Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
soo ukisha achiwa simu yake ndo UNAPENDWA??...au ukishaenda kumchukua ofcn kwake ndio WAKO PEKE YAKO??...na uaminifu kwa mwenzi wako unaupima kwa kuachiwa simu na kwenda kumchukua ofcn kwake??...
KAKAKIIZA JIONGEZEEE..NAONA UANATAKIWA KULIBORESHA JINA LAKO LIWE KAKA KWENYE KIIZA AU KAKAKIZANI.....
mahusiano na uaminifu ni zaidi ya kiuachiwa simu coz huko ofisini kwake anayo cmu na anaweza kuwasiliana na hao watu wake kwa namba ya ofcn...na wewe kwenda kumchukua aftr offc hrs haizuii watu kwenda naye "EXTENDED LUNCH TIME" NA WEWE UNAKWENDA KUBEBA USED LAKO UNAPELEKA HOME JIONI...POLE WEEEE
KAKAKIIZA JIONGEZEEE..NAONA UANATAKIWA KULIBORESHA JINA LAKO LIWE KAKA KWENYE KIIZA AU KAKAKIZANI.....
mahusiano na uaminifu ni zaidi ya kiuachiwa simu coz huko ofisini kwake anayo cmu na anaweza kuwasiliana na hao watu wake kwa namba ya ofcn...na wewe kwenda kumchukua aftr offc hrs haizuii watu kwenda naye "EXTENDED LUNCH TIME" NA WEWE UNAKWENDA KUBEBA USED LAKO UNAPELEKA HOME JIONI...POLE WEEEE