Nakuunga mkono,tatizo la uchakachuaji ni namna wewe ulivyompata mweza wako.Open marriage=Tamaa tupu.
Ukiwa huoni noma kuchakachua ni rahisi kuangukia kwa mchakachuaji hence mambo sawia.
ENYI WAKRISTO NA WAISLAM KAMA MNATAKA WENZA WA KUTOKUWAUMIZA VICHWA MWOMBENI MUNGU ATAWAPA
Kama ni vichenchebe nendeni disco (billican/san cirro mpaka disco vumbi ) mtawapata.
My Take:Easy get, easy gone,easy to both