Ni muda muafaka wa ku-excercise ''open marriages''..?

orait, nakuja kusoma majumuisho kwangu hili la open sh!t ni NO
 
Hapana ZD (hope uko salama)...
Miaka ijayo tutarudi kwenye uhusiano wetu wa asili....kama mbuzi vile....:twitch:
Sijambo sana baba mtakatifu RR,Sidhani kama tutarudi huko,sana tutapata Hybrid(kama mbuzi na kama wanadamu) I cant imagine itakuwaje..
 
The Following 7 Users Say Thank You to Teamo For This Useful Post:

Asprin (Today), GY (Today), Kaizer (Today), Kimey (Today), MTM (Today), St. RR (Today), The Finest (Today)​

Teamo siioni senx ya upande wa pili hapa...hahahaha!!
You will Never walk Alone Teamo..!!:clap2::clap2:
 
Makubwa haya.duuu.Dalili za mwisho wa dunia zinaanza kuonekana.

haya mambo yapo sana duniani dada etu!...na mwisho wa dunia hatuuoni

sana sana uniambie kwamba kuyafanya ''FORMAL'' kutapelekea tukio la mwisho wa dunia....!

kwasababu the fact kwamba behind the scene katika movie la marriage KUNA UPUMBAVU MWINGI TUNAUFANYA hilo huwezi kulipinga...na mwisho wa dunia hatujauona bado...
 
[
Teamo siioni senx ya upande wa pili hapa...hahahaha!!
You will Never walk Alone Teamo..!!:clap2::clap2:
ahahahaha!
IT SAYS IT ALL DUDE...!

umeshaanza kujifunza kusoma katikati ya mistari eeh?
 
dah!!aisee hiyo open marriage haitawezekana kwakweli,unakuta mtu mna mahusiano tuu na mnaishi separately lakini once ukijua mwenzi wako ana wengine pembeni roho inauma sembuse muishi pamoja!!loh!!hapana asee:clap2:
 
ahahahaha!
IT SAYS IT ALL DUDE...!

umeshaanza kujifunza kusoma katikati ya mistari eeh?
Mkuu Mfalme wa Amani..
Hii kitu nin Ngumu kukubalika kama vile Vatican Waruhusu Mapadre kuoa,
Pamoja na vituko vyote vya baadhi ya mapadri,kama Kulawiti, kuzini, kuzaaa na bado hawajaruhusia wa kuoa!!
 
Sijambo sana baba mtakatifu RR,Sidhani kama tutarudi huko,sana tutapata Hybrid(kama mbuzi na kama wanadamu) I cant imagine itakuwaje..

Koreksheni ZD....sio baba sijui nini.....ni st. rr au mt. rr (nadhani inamanisha zaidi street/mtaa kuliko saint/mtakatifu....:laugh:...)
Good if u ok....
Hiyo hybrid hiyo........we are working backward...
 
Finest huko ughaibuni hakuna mila wala desturi ndomana kuna pumba nyingi wenyewe zina washinda, sisi huku tuna mila na desturi ndomana kunamambo mengi ya hekima yanaendelea, lakini watu kama hawa ni wakuogopa kama ukoma wanojaribu kushawishi jamii ya kitanzania kuwa namabo ya ajabu kama haya, usichukulie kiurahisi kuwa unalo toa hapa linaishia hapa no kuna wajinga ambao huchukuwa mambo toka hapa Mkuu.[ najua yeye mwenyewe hakubaliani nalohilo na kama ankubalinalo basi anze


QUOTE=The Finest;1606210]Teamo ki ukweli kabisa aslimia kubwa ya mapenzi yanaongozwa au yanachochewa na WIVU sasa sidhani kama mtu yuko radhi kuona MKE/MUME anamega/kumegwa huku yeye akiwa anajua ni bora usijue tu, vile vile kiini cha nyie wawili kukubaliana hadi kuwa na OPEN MARRIAGE ni nini haswa je kuna vitu ambavyo mmeshindwa kutimiziana basi labda kwa kuwa na OPEN MARRIAGE kila mtu atapata kile anachohitaji?

