Ni mimi tu auu??

ukiwa umepata mitihani ya kukuumiza nafsi habibty ndio utaweza kuwaza ivyo lakini kama pesa ipo afya unayo familly nzuri imekuzunguka wallah sidhani kama waweza kuwaza jambo hilo hata siku mija,,,ila hilo linakuja paleeeeee unapotaka usichoweza kupata au unapokutwa na usilotaka likukute hivi ndio nnavyoona mimi habibty,,,
 
Hivi kuna saa nyingine
mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..

My dia AD
Unahitaji someone wa kukufariji.
Mimi nilikuwa naamini wewe ni mdada mwenye furaha na maisha yako na unapata raha za kuishi. Hii sredi umenishtua sana.

Bahati simufahamu zaidi ya jina AD
Ningefurahi kupata nafasi ya kuongea na mtu kama wewe kukuondoa fikra kama hizo.
Kila nikisoma ulivyoandika na maneno uliyotumia naanza kupata picha ya jinsi ulivyo kimawazo.

My love AD, ru there???
 
ukiwa umepata mitihani ya kukuumiza nafsi habibty ndio utaweza kuwaza ivyo lakini kama pesa ipo afya unayo familly nzuri imekuzunguka wallah sidhani kama waweza kuwaza jambo hilo hata siku mija,,,ila hilo linakuja paleeeeee unapotaka usichoweza kupata au unapokutwa na usilotaka likukute hivi ndio nnavyoona mimi habibty,,,

Mmmmmmmmmmh
Mi nakushangaa umetumia dawa zipi kumficha Hashycool??? Hata wewe huonekani hapa JF!!!
Nakumiss mpaka nalia
 
AD wangu
Naamini uko serious na ulichoandika
Umenifanya nipoteze attention yote hapa nilipo bed nianze kuwaza ulivyo wewe.
Why this jamani??
Ngoja . . . .
 
usinichekeshe cpu.... hahahah mie mbona nipo wewe ndio sikuoni my dear.... za masiku maisha yasemaje lakini???miss u too as u do.
Mmmmmmmmmmh
Mi nakushangaa umetumia dawa zipi kumficha Hashycool??? Hata wewe huonekani hapa JF!!!
Nakumiss mpaka nalia
 
usinichekeshe cpu.... hahahah mie mbona nipo wewe ndio sikuoni my dear.... za masiku maisha yasemaje lakini???miss u too as u do.

Maisha nashukuru Mungu nayafurahia sana, matamu sana. Ningependa nifurahie pamoja na watu kama AD, yaani huyu mdada ningejua anapoishi ningemfuata asubuhi hii hii maana nimekabwa na kitu cha kumwambia na kumrudishia furaha ya maisha, nashindwa hata kuandika hapa JF. Naamini nina kitu cha kumfanya arudishe furaha tena ktk maisha yake, yaaani . . . . mpaka vidole vinawasha hata kuandika
 
hhahaha m pm tuu mumalize mambo yenu hapa hadharani watu watajua bwana,,hahah kama ushajua shida yake wewe mwendee pm atakwambia yuwapi umfate hahah na mie mkifanikiwa ndio mnijulishe hahah
Maisha nashukuru Mungu nayafurahia sana, matamu sana. Ningependa nifurahie pamoja na watu kama AD, yaani huyu mdada ningejua anapoishi ningemfuata asubuhi hii hii maana nimekabwa na kitu cha kumwambia na kumrudishia furaha ya maisha, nashindwa hata kuandika hapa JF. Naamini nina kitu cha kumfanya arudishe furaha tena ktk maisha yake, yaaani . . . . mpaka vidole vinawasha hata kuandika
 
Pole Ad itakuwa ni upweke tu unakusumbua, jaribu kujichanganya na watu ili usiwe unakaa peke yako muda mwingi
 
Hivi kuna saa nyingine
mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..

dada AD, maisha ni mazuri na yanapata maana yake pale unapomcha Mungu tu, kinyume na hapo, maisha ni ubatili na kujilisha upepo. jaribu kuiona logic ya kuishi na maisha kwa mtazamo wa mapenzi na mpango wa Mungu, utashangaa sana jinsi Mungu alivyotupenda na daima utamrudishia utukufu.

mimi binafsi namshukuru sana Mungu, sijawahi kuona maisha yako boring, nina umri wa miaka 26 sasa na nafurahia na kumtukuza Mungu kila dakika hapa duniani. jitahidi usome sura nzima ya 12 ya kitabu cha Mhubiri uone majibu ya uhakika wa swali gumu sana unalojiuliza la "WHAT IS THE PURPOSE OF LIFE?" ukishapata jubu lake, utashangaa jinsi Mungu anavyotupenda. hata family members wakituacha na kutususa, wapenzi wetu wakitukimbia na kututelekeza, tukipigwa na magonjwa na tabu za dunia, when you realize that God will never foresaken you, looh, ni furaha tu mpendwa.

Mungu huyu anayejibu maombi hana mfanowe!!

Glory to God!
 
ni kawaida kwa mwanadamu kujiskia uko down at some point in lifetime. inaweza kuwa hali ya kupita tu.kama ni particular issue,take time to adress it.cheer up and smile gal,maisha ni mparaganyiko,kesho itakuja na mazuri mengi tu. hata Yesu akiwa hapa dunianii kuna kipindi alifadhaika,na hata kutokwa na chozi la damu.kama ww mkristo,psalms 23 inasema 'NIJAPOPITA (sio ku-park) KTK BONDE LA UVULI WA MAUTI,SITAOGOPA MABAYA...KWA MAANA W UPO PAMOJA NAMI'. so dont park there gal,count ur blessings and smile.
Hivi kuna saa nyingine</p>
<p>mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..
 
Mungu anatupenda hata pale ambapo hatujipendi wala kumpenda yy.ndo maana Upendo wa Mungu si kama wa mwanadamu,hauna sababu.ndo maana while we were sinners,He loved u enough to die for us!
dada AD, maisha ni mazuri na yanapata maana yake pale unapomcha Mungu tu, kinyume na hapo, maisha ni ubatili na kujilisha upepo. jaribu kuiona logic ya kuishi na maisha kwa mtazamo wa mapenzi na mpango wa Mungu, utashangaa sana jinsi Mungu alivyotupenda na daima utamrudishia utukufu.</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>mimi binafsi namshukuru sana Mungu, sijawahi kuona maisha yako boring, nina umri wa miaka 26 sasa na nafurahia na kumtukuza Mungu kila dakika hapa duniani. jitahidi usome sura nzima ya 12 ya kitabu cha Mhubiri uone majibu ya uhakika wa swali gumu sana unalojiuliza la &quot;WHAT IS THE PURPOSE OF LIFE?&quot; ukishapata jubu lake, utashangaa jinsi Mungu anavyotupenda. hata family members wakituacha na kutususa, wapenzi wetu wakitukimbia na kututelekeza, tukipigwa na magonjwa na tabu za dunia, when you realize that God will never foresaken you, looh, ni furaha tu mpendwa. </p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Mungu huyu anayejibu maombi hana mfanowe!!</p>
<p>&nbsp;</p>
<p>Glory to God!
</p>
<p>&nbsp;</p>
 
ndugu yangu watu sku kwanza hawataki kufa kabisa ktk hii dunia sasa cjui ww unawaza nn
 
Why not pray this simple prayer and by faith invite God to fill you with his holy spirit

Dear Father, I need you. I acknowledge that I have sinned against you by directing my own life. I thank you that You have forgiven my sins through Christ's death on the cross for me. I now invite Christ to again take His place on the throne of my life. Fill me with the Holy Spirit as You commanded me to be filled, and as You promised in Your Word that You would do if I asked in faith. I pray this in the name of Jesus. As an expression of my faith, I thank You for directing my life and for filling me with the Holy Spirit. Amen.
 
Hivi kuna saa nyingine
mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..

AD I used to be thinking like u. lakini nikasema kwa nn nafikiria hivi, Mungu aliniumba ili niishi mpaka mapenzi yake yatimie.
Fikiria kwa nn uliumbwa binadamu hapo utaona kwa nn unaishi duniani,
na utaona maisha yalivyo ndio namna zake. don't be:disapointed: with life my dear
 
AD Whatever kinachokutokea usikipe nafasi kukuumiza...Life is how you make it and happiness is within your own reach. Treat yourself right as if it is nobody'd business.................. maisha ni mafupi kwa wewe kunung'unika darl
 
Not unless something is going wrong!Tukutane pale dearest.....me wanna talk to you!
 
Back
Top Bottom