Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,570
Kumbuka ni mbunge wa upinzani, mzee wa vijisenti hayuko upinzani
Ndugu Ndachuwa umeiona hii sentensi???
"MMOJA kati ya wabunge maarufu kutoka Kanda
ya Ziwa, Kambi ya Upinzani"
Huyo Hon. Vijisenti siku hizi yupo Kambi ya Upinzani??
Nilitegemea majibu yenu maana gazeti la Rai haliwezi kuandika mazuri ya upinzani. Hiyo ziara ya Dar - Ziwani - Mombasa nayo ilichukua siku ngapi? BTW Mwenyekiti wa kamati kuna anachofaidi kikubwa sana zaidi ya wajumbe wengine?