- Thread starter
- #41
Bia za bure mbaya,
Mkuu kitonga kila mtu anapenda... za bure tamu bwana. Ila its normal mtu wa karibu mnaeheshimiana akikukaribisha huwezi kataa. Hata mimi huwa namkaribishaga.
Bia za bure mbaya,
Hapana Tai, mimi ninafamilia yangu naishi kwangu.. ni watu wazima mkuu.We unaishi kwake huyo shemijio? kama jibu ni ndio tarajia siku moja kutumwa kupeleka hela ya mboga kwa huyo dada wa kufikia.
Hasante mwaya SafinaNimeshakutetea mwaya, nimemwambia OT kwamba wewe haukucheka, bali ulijichekesha, sema tu wakati unakuja hapa jamvini ulikuwa umechanganywa sana na hiyo kitu, ndo maana umesema wote mlicheka, badala ya kusema wao walicheka wewe ulijichekesha.
Huyo haitaki tena ndoa na Dada yako, ameamua kukuonyesha waziwazi. Inawezekana ana pesa na mnamtegemea sana ndio maana kadiriki kukufanyia dharau kubwa kiasi hicho. Pia inawezekana anajua madhambi yako mengi unayofanya kwa hiyo anaona hilo analolifanya ni dogo kulinganisha na yakwako.
Wewe mkeo akikufanyia kitu, nawe utatafuta Mdada wa nje?
Hapo ndio ninapoona hekima ya kuoa mke zaidi ya mmoja ila sheria inapobana unakuwa huna budi kufanya kama ya shemeji yako.
Respect, faithfulness n love is not happening!
Wadau wamesema mengi, ila mconfront muulize why while looking him into his eyes! Na wala usimpe hizi za kwanini unafanya mbele yangu, muulize "kwanini unafanya hivi?"!
Uwe strong for ur sister's sake. Majibu yake ndiyo yatakayokupa direction ya kufuata baadaye; ushauri wangu ni kumshirikisha kiongozi wa dini (haina haja ya kumjulisha dada yako). Huyo padre/Mchungaji/Shekh atajua cha kufanya!
Aisee siwezi kujibu hili... unajua lazima ufahamu nini kimetokea, kama nilivyosema hata nimwambie nani kwetu hawawezi niamini... kama mtu wa kumuhisi ni sister.. jamaa ni mpole na ana akili (smart). Huwezi fikiria anaweza fanya huu ujinga.
Oti.. yaani sikujua nafanya nini.. nilicheka kwa shock ni kitu ambacho sikutegemea. Ni mtu ambaye hata wazee home wanaeshimiana sana...
Kilichokuchekesha?
OTIS