Hivi kuna saa nyingine
mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..
ukiwa umepata mitihani ya kukuumiza nafsi habibty ndio utaweza kuwaza ivyo lakini kama pesa ipo afya unayo familly nzuri imekuzunguka wallah sidhani kama waweza kuwaza jambo hilo hata siku mija,,,ila hilo linakuja paleeeeee unapotaka usichoweza kupata au unapokutwa na usilotaka likukute hivi ndio nnavyoona mimi habibty,,,
Mmmmmmmmmmh
Mi nakushangaa umetumia dawa zipi kumficha Hashycool??? Hata wewe huonekani hapa JF!!!
Nakumiss mpaka nalia
usinichekeshe cpu.... hahahah mie mbona nipo wewe ndio sikuoni my dear.... za masiku maisha yasemaje lakini???miss u too as u do.
Maisha nashukuru Mungu nayafurahia sana, matamu sana. Ningependa nifurahie pamoja na watu kama AD, yaani huyu mdada ningejua anapoishi ningemfuata asubuhi hii hii maana nimekabwa na kitu cha kumwambia na kumrudishia furaha ya maisha, nashindwa hata kuandika hapa JF. Naamini nina kitu cha kumfanya arudishe furaha tena ktk maisha yake, yaaani . . . . mpaka vidole vinawasha hata kuandika
Hivi kuna saa nyingine
mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..
Hivi kuna saa nyingine
mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..
Hivi kuna saa nyingine
mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..
Hivi kuna saa nyingine</p>
<p>mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..
</p>dada AD, maisha ni mazuri na yanapata maana yake pale unapomcha Mungu tu, kinyume na hapo, maisha ni ubatili na kujilisha upepo. jaribu kuiona logic ya kuishi na maisha kwa mtazamo wa mapenzi na mpango wa Mungu, utashangaa sana jinsi Mungu alivyotupenda na daima utamrudishia utukufu.</p>
<p> </p>
<p>mimi binafsi namshukuru sana Mungu, sijawahi kuona maisha yako boring, nina umri wa miaka 26 sasa na nafurahia na kumtukuza Mungu kila dakika hapa duniani. jitahidi usome sura nzima ya 12 ya kitabu cha Mhubiri uone majibu ya uhakika wa swali gumu sana unalojiuliza la "WHAT IS THE PURPOSE OF LIFE?" ukishapata jubu lake, utashangaa jinsi Mungu anavyotupenda. hata family members wakituacha na kutususa, wapenzi wetu wakitukimbia na kututelekeza, tukipigwa na magonjwa na tabu za dunia, when you realize that God will never foresaken you, looh, ni furaha tu mpendwa. </p>
<p> </p>
<p>Mungu huyu anayejibu maombi hana mfanowe!!</p>
<p> </p>
<p>Glory to God!
Hivi kuna saa nyingine
mtu una kaa nakufukiria Life is ****ing shit... why M I here???? Nina fanya nini tu kwenye hii dunia..