MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 601
Nawe tafta dadake au hata binamu yake umtungue
jombaaa....katika aina za zereu....hii ni moja ya namba za juu......
Yaani huyu jamaa kamuoa dada yangu kabisa.. Jana jioni kanipigia simu, bwana shem njoo hapa- (hotel moja maarufu city center) tupunguze foleni. Nilikua na kiu kwelikweli dakika sifuri nikawa nshafika.
Basi mzee nikaanza kukata maji... ya kwanza--ya tatu imefunguliwa, mara anangia demu mmoja mkali balaa... naona anakuja tulipo kaa huku anatabasamu... mimi majicho yamenitoka huku mapigo ya moyo yanaenda kasi.
Hello Darling... shem anasimama anambusu lipsini. Na kumkaribisha aketi.... umependeza mpenzi, Dada akajibu hasante Darl. Wakaangaliana kwa sekunde kadhaa huku wakitabasamiana... alafu kama vile shem anashtuka , bytheway huyu ndio yule shemeji yangu nilikua nakuambiaga.... enheee ndio huyu? nice to meet you. Huku tabasamu likizidishwa.Halafu shem akaniambia, kiongozi usimwambie dada bwana.Wote tukacheka kwa sauti..
Wakuu yote hayo yametokea mbele yangu...nilihisi kama nilipigwa na radi vile, sikuamini kinachotokea. Nikaipiga ile ya tatu fasta nikafake napokea simu , alafu nikaaga.
Nawe tafta dadake au hata binamu yake umtungue
Yaani huyu jamaa kamuoa dada yangu kabisa.. Jana jioni kanipigia simu, bwana shem njoo hapa- (hotel moja maarufu city center) tupunguze foleni. Nilikua na kiu kwelikweli dakika sifuri nikawa nshafika.
Basi mzee nikaanza kukata maji... ya kwanza--ya tatu imefunguliwa, mara anangia demu mmoja mkali balaa... naona anakuja tulipo kaa huku anatabasamu... mimi majicho yamenitoka huku mapigo ya moyo yanaenda kasi.
Hello Darling... shem anasimama anambusu lipsini. Na kumkaribisha aketi.... umependeza mpenzi, Dada akajibu hasante Darl. Wakaangaliana kwa sekunde kadhaa huku wakitabasamiana... alafu kama vile shem anashtuka , bytheway huyu ndio yule shemeji yangu nilikua nakuambiaga.... enheee ndio huyu? nice to meet you. Huku tabasamu likizidishwa.Halafu shem akaniambia, kiongozi usimwambie dada bwana.Wote tukacheka kwa sauti..
Wakuu yote hayo yametokea mbele yangu...nilihisi kama nilipigwa na radi vile, sikuamini kinachotokea. Nikaipiga ile ya tatu fasta nikafake napokea simu , alafu nikaaga.