuwa ushirikina wake ulimsaidia 2010?
Huyo mbunge kwa hiyo alishindwa na bingwa mwenzake ambaye ni pro kwenye ushirikina ama aliyemshinda huyo mbunge ni bingwa wa maswala ya kiroho?Duh,wanasiasa wasomi!
Aaah Mkuu Ben Saanane hatabaki hata paka?
Wala hakuna haja ya kuanzisha thread, dunia hii baada ya Adam, ambae alikuwa amepewa kuitiisha na kuimiliki dunia kudanganywa na shetani yale mamlaka akayachukua shetani legally, so yeyote anayetaka utajiri, nafasi kubwa za kisiasa,n.k ni lazima afanye biashara na shetani, atoe watu (roho za watu) na shetani ampe utajiri.
Ukienda kwenye nchi za ulaya kuna homes nyingi sana za watoto mataahira, wale sio watu kwa ndani, roho zao zilishauzwa kwa shetani na ndani ya ile miili yamewekwa majini au majoka, hizo ndio kafara zinafanyika all over the world.
Meli zinazozama kwenye bahari na maajali mengi ni matukio ya kichawi, wanawatoa watu ili wapate utajiri na umaarufu.
Kwa wale Bible scholars watakubaliana na mie kuwa haya yote Yohana aliyaona katika maono kwenye ufunuo wa Yohana 18. Inaelezea siku za mwisho ambapo shetani atakapokamatwa wafanyabiashara wa dunia watataharuki sana na watajiuliza watafanya na nani biashara zao kwa sababu yule aliyekuwa ananunua bidhaa zao na kuwapa utajiri amekamatwa.
Watu walio strong katika ulimwengu wa roho (giza au nuru) ndio wenye mafanikio makubwa duniani kwa sababu ulimwengu wa roho ndio unaoendesha ulimwengu unaoonekana. The spiritual world is a software and the physical world is just a hardware.
:scared: Dah! Kama mtu mzima anaweza kuonesha utupu wake wa kizee kwa mganga wa kienyeji ili apate cheo, akiambiwa akalete mkono wa kushoto wa albino pamoja na sehemu zake za siri atashindwa kweli? Hii inatisha kweli kweli. Kumbe ukiwavua baadhi ya watu nguo utawakuta na mahiriza makubwa makubwa. I thank God for I worship a living God and not the Devil and his agents who are deceivers on earth and tormentors in hell.
:msela: