Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Haya haya wana MMU.....!
Teamo anaona ni busara zaidi kama tutaelezana facts kuhusu ndoa na mahusiano ya kizazi hichi...(kizazi cha nyoka,kudadadeki)...!
-uchakachuaji umezidi sana tu TENA SANA
-imefikia mahala sasa hizi ndoa za ''mume mmoja na mke mmoja'' zinaonekana kufail kabisa kabisa
-imefikia mahala sasa inadhihirika wazi kwamba theory ya ''mume mmoja na mke mmoja'' ni kama imepitwa na muda,HIWEZEKANI TENA
-Vyanzo vyetu vya uchunguzi vimetanabaisha wazi kwamba ile dhana ya ''uvumilivu'' kwenye hizi old skul marriages inachangia sana hizi ndoa kuonekana za kawaida sana na za kutimiza wajibu.
-Inaonekana wazi kabisa mahusiano mengi ya 'mume mmoja na mke mmoja'' sio ya kweli.BEHIND THE SCENE kuna vitu vingi sana vinaendelea kwa jinsia zote mbili(hapa tusihojiane sana wakuu,mnajua)
sasa teamo anajiuliza kwanin tusihalalishe na kueksasaiz OPEN MARRIAGES?labda tuielezee open marriage kwa kingereza hapa:
Open marriage typically refers to a marriage in which the partners agree that each may engage in extramarital sexual relationships, without this being regarded as infidelity.
according to teamo na research yake ya ujanja ujanja ni kwamba kuna ndoa kumi za watu maarufu kabisa duniani ambazo ni ''OPEN MARRIAGES'' zinamafanikio makubwa sana.Kwa leo nitaanza na ndoa ya Will Smith na Jadda pinkett ambayo kwa sasa ina miaka 11
NI MUDA MUAFAKA WA KU-EXCERCISE ''OPEN MARRIAGES''..?
Teamo anaona ni busara zaidi kama tutaelezana facts kuhusu ndoa na mahusiano ya kizazi hichi...(kizazi cha nyoka,kudadadeki)...!
-uchakachuaji umezidi sana tu TENA SANA
-imefikia mahala sasa hizi ndoa za ''mume mmoja na mke mmoja'' zinaonekana kufail kabisa kabisa
-imefikia mahala sasa inadhihirika wazi kwamba theory ya ''mume mmoja na mke mmoja'' ni kama imepitwa na muda,HIWEZEKANI TENA
-Vyanzo vyetu vya uchunguzi vimetanabaisha wazi kwamba ile dhana ya ''uvumilivu'' kwenye hizi old skul marriages inachangia sana hizi ndoa kuonekana za kawaida sana na za kutimiza wajibu.
-Inaonekana wazi kabisa mahusiano mengi ya 'mume mmoja na mke mmoja'' sio ya kweli.BEHIND THE SCENE kuna vitu vingi sana vinaendelea kwa jinsia zote mbili(hapa tusihojiane sana wakuu,mnajua)
sasa teamo anajiuliza kwanin tusihalalishe na kueksasaiz OPEN MARRIAGES?labda tuielezee open marriage kwa kingereza hapa:
Open marriage typically refers to a marriage in which the partners agree that each may engage in extramarital sexual relationships, without this being regarded as infidelity.
according to teamo na research yake ya ujanja ujanja ni kwamba kuna ndoa kumi za watu maarufu kabisa duniani ambazo ni ''OPEN MARRIAGES'' zinamafanikio makubwa sana.Kwa leo nitaanza na ndoa ya Will Smith na Jadda pinkett ambayo kwa sasa ina miaka 11
NI MUDA MUAFAKA WA KU-EXCERCISE ''OPEN MARRIAGES''..?