Nasikia tabora zipo zinazotembelea 2tyres.
Hahahaha....
Mkuu heshima uliyopewa hapo ni kupasua tope siyo?......
Karibu Pemba, kuna magari yanapita kwenye matope tu....Kwenye lami linapita unapolimiliki kihalali........ siyo kulikodisha,
Mbu haya magari umewai kuyaendesha au unasimuliwa tu! maana umenitia hamu Mkuu, kwakweli sijawai kuwapa kuendesha gari kama hilo itabidi nikutafute Mkuu
Jaribu na magari ya Mtwara na Mbeya.
...Ohooo, hujawahi sikia "msimulia mvua imemnyea?" ...Am joking bana. Mimi ni mlokole,
nimesimuliwa tu visa vya alfu lela u lela!
BTW, jaribu pia landrover short chassis milima ya uluguru, au kwa malori makubwa na trailer zake toka usukumani na hata kwenye viunga vya mbeya bana. Muungano na Udumu.
Dah! Kwanza pole kwa kudanganywa ndugu. Hiyo 4 wheel ilishatumiwa na waliokutangulia maana umesema gari imeshatumika. Halafu unai rank Tanga kuwa # 1 kisa 4 wheel? Tanga inajulikana kwa mvua nyingi na njia zake zina tope sana, so mara nyingi 4 wheel ni muhimu hukoWiki hii nili vinjali Tanga Baada ya Mizunguko ya muda mrefu kutafuta faranga pande zote za Dunia!
Nikiwa Ocean Breeze pale Tower Street, Nilikuwa na hamu kubwa ya kuendesha black mettalic car maana ni siku nyingi sijapata kuendesha black car! Nilifanya makeke na kupata gari jeusi kama nilivyotaka, halina miaka mingi bado jipyaa! ila limetumika kiasi chake.
Nikiwa na furaha na raha tere, baada ya kuingia ndani ya gari nikafunga mkanda wakati bado shangaa dashboard ili kujipa muda kulielewa gari na jinsi ya switch-on, nilishangaa gari lenye linaingiza four-wheel na kuanza kuondoka huku bado nimedua sija-synchlonise mwendo safari ikakolezwa kupasua tope! Nilichanganyikiwa kwa furaha na raha juu ya gari hili.
Baadaye nilipouliza inakuwaje gari lina-engage four wheel haraka hivyo tene lenyewe Niliambiwa "Unabahati sana shukuru Mungu hiyo ni heshima nimekupa wewe peke yako si kila mtu anapata hiyo heshima!"
Kitendo hicho kimenifanya ni-rank Tanga kuwa Na.01 Tanzania nzima. Kama kuna mkoa unazidi Tanga nijuzeni Tafadhali sana.
Arafat ogopa magari ya Dar ....huwa na mabody mazuri ila Engine ziko used sana unaweza kuona hummer ila mileage ni kubwa mno sababu ya kushushwa Engine na overhaul za mara kwa mara!
Yani ukikodi halipiti Lami? Duh basi hayo yanafaa kuja kufanya kazi huku Bara ambako bado hawajui magari yanavyopasua tope.
Yeah....ukilikodi halitaki ulipitishe kwenye lami, ili atakayeamua kulimiliki akute tairi hazijawa kipara.....We utapitishwa topeni, tairi zinachafuka lakini hazipati kipara.
Tukujuze nini sasa