Ni shemeji yangu kabisa..

mmmmh una shemeji kweli haya njoo huku nikuongeze tusker malt mbili.....
 
Utajuta sana, ingawa hatuombi mabaya, pale utakapokuwa makaburini kkumzika sister baada ya kufa kwa Ukimwi. Utajiuliza sana hivi kwa nini hukumwambia dada yako kuwa mumewe si mwaminifu na tena hana aibu!
 
Yaani huyu jamaa kamuoa dada yangu kabisa.. Jana jioni kanipigia simu, bwana shem njoo hapa- (hotel moja maarufu city center) tupunguze foleni. Nilikua na kiu kwelikweli dakika sifuri nikawa nshafika.
Basi mzee nikaanza kukata maji... ya kwanza--ya tatu imefunguliwa, mara anangia demu mmoja mkali balaa... naona anakuja tulipo kaa huku anatabasamu... mimi majicho yamenitoka huku mapigo ya moyo yanaenda kasi.

Hello Darling... shem anasimama anambusu lipsini. Na kumkaribisha aketi.... umependeza mpenzi, Dada akajibu hasante Darl. Wakaangaliana kwa sekunde kadhaa huku wakitabasamiana... alafu kama vile shem anashtuka , bytheway huyu ndio yule shemeji yangu nilikua nakuambiaga.... enheee ndio huyu? nice to meet you. Huku tabasamu likizidishwa.Halafu shem akaniambia, kiongozi usimwambie dada bwana.Wote tukacheka kwa sauti..

Wakuu yote hayo yametokea mbele yangu...nilihisi kama nilipigwa na radi vile, sikuamini kinachotokea. Nikaipiga ile ya tatu fasta nikafake napokea simu , alafu nikaaga.

Mbona hiyo ndio salama yako maana baada ya Bia tano tuu wewe ndio ungekaimu kazi ya dada yako
unacheza na pombe wewe
 
Yaani huyu jamaa kamuoa dada yangu kabisa.. Jana jioni kanipigia simu, bwana shem njoo hapa- (hotel moja maarufu city center) tupunguze foleni. Nilikua na kiu kwelikweli dakika sifuri nikawa nshafika.
Basi mzee nikaanza kukata maji... ya kwanza--ya tatu imefunguliwa, mara anangia demu mmoja mkali balaa... naona anakuja tulipo kaa huku anatabasamu... mimi majicho yamenitoka huku mapigo ya moyo yanaenda kasi.

Hello Darling... shem anasimama anambusu lipsini. Na kumkaribisha aketi.... umependeza mpenzi, Dada akajibu hasante Darl. Wakaangaliana kwa sekunde kadhaa huku wakitabasamiana... alafu kama vile shem anashtuka , bytheway huyu ndio yule shemeji yangu nilikua nakuambiaga.... enheee ndio huyu? nice to meet you. Huku tabasamu likizidishwa.Halafu shem akaniambia, kiongozi usimwambie dada bwana.Wote tukacheka kwa sauti..

Wakuu yote hayo yametokea mbele yangu...nilihisi kama nilipigwa na radi vile, sikuamini kinachotokea. Nikaipiga ile ya tatu fasta nikafake napokea simu , alafu nikaaga.

....Hukustahili kuondoka kabla ya kumsemea hovyo mbele ya mwanamke wake ili ajue huwezi kuruhusu ujinga kama huo.
 
Back
Top Bottom