Na ukileta mchezo unabondwa tu:
Lol huyu Bwamdogo Liziwani naye tayari ameshafanya Kitambi ?ama kweli maneno ya Yusufu Makamba Ukitaka Biashara zako ziende vizuri uwe ndani ya CCM ,(mtoto wa Rais kwa wa Africa na yeye huchukuliwa kama Rais )angalia hayo mababa mijitu mizima hapo nyuso zao zinakwambia kila kitu.
Na wakati huo huo Kikwete akitumia gari la kifahari kabisa kugawa pipi kwa watoto: