afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
- Thread starter
- #61
Hahahahahahahah nilionamhh....kumbe mlikuwa mnanisanifu ehhe? hahaha! Uliona jinsi nilivyotia msisitizo...mpaka raha! Habari nyingine kwenye PM...
Sisi tulikuwa tunakupigia Amen hahaha lol
Haya twende PM maana ulipotea gafla afterwards.. sisi ndo tulienda......