Kwa wenzetu inafanya kazi kutokana na malezi waliyonayo tokea mwanzoni wenzetu wanaanza relationship wakiwa na 15 years na ni mambo mengi wanayojifunza sisi huku wengine your first GF/BF unaweza kumpata labda ulikuwa una miaka 20 au 23 kwahiyo ni mambo mengi hatufundishwi tukiwa wadogo tunafundishwa tukiwa wakubwa kwahiyo unakuta vitu vingine its hard to swallow[/QUOTE]
 
Finest huko ughaibuni hakuna mila wala desturi ndomana kuna pumba nyingi wenyewe zina washinda, sisi huku tuna mila na desturi ndomana kunamambo mengi ya hekima yanaendelea, lakini watu kama hawa ni wakuogopa kama ukoma wanojaribu kushawishi jamii ya kitanzania kuwa namabo ya ajabu kama haya, usichukulie kiurahisi kuwa unalo toa hapa linaishia hapa no kuna wajinga ambao huchukuwa mambo toka hapa Mkuu.[ najua yeye mwenyewe hakubaliani nalohilo na kama ankubalinalo basi anze


QUOTE=The Finest;1606210]Teamo ki ukweli kabisa aslimia kubwa ya mapenzi yanaongozwa au yanachochewa na WIVU sasa sidhani kama mtu yuko radhi kuona MKE/MUME anamega/kumegwa huku yeye akiwa anajua ni bora usijue tu, vile vile kiini cha nyie wawili kukubaliana hadi kuwa na OPEN MARRIAGE ni nini haswa je kuna vitu ambavyo mmeshindwa kutimiziana basi labda kwa kuwa na OPEN MARRIAGE kila mtu atapata kile anachohitaji?

Kwa wenzetu inafanya kazi kutokana na malezi waliyonayo tokea mwanzoni wenzetu wanaanza relationship wakiwa na 15 years na ni mambo mengi wanayojifunza sisi huku wengine your first GF/BF unaweza kumpata labda ulikuwa una miaka 20 au 23 kwahiyo ni mambo mengi hatufundishwi tukiwa wadogo tunafundishwa tukiwa wakubwa kwahiyo unakuta vitu vingine its hard to swallow
[/QUOTE]
Mzee kuna vitu vingine havikubaliki kama MALARIA
 
hhahaha!
sasa mkuu hii biashara ya ''sitaki kujua'' naona kama ni ngumu sana mkuu

kwanin zisiwekwe principles za open marriages watu waamue na kufanya mambo yao kwa uhuru?

mkuu mimi sioni point hapo kwenye ''KUTOKUJUA''.....!kwasababu gani ''i will f_u_c_king them chicks anyways'' sema tu we HUJUI....

Wakati mwingine ni bora usijue kila kitu itafanya maisha yawe rahisi kiasi kuliko kutaka kujua kila kitu
 
Open Marriages HAZINA RISITI!

TEAMO anawapenda - Muwahi nyumbani mle vibua na familia mara nne kwa wiki
TEAMO anawashauri - mzifuate sheria mama za ISC
TEAMO anawajali - hivyo anawashauri muwe na 'open marriage'
TEAMO wa kimsingi - anadai mpango mzima na mpango wa kando nani zaidi?
TEAMO wa amani - anataka ku-fabricate watu
TEAMO anafanya yote hayo BILA RISITI
 
TEAMO anawapenda - Muwahi nyumbani mle vibua na familia mara nne kwa wiki
TEAMO anawashauri - mzifuate sheria mama za ISC
TEAMO anawajali - hivyo anawashauri muwe na 'open marriage'
TEAMO wa kimsingi - anadai mpango mzima na mpango wa kando nani zaidi?
TEAMO wa amani - anataka ku-fabricate watu
TEAMO anafanya yote hayo BILA RISITI
GY naye anasema msiwe na KINGO kwenye OPEN MARRIAGE
 
Babu Teamo.............. hivi kuna wakati hii theory ya Mume mmoja, Mke mmoja iliwork?? Au wenzetu walikuwa makini kwa usiri?? NAfikiri hata wazee wetu, they used to have extramaritals but it was kwa siri sana kiasi kwamba ,mama zetu hawakuwa wakijua na hata walipokuwa wanabaini (mara chache sana) kulikuwa na mafunzo waliopewa kiasi cha kuwafanya wawe wanaona wao ndio chanzo hence wanauplift services ambazo wanahisi zililega lega ili amrudishe mume. Na kwa kuwa wazee wetu walikuwa ni tofauti na sie, walipenda kujitakasa na kumfanya mama ajiamini kuwa amefanikiwa kuiua hiyo nyumba ndogo ya mzee.

Kizazi chetu ni tofauti................. usiri haupo kina baba wanatoka wazi na visa juu ( na inapotokea mbaba akawa msiri bsi mwizi (nyumba ndogo) huvolunteer kumhabarisha Bi mkubwa kuwa mume si wake peke yake. HAli hii ya kutokuwa na usiri na ukosefu wa mafunzo ya uvumilivu pamoja na dharau pale itokeapo mume kakamatwa (wengine wakikakatwa badala ya kuapologize wao wanajustify kwa kucite matendo ya mke ambayo anadai yamempelekea yeye kuwa lonely hence kutafuta company) Haya yote yametufanya kina mama nasi tujione tuna haki ya kuenjoy nje kama wafanyavyo wenzetu. Na mbay zaidi sometmes sie ndo tunaanza..maadili kwenye ndoa hakuna kabisa.

Back to the main point: Open marriage kwetu kusema ukweli nadhani hatujafikia muda wa kuwa nao unless tudefine tuna maana gani tukisema open.....mie nijuavyo open marriages ni pale Teamo anapokutana na mwingine zaidi ya Mama G ambaye anahisi wamependana kikweli kisha amwambie Mama G the same applied to Mama G amwambie Teamo kuwa ana mahusiano na Asprin. Sasa sijui itakuwaje hapo au ndo tutaweka condition ya never fall in love with any of my friend??

Tuangalie namna tutakavyowezarudisha maadili ndoani.
1. Mume ajisikie kuwa ana wajibu wa kumprotect mke wake from hurt so asiwe na affairs but akishindwajizuia awe msiri.
2. Sie wezi lol tunaopendwa kwa staili ya 'second hand' tuweke heshima basi kwa ma-first ladies wa wapenzi wetu (Vipofu wale tusiwaguse mikono) na
3. Sie Mipango mizima ya ndani, tusilipize visasi wala kujustify ufuska- tutunze heshma za waume zetu.

Teamo na wengine hivi mnadhani ninyi (wanaume) na wanaume wa kizungu mna tofautiana kuhisia?? Kama open marriages zinafanyika ulaya na inawezekana/shindikana kwetu itashindikana/wezekana?
 
Hapo juu mjukuu mtukutu, naprint naenda kusomea home...aisee nikikuta ni off topic huo ugomvi sijui nani anaamua
 
Hahahah Babu GY.........ni kweli kabisa Ndoa zilizo wazi kwetu Bado....imajini Mamsap wako ambaye wewe bado unamfeel kiama, na hujawahi au hujabahatika kufall kwa mwingine anakuja anakwambia .......Mume wangu, ni muda sasa nimekuwa na mahusiano na rafiki yako Bigirita .........?? Sijui utajisikiaje

Na kwa Teamo hebu nambie mipaka ya hizi ndoa za wazi!!.............tutaruhusiwa kukidhi mahitaji ya hao tuliowasecond?? yaani Mama G amekwambia Mume wangu nimekuwa na Mahusiano na rafikio Asprin.ila sasa tumeamua tupate mtoto...uwiiiiiiiiiiii aiseee naombeni mniagizie Viceroy hapo kwanza
 
Back
Top Bottom